Ommy Dimpoz: Nashukuru Basata kumuadhibu mjinga Ney wa Mitego, nitamuonyesha mpenzi wangu

Mbona anatumia nguvu sana kuongelea kama ana dem, shogakidawa nini?
Huyu ndio yule kwenye tangazol LA magoro amelala na viatu


Anatuonyesha mchumba baada ya kuchanwa na lile jembe anatakiwa kumshukuru coz amemkumbusha uanaume [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hiyo amekutuma uje ushtaki humu?!
Punguza mihemko mkuu hajanituma ila naeleza ninachokijua kwa watu wanahoisi jamaa ni shoga.....halaf uoni hyo taarifa kama ina faida kwa ommy kutokana na tuhuma zake??
 
Kwa hiyo kumbe dogo ommy ni makodinda makostamina?,wanampakazia kuwa ni gay wanamsingizia?
Ha ha ha ha me najua alikua shemeji yangu sasa hao wanaosema jamaa ni type ya akina james nashangaa
 
Msalimie Misago
 
Jogoo unaweza akawa anawika lakini hana hana nguvu ya kupigana hata na jike
 
Ha ha ha, Watu hawataki maneno, Onyesha uwezo, Haka kajamaa inawezeka asubuhi hakatunishi boxer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…