Kuna wale waliajiriwa na kufukuzwa so majina yao yanakuwepo kwenye database ya UTUMISHI wakiingiza majina checknamba inasoma automaticallyJana wazir kairuki alisema kua, katika mchakato wa maombi ya ajira kuna watu waliwasilisha vyeti ambavyo vilibainika kuwa vimeshatumiwa na watu wengine, wapo kwenye ajira hivyo maombi yao yalifutwa automatic
Namuomba waziri kairuki aweke bayana vyeti hivyo ambavyo vimetumika zaidi ya mara moja ili watu tujue,
Isije ikawa mtu unaomba unakosa kila mwaka kumbe cheti chako kuna mtu anakitumia sehemu nyingine pasipo wewe kujua,
nawasilisha
Hao Tamisemi hawana lolote hicho ni kisingizio tu na hawawez kufanya hicho unachokishauri maana wanajua hakipo Bali uongo tu.Jana wazir kairuki alisema kua, katika mchakato wa maombi ya ajira kuna watu waliwasilisha vyeti ambavyo vilibainika kuwa vimeshatumiwa na watu wengine, wapo kwenye ajira hivyo maombi yao yalifutwa automatic
Namuomba waziri kairuki aweke bayana vyeti hivyo ambavyo vimetumika zaidi ya mara moja ili watu tujue,
Isije ikawa mtu unaomba unakosa kila mwaka kumbe cheti chako kuna mtu anakitumia sehemu nyingine pasipo wewe kujua,
nawasilisha
Umewaza nn mkuu๐๐๐๐Ni kweliiii, Umetulia zako hujui hili wala lile, kumbe baba yako anatumia cheti chako.
Umesema kwel kabisa hao walioajiriwa wafanyiwe verification ili kijulikane nani mwiz wa chet kat yao na sisiJana wazir kairuki alisema kua, katika mchakato wa maombi ya ajira kuna watu waliwasilisha vyeti ambavyo vilibainika kuwa vimeshatumiwa na watu wengine, wapo kwenye ajira hivyo maombi yao yalifutwa automatic
Namuomba waziri kairuki aweke bayana vyeti hivyo ambavyo vimetumika zaidi ya mara moja ili watu tujue,
Isije ikawa mtu unaomba unakosa kila mwaka kumbe cheti chako kuna mtu anakitumia sehemu nyingine pasipo wewe kujua,
nawasilisha
DuhKuna lijanaa liliwahi niambia tuma sasa vyeti vyako vyoye pamoja na lisence kabisa Ili tuhakiki kisha Iwe Rahisi kupata TEMPORARY .
KUNA watu mmeajiriwa ila hamjui hilo.