Ommy Dimpoz nae kaamua kutoboa pua na kusema haya

jamaaa kitaaani wanadai hawamjui shemeji!!.......Wanaume wanazidi kupuputika dar es salaam.
 
Wenyewe wanajiita wanaume wa Dar..
 
Wenyewe wanajiita wanaume wa Dar..
 
Kidogo nitukane niharibu swaumu yangu!! ... Amenikera anavoramba midomo na kuibana ...
Ana bana midomo ili hizo dimples zionekane ana matatizo bwana mdogo kuwa mtoto wa kiume kwake ni kama bahati mbaya.
 
Wako wasanii wakitoboa pua nitajiuliza kulikoni lakini kwa huyo ni mahala pake kabisa tena amechelewa, mkimshangaa na kumlaumu mtakuwa mna muonea tu.
 
Huyu nae alipiga pushup kwenye kampeni ya JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…