uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Wapewe jwtzLakini kuliko hifadhi ya Burigi-Chato ihamishie fisi na nyani pale, bora patumike kuanikia hayo mazao gredi wani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapewe jwtzLakini kuliko hifadhi ya Burigi-Chato ihamishie fisi na nyani pale, bora patumike kuanikia hayo mazao gredi wani.
Kwa mambo hayo wala hawahitaji kuomba ruhusa. Wanaomba ruhusa kwa yale ya mchana kweupe, siyo usikuHata mkitaka kujamiiana usiku ni RUKSA.
Hawajaomba. First come, first servedWapewe jwtz
Na ni muungwana pia. Licha ya kufafanua vizuri faida za kutumia uwanja huo kuanikia mazao, amekumbuka pia kumalizia kwa salamu ya "kidumu chama cha Mapinduzi". Huyu ni Muungwana sana.Dah kweli unaubongo mkuu.
Very funny
naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege
Mwenye picha atuwekee huo uwanja hapa.Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege
Umenikumbusha miaka ya 2004, 2005, 2006 Maeneo ya Maseyu na vijiji fulani kabla ya kufika Morogoro ukitokea Dar walikuwa wanaanika mazao yao kandokando ya highway ya Dar - Moro (nje ya ule mchirizi wa njano)Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege
Kama wengine wanapanga nyanya, vitunguu, vyupi na mapazia barabarani na "hawafanzwi kitu" wapiga kura wetu ajabu ni ipi kuanika mpunga na mahindi kwenye kiwanja cha ndege kilichojengwa na mtetezi wa wanyonge ili kumuenzi?Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Kuenzi kwingine kumekaa tenge sanaKama wengine wanapanga nyanya, vitunguu, vyupi na mapazia barabarani na "hawafanzwi kitu" wapiga kura wetu ajabu ni ipi kuanika mpunga na mahindi kwenye kiwanja cha ndege kilichojengwa na mtetezi wa wanyonge ili kumuenzi?
Mwenye picha atuwekee huo uwanja hapa.
Mkuu hiyo go ahead, ina maana ndege hamna za kutua na wao waendelee kuanika mazao yao? 😂😉😉😉😉😉😉😉😉Go ahead. Serikali tumesikia.
Mkuu linafanyiwa kazi na nani?Ombi lako linafanyiwa kazi.
Uwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia MwanzaSasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege
Sio VETA tu, bali vinajengwa vyuo vikuu kama vitatu hiviIvi wadau wa uko chato ile VETA bado inaendea kujengw?