Watanzania wana matatizo makubwa kuliko mnavyodhani.
Kuna rafiki yangu pumbavu fulani jinga kabisa lilikuja Bongo likiwa na passport ya Marekani basi kwa uzuzu na ulimbukeni kila hotel tukienda lenyewe linaona sifa kutoa US Passport matokeo yake kinakosa prevallige za wazawa linachajiwa kama mzungu mimi nachajiwa kizalendo.
Nina uhakika pale airport Marekani mahojiano yalikuwa hivi;
Immigration officer: Hellow mr Dempoz why u came to US?
Ommy dempoz: You know i have big show, big concert in America and my President Kikwete he select me to perform in Ameria for Ccm Celebrates.
So far i have big project with Wema you can follow me in Insta.
Immigration officer: Ok Mr Dimpoz wait there seat on the coach wait for the next flight back to your country.