Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

Kumbe dimpoz kwa pozi nae ana wivu wa kitoto kiac hicho, kwel nae hana akili
Hana wivu, nimeona hiyo interview dimpoz kaongea in good faith na ni somo zuri kwa vijana,
integrity kwa watoto wa Tanzania ni zero.
 
Wivu wa kike namna hii ndio unatufanya bongo wasanii wasiendelee!Hivi kweli hajui kama kadri unavyokuwa famous ndio inaongeza viewers u tube?
Basi diamond ana hela sana za kuhongo coz mpaka sasa Salome ina 8mil+
Sikuwahi kufikiria kama ommy nae anauelewa mdogo kiasi hiki
Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanachezasha idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
 
upload_2016-11-15_12-43-0.png
 
Hivi dimpoz anafahamu kuwa huyo anayemsema juzi katoka kupewa tuzo ya heshima na YouTube kwa kuwa moja ya "youtuber" bora afrika.. Ina maana dimpoz anaijua YouTube kuliko wenyewe wenye YouTube???

Dimpoz kwa nyimbo ile mbovu alitegemea nini? Mtoto wa kiume ukifeli kwenye jambo unainuka unapangusa vumbi na kusonga mbele sio kutaka kulaumu watu kwa maisha yako wewe binafsi kufeli.. Wivu wa kijinga kabisa

Unasikia mtu na akili zake anakwambia, wananunua views YouTube, wananunua followers instagram na twitter, wananunua mashabiki wajae kwenye shoo zake, wananunua tuzo, wananunua wananunua wananunua...
Hivi huyo msanini anayenunua kila kitu anapataje hela, maana yeye kila kitu ananunua, so ananufaikaje sasa na mziki wake..

Nasubiria siku si nyingi wataanza kulalamika kuwa tunanunua akili..
Mbona dimpoz hajamsema mtu yoyote?
Ukiona video ya hii interview utakuja kufuta hii post yako kimya-kimya kwa aibu.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nyimbo ya kajiandae haina vibes hata ikipigwa clabs beat yake producer alimuibia pesa
Ommy dimpoz alitarajia ngoma itateka lakini imekuwa tofauti
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] C ndo hapo na sasa hivi wamegundua kwamba ukimshirikisha Ali kiba katika nyimbo yako basi team kiba yote itahamia youtube kuangalia nyimbo yako ata kama ni mbaya
 
Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanacheza idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
Ww na dimpoz akili zenu hazitofautiani
 
Acha kudanganya watu wewe, mtu kuwa na likes chache haina maana amenunua follows
Mfano selena gomes instagram ana follows zaidi ya 100m lakini akiweka pic au video likes hazizidi milioni 7 , maana yake ni kwamba sio wote wanaoona pic huwa wanalike, wengine ni ghost follows wao kazi yao ni kuangalia pic au kusoma ulichoandika then wanapita zao hawana muda wa ku like wala kucomment
Yap true ghost followers wapo wengi sana yan eti kisa msanii una 10 milion followers bac ukipost video o pic ndo utegemee utapata likes 9 or 8 milion hiyo ni ngumu sana
 
Kwahiyo wananunua Followers, Subscribers, Viewers, na Tuzo daaah basi wana hela sana. Anyway, wewe Ommy Dimpoz ulitoa sh. ngapi kununua viewers wa wanjera na mimi ninunue? Maana nna kavideo kangu U-Tube kana viewers 263 mwaka wa pili sasa
Nenda kwa babu loliondo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yap true ghost followers wapo wengi sana yan eti kisa msanii una 10 milion followers bac ukipost video o pic ndo utegemee utapata likes 9 or 8 milion hiyo ni ngumu sana
Wakiambiwa domo ana mkwanja mwingi wanakataa lkn baada ya apo utasikia kanunua viewers utube utasikia kanunu tuzo mara kanunua follower mara kamlipa tekno ampe gwara fiesta waswahili baba hawakosi lakusema
 
Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanachezasha idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
Sasa wewe bwana daudi unafikir kamuongelea nani hapo kuhusu kununua viewers huko youtube davido o wizkid?
 
hiyo ni kweli views huwa zinanunuluwa hata followers wa insta ukitaka wafike million ni sekunde tu we angaliaa siku hizi kila msanii ana followers million ila like hazifiki 100000 hamjiulizi hao mafollowers million huwa wana like wap ??bongo kila kitu ujanja ujanjaaa hata ukitaka bando la mwaka unapata ni ww tu na kujiongeza kwako juana na wtu ujue vitu
wew nenda kaangalie like za selena gomez na uangalie follower wako wangapi....ukiwa mtanzania shida dana
 
Wakiambiwa domo ana mkwanja mwingi wanakataa lkn baada ya apo utasikia kanunua viewers utube utasikia kanunu tuzo mara kanunua follower mara kamlipa tekno ampe gwara fiesta waswahili baba hawakosi lakusema
Yani yote hiyo ni chuki n wivu ambao mwisho wa siku hau wasaidii ata kidogo
 
Ommy hajamtaja mtu yeyote kwenye ile interview, isipokuwa tu watu wanajishtukia kwa sababu Diamond na WCB ndo wenye views nyingi bongo.

Ila kama Ommy alimaanisha Diamond pia siwezi kushangaa kwa sababu siyo mara ya kwanza Ommy kumponda D ingawa huwa anazunguka, hawi straight.

Isipokuwa ninachoamini ni kwamba views za D ni za ukweli ndo maana kapewa tuzo ile na Google ambao ni watu lazima wajiridhishe na authenticity ya hizo views.
 
Back
Top Bottom