OMBI: Serikali iunde Computer Lab. Kila Programmer akatengeneze anachojua kwa manufaa ya nchi

OMBI: Serikali iunde Computer Lab. Kila Programmer akatengeneze anachojua kwa manufaa ya nchi

Jimmy_Msukuma

Senior Member
Joined
Nov 1, 2018
Posts
153
Reaction score
181
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:

Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:

Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:

1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)

2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe

3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe

HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELA🙂

Lengo:

Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.

Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.

NI WAZO. OVA
 
Bonge moja la wazo! Ila hiyo ya kufungiwa ndani kama jela achana nalo! Yaani nimewaza kama ningekuwa na uwezo kifedha ninge finance project kama hiyo kwa kuwapa ruzuku kiasi flani waonyeshe mautundu yao ambayo baadaye yanaweza yakazaa matunda! Big up mtoa hoja!
 
Bonge moja la wazo! Ila hiyo ya kufungiwa ndani kama jela achana nalo! Yaani nimewaza kama ningekuwa na uwezo kifedha ninge finance project kama hiyo kwa kuwapa ruzuku kiasi flani waonyeshe mautundu yao ambayo baadaye yanaweza yakazaa matunda! Big up mtoa hoja!
Kisaikolojia, watalaamu wa IT na wahitimu wa Computer Science huwa hawawezi kujiongoza, lazima wawe na Bosi nyuma, yaani lazima afungiwe ndani...so sio Jela lwa mantiki ya Jela,....coz anaweza kudesign kitu kikubwa...baada ya nusu saa akawaza akaona si chochote..akafuta akaanza upya!!!
 
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:

Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:

Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:

1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)

2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe

3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe

HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELA🙂

Lengo:

Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.

Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.

NI WAZO. OVA


Msukuma,hii itakua ni fujo!

Nothing good will come out of this.....After opening,just one month,there will be nobody there!

There are numerous computer/innovation hubs in TZ such BuniHub,NdotoHub,Costech,etc...they are doing exact that!And they even do more by nurturing innovation,funding,support and market the products they are innovating...Japo kuna unyonyaji fulani in there,but not bad overall!

The problem really ni inventors wenyewe,poor product ideas,products poor,etc!Talent pool yetu ni very poor.Ila tukiendelea kuijali na kuikuza itakua!

Shida ni kuanzia huku chini sekondari na colleges....nothing really good is coming out...Tuseme you can get like 3 bankable talents per 300 graduates in that year...Hard to get!

Na mazingira ya kufungia watu na kuwageuza wafungwa ni uduwanzi mwingine tena...Innovation does not go like that!
 
Wazo zuri hili serekali ilifanyie kazi
 
Msukuma,hii itakua ni fujo!

Nothing good will come out of this.....After opening,just one month,there will be nobody there!

There are numerous computer/innovation hubs in TZ such BuniHub,NdotoHub,Costech,etc...they are doing exact that!And they even do more by nurturing innovation,funding,support and market the products they are innovating...Japo kuna unyonyaji fulani in there,but not bad overall!

The problem really ni inventors wenyewe,poor product ideas,products poor,etc!Talent pool yenu ni very poor.Ila tukiendelea kuijali na kuikuza itakua!

Shida ni kuanzia huku chini sekondari na colleges....nothing really good is coming out...Tuseme you can get like 3 bankable talents per 300 graduates in that year...Hard to get!

Na mazingira ya kufungia watu na kuwageuza wafungwa ni uduwanzi mwingine tena...Innovation does not go like that!
I get your point.

But, given the job status and political currently, I have personally witnessed over 8 guys with brilliant coding skills...they just don't have funds to market or share what they have. We have people, really special...it is the duty of the Government to nurture them and sponsor...just like what US does. If it sees someone, somewhere...they wrap him so fast, and those now are the people at NASA, The Pentagon, etc...why not in Tanzania? the most wide land with 99% natural resources, crowning the East Africa's hub with peace, governance and counselling? WE CAN.
 
Msukuma,hii itakua ni fujo!

Nothing good will come out of this.....After opening,just one month,there will be nobody there!

There are numerous computer/innovation hubs in TZ such BuniHub,NdotoHub,Costech,etc...they are doing exact that!And they even do more by nurturing innovation,funding,support and market the products they are innovating...Japo kuna unyonyaji fulani in there,but not bad overall!

The problem really ni inventors wenyewe,poor product ideas,products poor,etc!Talent pool yenu ni very poor.Ila tukiendelea kuijali na kuikuza itakua!

Shida ni kuanzia huku chini sekondari na colleges....nothing really good is coming out...Tuseme you can get like 3 bankable talents per 300 graduates in that year...Hard to get!

Na mazingira ya kufungia watu na kuwageuza wafungwa ni uduwanzi mwingine tena...Innovation does not go like that!
I know CosTech tries...the launchers of MaxMalipo came from there...only after 9 years the TRA come and scam them...why don't Tanzaznia hub its own kids??
 
I know CosTech tries...the launchers of MaxMalipo came from there...only after 9 years the TRA come and scam them...why don't Tanzaznia hub its own kids??

TRA did what they are supposed to do!

Why producing and selling stuff without paying taxes?Unless you are an NGO sir!
 
NOP. MaxMalipo guys contacted even Zitto and Msukuma to tell the Bunge about that Saga, it was not fair.

Maxmalipo used government help to do business streamrolling their competitors..The same government came and ruin them...They deserve what happened to them!

Never trust government on anything!

Dont do business by help of anyone,use your own brain!

Now the same government buried them!

It is only fair for what I see!
 
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:

Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:

Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:

1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)

2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe

3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe

HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELA🙂

Lengo:

Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.

Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.

NI WAZO. OVA


Naunga mkono hoja, umetazama mbali sana
Je unaweza pia kutoa pendekezo juu ya mwendelezo wa maabara hiyo, wazo laweza tekelezeka vema lakini likakosa sustainability pale uongozi unapobadilika mbele ya safari
 
Back
Top Bottom