Jimmy_Msukuma
Senior Member
- Nov 1, 2018
- 153
- 181
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELA🙂
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELA🙂
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA