Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

Labda kwa mtu aliyejitoa akili tu ndio anaweza asijue nani anazungumziwa hapo! Wewe unafikiri ata wasema wengine ambao wanafikisha mwezi hata viewers million 1 haijafika?
anyway tufanye hajataja mtu!
huyo anae nunua anafanya hivo ili afaidi nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aisee sasa kwani hiyo ni kesi yeye katoa dukuduku lake Mimi na wewe sidhani Kama tuna la kukataa au kukubali
 
Hii mentality ya kuchukia mafanikio ya mtu fulani itawamaliza wasanii wengi sana. Wanajawa na mawazo hasi hadi wanakosa ubunifu, vision na confidence.
 
Kwahiyo wananunua Followers, Subscribers, Viewers, na Tuzo daaah basi wana hela sana. Anyway, wewe Ommy Dimpoz ulitoa sh. ngapi kununua viewers wa wanjera na mimi ninunue? Maana nna kavideo kangu U-Tube kana viewers 263 mwaka wa pili sasa
Hahahaaaa
 
Nyimbo ya kajiandae ilijiandaa kushindwa
Haaa haaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanachezasha idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
Hakuna mtu anaenunua viewers mkuu, mpaka ww unadanganyika???
 
Acheni kukurupuka.
Ommy dimpoz hajamtaja diamond,
Imebainika watu wanachezasha idadi ya viewers na sio Tanzania tu na inakua ni kujidanganya kwakuwa halipwi kwa hizo namba fake alizojiongezea ila wanakua wanaamini ni sifa .....
Wewe kuna kitu unakijua kuhusu kununua viewers wengine hatukijui,hebu tafadhari sana nipo chini ya miguu yako hebu tupe utaratibu wa kununua upoje kuanzia mwanzo hadi mwisho wa hiyo biashara inakuwaje,na ni sh'ngapi ........ Lakini pia si vibaya ukatuambia hao wanunuzi wananufaika na nini kwenye hayo manunuzi,mana hakuna anayetoa pesa yake bila sababu.
 
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amedai yeye hawezi kufanya mchezo wa kununua views kama baadhi ya watu wanavyofanya.“Mimi nataka kutoa wito maana siku hizi watu ‘wanachiti’ sana hususan kwenye mambo ya views YouTube,” Ommy alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM.

“Mimi ningewaambia kitu kimoja fanya ngoma kali video acha watu waangalie,” “kwa sababu naongea kwa uzoefu wangu mimi na video yangu ‘Wanjera’ ilikuwa na views laki tisa, kuna mtu mmoja akaniambia siwezi kumsema ni nani ila aliniambia bwana vipi unataka views YouTube? Nikamuuliza views YouTube kivipi, akaniambia hebu nitumie link ya video yako. So mimi nilikuwa nataka kuprove nikamtumia link ya ‘Wanjera’ na ilikuwa na views laki tisa na elfu nne hivi lakini baada ya kumtumia masaa sita baadae akaniambia angalia kuangalia nakuta na milioni moja,” alifafanua zaidi.

Muimbaji huyo amedai hatua hiyo ilimfanya agundue ni kweli kuna baada ya watu wananunua views YouTube.

Video mpya na muimbaji huyo aliyoshirikiana na Alikiba ina views 607,967 ikiwa na inaelekea wiki ya pili toka iwekwe katika mtandao wa YouTube.

hAHAhaha Mziki Unaelekea Mgumu Sana Bwana Dimpoz Hapa nadhani Unawachokonoa wafuasi wa Simba

Source: Bongo5 & Times fm
Wasanii wa siku hizi bana yani kila anaetaka kurudi kwenye game lazma atoke kwa kutembelea nyota ya chibu....ndo shida ya mziki kuingiliwa na macho.ko
 
Acha kudanganya watu wewe, mtu kuwa na likes chache haina maana amenunua follows
Mfano selena gomes instagram ana follows zaidi ya 100m lakini akiweka pic au video likes hazizidi milioni 7 , maana yake ni kwamba sio wote wanaoona pic huwa wanalike, wengine ni ghost follows wao kazi yao ni kuangalia pic au kusoma ulichoandika then wanapita zao hawana muda wa ku like wala kucomment
Jana kuna kitu humu nilikiona penye uzi wa lara 1 kulikuwa na views 19230 lakini comments zilikuwa 200 unanishawishi niamini ulichokiandika na kuna hadithi ya paniela ilikuwa na views 77120 kwa waqt huo na comments hazikuzidi 2000 sasa sijui nimekuelewa au nazeeka vibaya?
 
Kwenye mathematics Kuna kitu kinaitwa directly proportional yaani, kama variable ya left side ikiongezeka basi na right side itaongezeka, simple diamond ana followers wengi, likes nyingi, subscriber wengi, show za kumwaga, Bila shaka views watakuwa wengi, alafu mjue mpaka YouTube wameweka awards zao wanalijua hili tatizo na ndio maana huwa wanahakiki viewers na subscribers kama wakigundua wanaiburn account yako, ndio maana ya awards hizo kabla hawajatoa lazima uhakiki ufanyike kuepuka ujanja ujanja, diamond sio viewers tu mpaka mauzo iTunes kwa wasanii wa East Africa anakimbiza, akifuatiwa na eddy kenzo. Ommy we mtoto wa kiume ilo swala ni uzushi kama ngoma imebuma usitafute visingizio, kaa Chini tafakari toa nyingine, we diamond platnumz mpaka wasanii waliomshirikisha video zao zina viewers wengi ambao hawajawahi kuwapata (Jah preyhah, akothee, harmonize, chege na mpaka audio yake ya helo imesikilizwa mara zaidi ya laki nane). Inamaana hawa nao anawanunulia, aache kulalamika afanye kazi kila kitu kinawezekana.Kwa wale kidogo ngeli inapanda waitembelee hii link ya website ya YouTube, Kuna maneno yanasema
'' Views generated by some third-party businesses and services will not be counted or reflected on YouTube, and can lead to disciplinary action against your account, including removal of the video or account suspension.''
ukishasoma na kuipitia hii page nzima,utaona anachokisema ommy dimpoz ni upuuzi, chuki na wivu waki uke wenza.
Increase YouTube views - YouTube Help
Kumbe inawezekana kununua viewers..mapovu ya nini??
 
Kwani ye kakatazwa kununua tatizo kanajifanya kameunga urafiki na kibakuli kamesha rithishwa kulialia na kulalamika na kupenda vya mtelezo mijitu ya ajabu hii kila mtu anataka afie kwa chibu we omymsambwanda endelea kumhudumia mme wako tu madogo washakisanua kina rayvany ushapoteaa wee endelea kumkatia uno mwarabu
 
Upuuzwi mkubwa alioandika, hawajipigi kujipromote na kazi zao wako busy kulalamika.

Wanatia aibu ni majanga ya nchi yeye na yeyote anayefikiria kama yeye.
 
Views wanatokana na kazi nzuri ya msanii pamoja na support ya fans wake.......

Ommy anatoa ngoma za kichwala anategemea views 5million kweli???????

Kwanza ommy kwny wasanii wakali Tz kwny list yang mm hayumo,,,,,,

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amedai yeye hawezi kufanya mchezo wa kununua views kama baadhi ya watu wanavyofanya.“Mimi nataka kutoa wito maana siku hizi watu ‘wanachiti’ sana hususan kwenye mambo ya views YouTube,” Ommy alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM.

“Mimi ningewaambia kitu kimoja fanya ngoma kali video acha watu waangalie,” “kwa sababu naongea kwa uzoefu wangu mimi na video yangu ‘Wanjera’ ilikuwa na views laki tisa, kuna mtu mmoja akaniambia siwezi kumsema ni nani ila aliniambia bwana vipi unataka views YouTube? Nikamuuliza views YouTube kivipi, akaniambia hebu nitumie link ya video yako. So mimi nilikuwa nataka kuprove nikamtumia link ya ‘Wanjera’ na ilikuwa na views laki tisa na elfu nne hivi lakini baada ya kumtumia masaa sita baadae akaniambia angalia kuangalia nakuta na milioni moja,” alifafanua zaidi.

Muimbaji huyo amedai hatua hiyo ilimfanya agundue ni kweli kuna baada ya watu wananunua views YouTube.

Video mpya na muimbaji huyo aliyoshirikiana na Alikiba ina views 607,967 ikiwa na inaelekea wiki ya pili toka iwekwe katika mtandao wa YouTube.

hAHAhaha Mziki Unaelekea Mgumu Sana Bwana Dimpoz Hapa nadhani Unawachokonoa wafuasi wa Simba

Source: Bongo5 & Times fm
Anunue na yeye basi Kama hana hela apige kimya
 
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amedai yeye hawezi kufanya mchezo wa kununua views kama baadhi ya watu wanavyofanya.“Mimi nataka kutoa wito maana siku hizi watu ‘wanachiti’ sana hususan kwenye mambo ya views YouTube,” Ommy alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM.

“Mimi ningewaambia kitu kimoja fanya ngoma kali video acha watu waangalie,” “kwa sababu naongea kwa uzoefu wangu mimi na video yangu ‘Wanjera’ ilikuwa na views laki tisa, kuna mtu mmoja akaniambia siwezi kumsema ni nani ila aliniambia bwana vipi unataka views YouTube? Nikamuuliza views YouTube kivipi, akaniambia hebu nitumie link ya video yako. So mimi nilikuwa nataka kuprove nikamtumia link ya ‘Wanjera’ na ilikuwa na views laki tisa na elfu nne hivi lakini baada ya kumtumia masaa sita baadae akaniambia angalia kuangalia nakuta na milioni moja,” alifafanua zaidi.

Muimbaji huyo amedai hatua hiyo ilimfanya agundue ni kweli kuna baada ya watu wananunua views YouTube.

Video mpya na muimbaji huyo aliyoshirikiana na Alikiba ina views 607,967 ikiwa na inaelekea wiki ya pili toka iwekwe katika mtandao wa YouTube.

hAHAhaha Mziki Unaelekea Mgumu Sana Bwana Dimpoz Hapa nadhani Unawachokonoa wafuasi wa Simba

Source: Bongo5 & Times fm
mimi ni mtaalam wa youtube na nimewatengenezea baadhi ya wasanii accounts za youtube....kwenye website au channel ya youtube huwezi kununua trafic kwenye channel yenye matangazo ya google kama diamond au huwezi kutuma fake traffic kwenye channel yenye matangazo kama ya google na ukifanya hivyo google watakufungia account yako hata mwezi hautaisha...
*****MUHIMU******
1. Channel ya diamond youtube ndio bora na inayoheshimiza zaidi Tanzania nadhani na East Africa na ile ni verified na inalindwa sana na google.. Angalia ina kialama cha tiki tofauti na account nyingine.. Mpaka google wakaamua kumpa tuzo diamond wameshaikagua na kuona ina viewers original na sio wa kununua.. Kifupi ukiona video ya youtube ina matangazo ya google hapo ujue hakuna viewers wa kununua na ukijaribu kutuma fake traffic hata mara moja channel inafungiwa matangazo...Channel ya diamond haina viewer hata mmoja wa kununua kwa kua ina matangazo ya google.. Tatizo hawa wasanii wanaongea upuuzi na hawana elimu yoyote kuhusu technology ya youtube
 
Back
Top Bottom