fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Utoto unakusumbua wewe,sisi Arusha hatunaga ujinga huo unaowaza labda muende huko kiboroloni moshi KWA walevi wenzenuLeo raha sana wakuu
Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee
Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku
"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea