Jimmy_Msukuma
Senior Member
- Nov 1, 2018
- 153
- 181
- Thread starter
-
- #41
Hao ni watoto waliozaliwa kwenye familia zenye hela...hawakuwa na shida ya mtaji au ufadhili. Pia kumbuka tupo Afrika, usilinganishe na vichwa vya Ualaya, kikubwa tuzae na kulea vyetu.Bill gates,Paul Allen, Zuckerberg na wengineo walifungiwa na serikali ipi ili kubuni microsofoft, fb nk???
wazo zuri ila iyo investiment inahitaji mahela mengi sasa kwa sababu kipaumbele cha serikali kitakuwa hakiko huko ni bora watu binafsi wenye uwezo huo wadhamini zoezi.OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
Chief, investment ya kwanza ni BRAIN ya Wataalamwazo zuri ila iyo investiment inahitaji mahela mengi sasa kwa sababu kipaumbele cha serikali kitakuwa hakiko huko ni bora watu binafsi wenye uwezo huo wadhamini zoezi.
HIZO HELA KUBWA NI....MILIONI 45 TUUUU ZA KITANZANIA. SERIKALI ITASHINDWA????????wazo zuri ila iyo investiment inahitaji mahela mengi sasa kwa sababu kipaumbele cha serikali kitakuwa hakiko huko ni bora watu binafsi wenye uwezo huo wadhamini zoezi.
ni kupe siri ya kwa nini nchi kama marekani inafanikiwa.
serekali yao ina fungu lililo andaliwa kwa ajili ya maendeleo yoyote yatakayo nufaisha na kuipanga nguvu taifa.
ukiwa na jambo lolote utakalo hona lina msaada na manufaa ni rashisi kusaidiwa na kupewa msaada rahisi na serekali.
huku kwetu fungu hizi huwa ni zakuchungulia
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
Sio kipaumbele.OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
Maxmalipo was going to be giant in africa ana world wide.I know CosTech tries...the launchers of MaxMalipo came from there...only after 9 years the TRA come and scam them...why don't Tanzaznia hub its own kids??
Apps bora, software nzuri hazijawahi kuengenezwa na mtu mmoja mmoja. Mtu anaweza kuwa coder mzuri lakini hana wazo zuri la kutengeneza program au app nzuri. Mtu anaweza kuwa coder mzuri lakini si mzuri wa User Graphical interface anatengeneza app nzuri lakini interface mbaya lazima ishindwe sokoni. Software apps nyingi kubwa zina team ya watu nyuma yake.Kisaikolojia, watalaamu wa IT na wahitimu wa Computer Science huwa hawawezi kujiongoza, lazima wawe na Bosi nyuma, yaani lazima afungiwe ndani...so sio Jela lwa mantiki ya Jela,....coz anaweza kudesign kitu kikubwa...baada ya nusu saa akawaza akaona si chochote..akafuta akaanza upya!!!
Leo umeamini kuwa haiwezi ? Viongozi wa kiafrika sio watu , maana wakikubali wazo lako waachane na kuagiza , kununua software , program , teni pasenti watapata wapi , sasasana wanakuona umeharibia dili la kuagiza kutoka n'nje .Inaweza. Mi naamini
OMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
IT wa bongo wanachojua ni kuhack social media accounts na kuburn cd tu...wa kuprogram software za maana hakunaOMBI KWA SERIKALI YA MH. RAIS MAGUFULI:
Serikali kupitia Wizara husika, iunde Computer Lab, ambayo itakuwa na Specs zifuatazo:
Chumba kiwe kikubwa, chenye Computer za Mac "50", zenye specs kuanzia RAM 8 na 1 TB...hazitawekewa Software yoyote, ziwe empty. halafu vijana wanaoona wanaweza ku code, ku program, kutengeneza Apps za viwango vinavyoruhusiwa na Play Store n.k. wafungiwe humo kwa makubaliano yafuatayo:
1. Utajiandikisha kwamba wewe ni IT guy (kama RC Makonda alivyofanya wakati anataka kutengeneza ule Mfumo wake, akawaita wote waliopo Dar)
2. Utahakikiwa, hata kama huna Vyeti, utapewa nafasi, ila lazima Timu ya kuhakiki ijiridhishe
3. Utapewa 2 Days trial utoe Demo, yaani kama ni App au System, watu waone, then utapewa muda kama wiki 2 ukamilishe
HAWA WATU WATAFUNGIWA HUMO, KULA, KULALA, ETC...AS IF UKO JELAπ
Lengo:
Serikali iwe na Wataalamu wa kuaminiwa, wazalishaji wa Products za Software kwa matumizi mbalimbali, kitaifa na kimataifa.
Hamna kutengeneza Apps za kijamii k.v. za habari, etc...ni iwe System kwelikweli, ambayo hata Jeshi linaweza kuifanyia majaribio, na Idara mbalimbali za Serikali.
NI WAZO. OVA
Wizara mpya ione hiyo wazo zuri na mtu akiweza asaidiwe kusajili hati miliki upesi kwa spidi ya weweUna wazo zuri lakini swali ni je Serikali sikivu itakuelewa?