Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kaka ommy unatumia nguvu sana kutuambia una dem kwani ukikaa kimya inakucost nini we ndo wajua unae au hauna **** inasimama au haisimami..... Ukiongea tunaongeaaaaUmeshawahi kumpa akashindwa au basi humpendi?
Bibie nipe namba yako nikuunge bundle la chuo ili uweze kufungua hiyo video uone kuwa huyo Dogo hajatumia nguvu bali kaulizwa swali akajibu.Kaka ommy unatumia nguvu sana kutuambia una dem kwani ukikaa kimya inakucost nini we ndo wajua unae au hauna **** inasimama au haisimami..... Ukiongea tunaongeaaaa
Sasa tutakuamini vipi?!Punguza mihemko mkuu hajanituma ila naeleza ninachokijua kwa watu wanahoisi jamaa ni shoga.....halaf uoni hyo taarifa kama ina faida kwa ommy kutokana na tuhuma zake??
Msanii Ommy Dimpoz ameshukuru baraza la sanaa Tanzania kumuadhibu msanii mjinga Ney wa Mitego, pamoja na wasanii wengine wanaoandika nyimbo za matusi
Amesema atamtambulisha mpenzi wake soon, na amedai mtu kutokuonyesha mahusiano yake sio kuwa jogoo haliwiki bali ameamua kuweka maisha yake private yakae private na kutolea mfano ya wasanii kama mwana fa, ay, ambao hawaonyeshi wapenzi wao lakini haimaanishi wana matatizo
Kwani lazima mniamini?? wewe endelea kuamini unachoona kwako ni sahihi na mimi ntaendelea kuamini ninachokijua.Sasa tutakuamini vipi?!
kama vipi tuma picha.
Sasa kama ukuwa na shida ya kuaminika iweje ulituletea habari ambayo haituhusu au ulikuwa na lengo la kujionyesha unamjua vizuri jamaa kabla ajatoka?Kwani lazima mniamini?? wewe endelea kuamini unachoona kwako ni sahihi na mimi ntaendelea kuamini ninachokijua.
Hajakupa mrejesho kwamba jamaa jogoo hawiki?Ommy bana wakati anahustle alikua anadate na rafiki yangu...alivyotusua akaanza kumzingua....wanaume si watu!!!
Mbona unawasemea na wengine zungumzia nafsi yako.....ndiyo nilikua na lengo la kujionyesha kama namjua toka zamani na sio shoga kama anavyofikiriwa kwan kuna tatizo? kama umekwazika samahan dada yangu na sitokujibu tena, usiku mwema.Sasa kama ukuwa na shida ya kuaminika iweje ulituletea habari ambayo haituhusu au ulikuwa na lengo la kujionyesha unamjua vizuri jamaa kabla ajatoka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf mna vituko....Hajakupa mrejesho kwamba jamaa jogoo hawiki?
MEHuyo mpenzi wake atakayemuonesha ni me ama ke?
AbakeDuhh jamaa ana kazi sana ya kudhihirisha uanaume wake. Sijui atafanyaje ili watu waamini kwamba yeye ni kidume!
Mhh, hilo nalo neno!! Ila jela itamuhusu.Abake
weka picha yako nikuaminiOmmy bana wakati anahustle alikua anadate na rafiki yangu...alivyotusua akaanza kumzingua....wanaume si watu!!!
Kwani hazipo?! Acheni kumuonea Ommy, mbona hamshangai wale wanaume wa mawingu wanapopiga mayowe pale studio kwa kusema "imoooooooo" imo wapi?! mwacheni Ommy aishi maisha yake ufuska si sifa.hahahaaa mtoto wa kiume kujiita dimpoz kweli?lazma kutakua na uwalakini apo