Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini

Kidumu CCM
#matege
Umenikumbusha miaka ya 2004, 2005, 2006 Maeneo ya Maseyu na vijiji fulani kabla ya kufika Morogoro ukitokea Dar walikuwa wanaanika mazao yao kandokando ya highway ya Dar - Moro (nje ya ule mchirizi wa njano)
 
Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Kama wengine wanapanga nyanya, vitunguu, vyupi na mapazia barabarani na "hawafanzwi kitu" wapiga kura wetu ajabu ni ipi kuanika mpunga na mahindi kwenye kiwanja cha ndege kilichojengwa na mtetezi wa wanyonge ili kumuenzi?
 
Mwenye picha atuwekee huo uwanja hapa.
Screenshot_2021-05-25-18-00-16-1.png
 
Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini

Kidumu CCM
#matege
Uwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia Mwanza
 
Back
Top Bottom