creed jackson kapepeta
Member
- Feb 16, 2017
- 7
- 0
Acha ubwege,hayo ni maisha binafc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo na wewe umeanza kunipangia cha kupost? Sasa kama nakuudhi umefuata nini si upite hivi,Waswahili wivu utatuua, unaanzaje kumpangia mtu jinsi ya kuendesha maisha yake????
Afanye kazi asifanye wewe unapungukiwa nini???
Naona sikuhizi unakosa vya kuandika, siku ingine unaacha tu siku ipite.
Fact mkuu umeua..Pesa zake sio zako usimpangie matumizi.punk
Na wewe usinipangie cha kupost pita hivi,Wakati anahaso ulikuwa naye? Mimi hamna kitu nachukia kama kumpangia MTU atumiaje pesa yake maana alikuwa juani mwenyew shida ya bongo ndio hii starehe ni wanawake tu ukipata hela ukaenda zako kubariz oooohhh starehe maisha yenyewe ndo hayahaya let ommy enjoy it..juu hukusaidia kutafuta
Una wivu wa kikeYani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
![]()
Busara ni kitu cha msingi sana, sawa basi naenda zanguWe Malaya mzee usinipangie cha kupost kahaba wewe, mxiee kama huna kazi kaoshe makalio yako mbuzi mwendawazimu..
Don't think u r free kumpangia mtu to that extent,unajua anazipataje?unajua maumivu anayopata wkt anaitafuta,aisee u r not free to that extent,u better watch it.Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
![]()
Hustle gn?hizi hizi za mziki wa kutegemea show!?ana show gn anaenda kufanya?alikiba tu kwa mfano kupata show SA majuzi ndo kaanza kujitapa kuwa anapiga hela,huyu ana hela gn ya kula bata hizo,sio vizuri kufuatilia maisha ya watu lkn yy ni celebrity,lzm afatiliwe na wala sio wivu ni kawaida ya binadamu kufatilia maisha ya mtu maarufu na wambea wanasema,umbea ni afya.Wakati anahaso ulikuwa naye? Mimi hamna kitu nachukia kama kumpangia MTU atumiaje pesa yake maana alikuwa juani mwenyew shida ya bongo ndio hii starehe ni wanawake tu ukipata hela ukaenda zako kubariz oooohhh starehe maisha yenyewe ndo hayahaya let ommy enjoy it..juu hukusaidia kutafuta
Pole warumi kwa hapa ulikosea mkuu awe celeb au mtu Wa kawaida sio vzr kumpangia mtu atumiaje pesa yake..mtu anashauriwa tu sio kupangiwa mfano chibu alivyo na viwanja na majumba mengi ya kupanga lazima mamake ndo anamshauri ila hampangii pole mzee mwenzanguHustle gn?hizi hizi za mziki wa kutegemea show!?ana show gn anaenda kufanya?alikiba tu kwa mfano kupata show SA majuzi ndo kaanza kujitapa kuwa anapiga hela,huyu ana hela gn ya kula bata hizo,sio vizuri kufuatilia maisha ya watu lkn yy ni celebrity,lzm afatiliwe na wala sio wivu ni kawaida ya binadamu kufatilia maisha ya mtu maarufu na wambea wanasema,umbea ni afya.
Ahahaa masikini utamjua kwa mwandiko wake mimi ukinitukana ni sawa na kupiga jiwe ukifikiri litaumia k.ukwl kabisa nashukuru kwasababu najua mimi si mbwa.Na wewe usinipangie cha kupost pita hivi, mbwa wewe