Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Asije akawa anaishi kwenye nyumba za kupanga tena vyumba vya huani! Mshaurini awekeze au ajenge, hacheni kumpa sifa za kijinga wakati mwenzenu anapotea, muulizeni Mr Nice
Wabongo unafiki ndo wanauweza
 
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg


Kweli maisha bongo magumu, yaani jamaa kunywa kikombe cha km kahawa Uarabuni tayari unaona jamaa anastarehe sana [emoji52]
 
kwa yanayoendelea nnchiii mwachen ale bata,,,,,ata asiporrudi sawa tu
 
Tatizo lako hasa nini?

Ulitakaakuchukue na wewe muende wote?
 
ILA warumi na yeye si ANAENDA KAZINI!
uachage umbea na wewe binamu!
raia WENYE HASIRA KALI WAMEKUVAMIAAAA!
ahahahhhahahahhahahhaha DAH!ahasante kwa kicheko mubaashara!
Hii michambo ya mwendo kasi, kweli raia wamenichoka
 
Utakuta aliyeandika hapo ni huyo huyo ommy mwenyewe kutaka kiki
 
Back
Top Bottom