Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Afu weweMbona anatumia nguvu sana kuongelea kama ana dem, shogakidawa nini?
Mbona anatumia nguvu sana kuongelea kama ana dem, shogakidawa nini?
hajielewi huyu...!!Mbona anatumia nguvu sana kuongelea kama ana dem, shogakidawa nini?
Msanii Ommy Dimpoz ameshukuru baraza la sanaa Tanzania kumuadhibu msanii mjinga Ney wa Mitego, pamoja na wasanii wengine wanaoandika nyimbo za matusi
Amesema atamtambulisha mpenzi wake soon, na amedai mtu kutokuonyesha mahusiano yake sio kuwa jogoo haliwiki bali ameamua kuweka maisha yake private yakae private na kutolea mfano ya wasanii kama mwana fa, ay, ambao hawaonyeshi wapenzi wao lakini haimaanishi wana matatizo
vitendo gani unataka?Mbona Maneno Mengi tunataka vitendo
Kazi yake kupiga piga tu picha na madem, namuona kama nyuki wa canteen ni kulamba lamba tu vikombe na sukari, huenda ni kweli jongoo hapandi mtungihajielewi huyu...!!
ana mambo ya kishogaaa!!!