mdunduwaro
Member
- Jun 5, 2017
- 34
- 8
Woga wenu nn?ngojeni watu warudi toka darasani kwa madiba muone shughuli yakeUmeona eeeeeh,captain maana yake kiongozi,Sio lazima mchezaji akae muda mrefu ndio awe na sifa za uongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dua za kuku hizo, mtaleta kila propaganda ipa Simba nguvu mojaDaah
Mpasuko wake utaigharim simba kwa muda mrefu saana
Ngoja tuone lakini [emoji16] [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha timu ndogo na timu kubwa Aston villa ni timu ndogo sana huyo Terry angekuwa villa ndio kaenda Chelsea unafikiri angepewa unahodha au leo hii Ronaldo aende Chelsea unafikiri atapewa unahodha ila akienda Newcastle uwezekano upopy thon john Terry amesajaliwa na aston villa na kupewa unahodha tena mkuu
Sembuse Huyo bocco tena nahodha msaidizi wa tatu
Poor you
Nahodha ni Method Mwanjali, wala sio Bocco. Manahodha wasaidizi ni Tshabalala na Bocco. Sasa hiyo Simba ya Mkude na Bocco inatokea wapi? By the way, Mkude ameisumbua sana Simba katika kuongeza mkataba, na kama nahodha hakutakiwa kuwa anaongelea mkataba wake hadharani. Alikuwa anasema hadharani kuwa msimu ujao nitaangalia maslahi yangu. Aliwahi kusema anasaini Yanga. Naunga mkono Mkude kuondolewa unahodha. Napinga wanaosema nahodha ni Bocco... tutarajie kuona simba ya mkude na simba ya bocco
Kila mtu kasajiliwa kivyake kwa dau lake huwezi kushikiwa akiliMkuu tulia dawa iingie taratibu nataka nikwambie kitu ndani ya simba kitu kinachoidhoofisha klabu ni uongozi. Wachezaj na fans hawana tatizo wanafanya kazi yao ipasavyo tutarajie kuona simba ya mkude na simba ya bocco na kibaya zaidi kuna majina makubwa yenye viburi kutokana na kupata mafanikio ya soka mf Okwi,Niyonzima,na wengineo. Kiukweli kabisa mafanikio ya yanga yametokana na mshikamano uliojengwa na klabu ya yanga pamoj na fans wao ila kwa simba ni tofauti kwani huwa haiishiwi na figisu ndan ya klabu sitoshangaa kuona mpasuko wa ndani kwa ndani baina ya wachezaji wenyewe ikiwa uongoz hautochukuwa tahadhari lkn pia kwa simba kumvua mtu ukapteni limekuwa ni jambo la kawaida refer kwa H.Isihaka nk.
kwahiyo kigezo kipi kinatumika kumpa mchezaji unahodha?Tofautisha timu ndogo na timu kubwa Aston villa ni timu ndogo sana huyo Terry angekuwa villa ndio kaenda Chelsea unafikiri angepewa unahodha au leo hii Ronaldo aende Chelsea unafikiri atapewa unahodha ila akienda Newcastle uwezekano upo
Hivyo hivyo TZ yondani akienda majimaji na akapewa unahodha haitoshangaza ila kwa vilabu hivi vikubwa ndio mshangao mkubwa
Tena kasajili vikongwe wakati sisi Simba tunaamini ktk vijana,yaani mtaa wa pili wanapunguza wazee, sisi tunasajili wala pensheni. Siioni tena Simba ya vijana, taratibu tunajuana mbele ya safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumzi inakata taratibuuuuTena kasajili vikongwe wakati sisi Simba tunaamini ktk vijana,yaani mtaa wa pili wanapunguza wazee, sisi tunasajili wala pensheni. Siioni tena Simba ya vijana, taratibu tunajuana mbele ya safari
Sent using Jamii Forums mobile app