KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Sio ubwabwa, ni ubwabwajikeUbwabwa ndio ulipe kiasi hicho kweli?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ubwabwa, ni ubwabwajikeUbwabwa ndio ulipe kiasi hicho kweli?😂
Huyu naonaga anatagiwa sana kwenye mambo ya upinde,,nae ni mdau nini
Upunda haipingiki, sasa unaambiwa mwenzio mpaka chumba anacholala muuza magodoro anakijua vizuri, kila uchwao anashinda nyumbani wakati mke mkubwa yupo zake vacation dubai, tena naona siku hizi mahaba na danga lake la kimombasa 001 yamepungua kabisa mambo yote kwa muuza magodoro.Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
😂😂 mkuu mengine yakupite, kwa style hiyo hata hiyo biashara ingekuwa ishakufa kwa malumbuzi.Ila watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..
Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
How are you doing mkuu?
Balaaa🤣Mji mzito huu!
We mbona unazikalia ila unaishia Uyole ukienda mbali Kiwira au Mwanjelwa?Nasikia anaikalia
😂😂😂😂afu kweli bhana...,juzi nilikuwa kiwira🤣🙌🏿We mbona unazikalia ili unaishia Uyole ukienda mbali Kiwira au Mwanjelwa?
Hiv TRA ndio kazi pekee wanayoifanya!?Kwanza TRA walitakiwa wambinye kende zake aeleze anatoa wapi pesa na kama analipa kodi, shwaiiiin.
Ahahahahaha😂😂😂😂afu kweli bhana...,juzi nilikuwa kiwira🤣🙌🏿