Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilinganishe kesi ya jambazi na kesi ya kisiasa ya Mbowe.Mbowe ajiandae he is next. SABAYA is justification of what is going to happen
Hongera ila tahadhari uwe makini maana usijebugi nawe ukabigwa Miaka ya kutosha JELAWakuu
Hapa naelekea Mitaa fulani ya hapa Mwenge kupata moja moto moja baridi
Yaani leo ni raha yaani leo ni mwendo wa kugawa bia tu bajeti ya leo nipo radhi hata 500k iishe
Ukizingatia na wife hayupogo [emoji91][emoji91][emoji91]Leo bia zinahusika tunywe tulewe tusherehekee
Sabaya kwishaaa
Mwendazake kwishaa
Legacy kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani leo ni raha sana wakuu[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
Pesa tutafute wenyewe utupangie matumizi kafie mbeleNi upumbavu, ulipigwa, ulivunjwa, ulinyang'anywa na ukatombew..a mke halafu snafungwa unapoteza pesa tena kusherehekea..shenzi kabisa
Daadex bado siku ya kuisha mbuzi wa kongwa idodomyaKwa wiki mbili mbuzi Moshi na Arusha walikwisha, ilibidi wafuatwe Handeni.
Kwa ushahidi(ukweli) upi?Ng'ombe weye!😝😝😝😝Mbowe akining'inizwa maisha msilalamike.
Tusije kusema mahakama hauko huru tumeona kwa Sabaya.