On ma way nikienda Bar kulewa hukumu ya sabaya imenifurahisha

On ma way nikienda Bar kulewa hukumu ya sabaya imenifurahisha

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Wakuu

Hapa naelekea Mitaa fulani ya hapa Mwenge kupata moja moto moja baridi

Yaani leo ni raha yaani leo ni mwendo wa kugawa bia tu bajeti ya leo nipo radhi hata 500k iishe

Ukizingatia na wife hayupogo [emoji91][emoji91][emoji91]Leo bia zinahusika tunywe tulewe tusherehekee

Sabaya kwishaaa


Mwendazake kwishaa

Legacy kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani leo ni raha sana wakuu[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Leo raha sana wakuu

Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee

Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku

"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
 
Leo raha sana wakuu

Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee

Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku

"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea

Ndivyo inavyokuwa haki ikitendeka.

Fikiria ingekuwa je kama haki ingepindishwa.
 
Wakuu

Hapa naelekea Mitaa fulani ya hapa Mwenge kupata moja moto moja baridi

Yaani leo ni raha yaani leo ni mwendo wa kugawa bia tu bajeti ya leo nipo radhi hata 500k iishe

Ukizingatia na wife hayupo leo [emoji91][emoji91][emoji91]Leo bia zinahusika tunywe tulewe tusherehekee

Sabaya kwishaaa


Mwendazake kwishaa

Legacy kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani leo ni raha sana wakuu[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
duu
 
Wakuu

Hapa naelekea Mitaa fulani ya hapa Mwenge kupata moja moto moja baridi

Yaani leo ni raha yaani leo ni mwendo wa kugawa bia tu bajeti ya leo nipo radhi hata 500k iishe

Ukizingatia na wife hayupo leo [emoji91][emoji91][emoji91]Leo bia zinahusika tunywe tulewe tusherehekee

Sabaya kwishaaa


Mwendazake kwishaa

Legacy kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani leo ni raha sana wakuu[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
Bashite kwishaaaa
 
Naskia wamama wa arusha na moshi wamekaa kikao cha dharura naskia ni mwendo wa kutoa hivi[emoji2224][emoji2224][emoji2224][emoji2224][emoji2224]kunako 6×6[emoji23][emoji23]
 
Magufuli alipo fariki kuna kijana mmoja kwa jina modest (Katavi ) alifurahi sana na siku Iyo akaenda baa kulewa (kama ww) kwa furaha sana.

Unajua kilicho mkuta

Alizikwa kabla ya magufuri (walio katavi wanajua habari hii)

Angalia tusikuzike ama usiishie kulewa na kupigana kesho ukatimba mahakamini kwa kosa lolote na ukalambwa mvua kama sabaya
 
Njia iliyotumika kwenda jera njia hiyo hiyo itakayotumika kumtoa jera miaka 30 hawezi kumaliza.
Itokee aliyoko madarakani atawale miaka 30 Ni Kitu kisicho wezekana
 
Leo raha sana wakuu

Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee

Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku

"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
Ni upumbavu, ulipigwa, ulivunjwa, ulinyang'anywa na ukatombew..a mke halafu snafungwa unapoteza pesa tena kusherehekea..shenzi kabisa
 
Magufuli alipo fariki kuna kijana mmoja kwa jina modest (Katavi ) alifurahi sana na siku Iyo akaenda baa kulewa (kama ww) kwa furaha sana.

Unajua kilicho mkuta

Alizikwa kabla ya magufuri (walio katavi wanajua habari hii)

Angalia tusikuzike ama usiishie kulewa na kupigana kesho ukatimba mahakamini kwa kosa lolote na ukalambwa mvua kama sabaya
Hahaha kwahiyo unataka kusema nn kijana
 
Back
Top Bottom