Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hana wivu, nimeona hiyo interview dimpoz kaongea in good faith na ni somo zuri kwa vijana,Kumbe dimpoz kwa pozi nae ana wivu wa kitoto kiac hicho, kwel nae hana akili
Acheni kukurupuka.Wivu wa kike namna hii ndio unatufanya bongo wasanii wasiendelee!Hivi kweli hajui kama kadri unavyokuwa famous ndio inaongeza viewers u tube?
Basi diamond ana hela sana za kuhongo coz mpaka sasa Salome ina 8mil+
Sikuwahi kufikiria kama ommy nae anauelewa mdogo kiasi hiki
Mbona dimpoz hajamsema mtu yoyote?Hivi dimpoz anafahamu kuwa huyo anayemsema juzi katoka kupewa tuzo ya heshima na YouTube kwa kuwa moja ya "youtuber" bora afrika.. Ina maana dimpoz anaijua YouTube kuliko wenyewe wenye YouTube???
Dimpoz kwa nyimbo ile mbovu alitegemea nini? Mtoto wa kiume ukifeli kwenye jambo unainuka unapangusa vumbi na kusonga mbele sio kutaka kulaumu watu kwa maisha yako wewe binafsi kufeli.. Wivu wa kijinga kabisa
Unasikia mtu na akili zake anakwambia, wananunua views YouTube, wananunua followers instagram na twitter, wananunua mashabiki wajae kwenye shoo zake, wananunua tuzo, wananunua wananunua wananunua...
Hivi huyo msanini anayenunua kila kitu anapataje hela, maana yeye kila kitu ananunua, so ananufaikaje sasa na mziki wake..
Nasubiria siku si nyingi wataanza kulalamika kuwa tunanunua akili..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] C ndo hapo na sasa hivi wamegundua kwamba ukimshirikisha Ali kiba katika nyimbo yako basi team kiba yote itahamia youtube kuangalia nyimbo yako ata kama ni mbaya[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nyimbo ya kajiandae haina vibes hata ikipigwa clabs beat yake producer alimuibia pesa
Ommy dimpoz alitarajia ngoma itateka lakini imekuwa tofauti
Ww na dimpoz akili zenu hazitofautianiAcheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanacheza idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
Mnyonge-mnyongeni haki yake msipompa ataichukua kwa nguvu.Nyimbo ya kajiandae ilijiandaa kushindwa
Yap true ghost followers wapo wengi sana yan eti kisa msanii una 10 milion followers bac ukipost video o pic ndo utegemee utapata likes 9 or 8 milion hiyo ni ngumu sanaAcha kudanganya watu wewe, mtu kuwa na likes chache haina maana amenunua follows
Mfano selena gomes instagram ana follows zaidi ya 100m lakini akiweka pic au video likes hazizidi milioni 7 , maana yake ni kwamba sio wote wanaoona pic huwa wanalike, wengine ni ghost follows wao kazi yao ni kuangalia pic au kusoma ulichoandika then wanapita zao hawana muda wa ku like wala kucomment
Ilikuwa,lakini sio kwa sasa...Safi Dimpoz.
Hii kajiandae ina trend sana kwenye you tube simply kwakuwa huyu kijana anajiamini.
Nyimbo ya kawaida hata wewe mwenyewe deep down unajua hii nyimbo hype ilikuwa kubwa kuliko ubora ilionaoMnyonge-mnyongeni haki yake msipompa ataichukua kwa nguvu.
Angalia trendy hiyoView attachment 434499
Haya.Ww na dimpoz akili zenu hazitofautiani
Nenda kwa babu loliondo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo wananunua Followers, Subscribers, Viewers, na Tuzo daaah basi wana hela sana. Anyway, wewe Ommy Dimpoz ulitoa sh. ngapi kununua viewers wa wanjera na mimi ninunue? Maana nna kavideo kangu U-Tube kana viewers 263 mwaka wa pili sasa
Wakiambiwa domo ana mkwanja mwingi wanakataa lkn baada ya apo utasikia kanunua viewers utube utasikia kanunu tuzo mara kanunua follower mara kamlipa tekno ampe gwara fiesta waswahili baba hawakosi lakusemaYap true ghost followers wapo wengi sana yan eti kisa msanii una 10 milion followers bac ukipost video o pic ndo utegemee utapata likes 9 or 8 milion hiyo ni ngumu sana
Sasa wewe bwana daudi unafikir kamuongelea nani hapo kuhusu kununua viewers huko youtube davido o wizkid?Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanachezasha idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
wew nenda kaangalie like za selena gomez na uangalie follower wako wangapi....ukiwa mtanzania shida danahiyo ni kweli views huwa zinanunuluwa hata followers wa insta ukitaka wafike million ni sekunde tu we angaliaa siku hizi kila msanii ana followers million ila like hazifiki 100000 hamjiulizi hao mafollowers million huwa wana like wap ??bongo kila kitu ujanja ujanjaaa hata ukitaka bando la mwaka unapata ni ww tu na kujiongeza kwako juana na wtu ujue vitu
Yani yote hiyo ni chuki n wivu ambao mwisho wa siku hau wasaidii ata kidogoWakiambiwa domo ana mkwanja mwingi wanakataa lkn baada ya apo utasikia kanunua viewers utube utasikia kanunu tuzo mara kanunua follower mara kamlipa tekno ampe gwara fiesta waswahili baba hawakosi lakusema