chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Good boiEuro......sikucheki vizuri baada ya kuandika
Acha kuwadanganya wa TZ ukifikiri wote ni wajinga na wewe ndie wa kwanza kwenda ibiza! Euro 10,000 to book a table? my foot! huo upuuuzi peleka kwenye magazeti ya udakuMsanii Omy Dimpoz amefunguka kuhusu vacation yake ya Ibiza na kudai gharama za maisha kule ni juu sana
Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book meza kwa ajili ya lunch ilikuwa ni Euro 10,000 ambazo ni around milion 25 za Tanzania
Akizungumzia kuhusu watu kusema yule sio Rooney Originala amedai hiyo ni kawaida kwani inawezekana hata mtu akatoka mkoani na kupiga nae picha kisha akawaonyesha wenzake na kumbishia wewe huwezi kupiga picha na Ommy Dimpoz
Hata dimpoz naye kuna muda alikosea akasema dola ah euro 10,000....labda mleta uzi aliandika kama alivyosikia kwenye clip,kimakosa lakiniGood boi
ha ha hah aaaaHongera Sana Dimpo kwa kupiga picha na Rooney.
Acha kuwadanganya wa TZ ukifikiri wote ni wajinga na wewe ndie wa kwanza kwenda ibiza! Euro 10,000 to book a table? my foot! huo upuuuzi peleka kwenye magazeti ya udaku
Hiyo Ibiza ndio ni nini wakuu..?..hebu tupeni darasa kidogo kuhusu hiki kisiwa wakuu.billdukeNeil post: 17090645 said:Hapo mkuu nilitaka kushangaa Euro 10,000 kubook table....wakati kule Ibiza wanaenda Sana wanafunzi kula bata!...Sasa hela zote hizo watatoa wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata dimpoz naye kuna muda alikosea akasema dola ah euro 10,000....labda mleta uzi aliandika kama alivyosikia kwenye clip,kimakosa lakini
kitafute WikipediaHiyo Ibiza ndio ni nini wakuu..?..hebu tupeni darasa kidogo kuhusu hiki kisiwa wakuu.