Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #281
Ndugu baunsa akaenda mnara kabisa dah!View attachment 2489161
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hiyo video ni ya miaka mingi sana, mambo ya hayo.Jana kule Twitter nimeona video jamaa wa kizungu anamkatikia nyoka. Yaani yupo uchi kitandani ukuni umesimama akauzamisha kwenye nyapu ya chatu wote. Kweli sijawahi kuona kila kitu hapa Duniani!
[emoji23][emoji23][emoji23]eti hi hi hiiii
Watoto wadogo.[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waone wakutukane
Watoto wadogo.
Siku nyingi mkuu.Hila huyo jamaa itakuwa alitunikiw
Siku nyingi mkuu.
Situmii mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] bado wewe ty mkuu
Situmii mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mtu ana muonea wivu dimpoz, kisa yeye hapendwiii na hajikubali jinsi alivyoo anabaki kuchukia wenziee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaziii ipooooo. JF bhanaaaaa.
Sijui kwanini sisi masikini huwa tuna hasira, chuki na choyo namna hii
Mpuuzi Sana Analia Na Kutetemeka Yaani Kama......
Kilichompeleka Hapo Nini? Anachefua Sana Huyo Jamaa
Ndiyo Maana Watu Wanasema Punga Sese, Anakumbatiwa Eti Anatulizwa
Sijatajaaa mtu mie, mbna unajistukiaaa? Kwan wanao kandia ommy ni wee pekee ako? Hizo sio shida zake, Poleeeeeeee.Mimi nilikuwa namuonea wivu kipindi kile mademu walikuwa wana mkubali sana kila demu ukimtongoza au ukipiga nae story anamuingizia ommy lakini sio now