johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwanaharakati Joel Omondi amesema Rais mteule wa Kenya Dr Ruto katika kampeni zake alitumia mbinu za hayati Magufuli ili kujenga kukubalika na wapiga kura
Omondi amesema Ruto alijishusha kwa Watu wa Chini kabisa wale Jua kali na mama mboga huku akijiita yeye ni " chicken seller"
Hata uvaaji ni ule ule wa hayati Magufuli kwenye kampeni, amesema Omondi
Mungu ni mwema wakati wote!
Omondi amesema Ruto alijishusha kwa Watu wa Chini kabisa wale Jua kali na mama mboga huku akijiita yeye ni " chicken seller"
Hata uvaaji ni ule ule wa hayati Magufuli kwenye kampeni, amesema Omondi
Mungu ni mwema wakati wote!