Hivi dimpoz anafahamu kuwa huyo anayemsema juzi katoka kupewa tuzo ya heshima na YouTube kwa kuwa moja ya "youtuber" bora afrika.. Ina maana dimpoz anaijua YouTube kuliko wenyewe wenye YouTube???
Dimpoz kwa nyimbo ile mbovu alitegemea nini? Mtoto wa kiume ukifeli kwenye jambo unainuka unapangusa vumbi na kusonga mbele sio kutaka kulaumu watu kwa maisha yako wewe binafsi kufeli.. Wivu wa kijinga kabisa
Unasikia mtu na akili zake anakwambia, wananunua views YouTube, wananunua followers instagram na twitter, wananunua mashabiki wajae kwenye shoo zake, wananunua tuzo, wananunua wananunua wananunua...
Hivi huyo msanini anayenunua kila kitu anapataje hela, maana yeye kila kitu ananunua, so ananufaikaje sasa na mziki wake..
Nasubiria siku si nyingi wataanza kulalamika kuwa tunanunua akili..