Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mara Paap Jiwe anafufuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawashukuru sana serikali sikivuOmbi lako linafanyiwa kazi.
Tukiiangalia VETA ya Kigoma tutapata kujua ya Chato itakuwaje...Ivi wadau wa uko chato ile VETA bado inaendea kujengw?
Penye lami inayopigwa jua tu si ndio pazuri? we vipi?Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Akifufuka tutamla ya kichwa au tutamsingizia amefufuka akiwa na ugonjwa wa ukichaa tukamfungie mirembe..🤣 acheni matusi basi! Mwendazake atafufuka mkiendelea kumnanga
😂😂Akifufuka tutamla ya kichwa au tutamsingizia amefufuka akiwa na ugonjwa wa ukichaa tukamfungie mirembe..
Mwanao akikuomba nyoka ,utampa?Hawajaomba. First come, first served
Ni kama kuuliza kuwa kabla ya kuja simu tulikuwa tunawasilianaje, kipo kitumike.Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Jf haizeeki kabisa.Naona "umejisakrifaisi" maisha yako kwa ajili ya wakulima wanyonge!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Genious, na ndege ziwe zinajibanabana zisikanyage mazao ya wanyonge kama yafanyavyo magari kutokanyanga mabeseni yaliyopangwa na machinga.Kama wengine wanapanga nyanya, vitunguu, vyupi na mapazia barabarani na "hawafanzwi kitu" wapiga kura wetu ajabu ni ipi kuanika mpunga na mahindi kwenye kiwanja cha ndege kilichojengwa na mtetezi wa wanyonge ili kumuenzi?
Mi nipo GEITA hakuna hizo huduma.za ndege pande hizi...nafikiri ungetumika kuanikia mazao ya shambani na ziwani...badala ya kuharibika kabisaUwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia Mwanza
SUN drying haijawahi kuwa njia bora. Mleta mada awatafute TIRDO, UDSM, TAREA, SIDO hata SUA apewe elimu sahihi ya kukausha mazao aliyotaja. Dhiaka haijawahi kumsaidia mtu!njia bora kabisa ya utunzaji mazao
Naona historia inajirudia! Huenda wewe mleta mada ni kijana uliyezaliwa awamu ya Mkapa! Kama umekula chumvi kidogo, utajua kwamba historia hujirudia, ulipojengwa KIA (Kilimanjaro International Airport) ulipomalizika, ulikosa ndege maana EMBAKASI ya Nairobi ndiyo ilikuwa inajulikana/inavuma. Lawama nyingi sana na kashfa kemkem /kejeri zilitolewa kwamba serikali imekurupuka kujenga KIA! Enzi hizo watalii wa mbuga na vivutio vyetu walikuwa wanatua Nairobi/EMBAKASI! Safari zinapangwa kuanzia huko, Hata mlima Kilimanjaro ilikuwa unapandiwa upande wa Kenya!Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege