fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Utoto unakusumbua wewe,sisi Arusha hatunaga ujinga huo unaowaza labda muende huko kiboroloni moshi KWA walevi wenzenuLeo raha sana wakuu
Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee
Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku
"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
Roho inakuuma kama sisi ilivyokuwa inatuuma wakati tunatishiwa mitutu na Bwana DC aliyeko Kisongo kwa kazi maalum!!Ni upumbavu, ulipigwa, ulivunjwa, ulinyang'anywa na ukatombew..a mke halafu snafungwa unapoteza pesa tena kusherehekea..shenzi kabisa
Yna2 nakuita mrembo uje tuchome nyama huku Ngerengere[emoji23][emoji23] dah...
Sikufurahishwa na vitendo vyake kwa watu Wengine lakini namuonea huruma na Maisha ya jelaLeo raha sana wakuu
Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee
Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku
"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
Watu wanafurahi haki kutendeka sio sabaya kufungwaSabaya ametenda makosa ni kweli. Lakini hakuna ufahari wowote kwenye kufurahia matatizo ya binadamu mwenzio.
Maisha hayana formula hata wewe unaweza kujikuta jela miaka 30 hata kwa kusingiziwa. Muombe mola akuepushie mitihani ya dunia.
Love love love.
Leo raha sana wakuu
Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee
Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku
"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
When you become public enemy!Leo raha sana wakuu
Natamani niwakusanye wote leo tunywe tusherehekee
Ndugu zangu wananiambia huko Moshi ni mwendo wa bia, nyama choma za ngombe, kitimoto na mbuzi na kuku
"Asikwambie mtu bia tamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ni siku ya kulewa tu na kusherehekea
Unaweza fanya tukio la kijambazi bila kujua ndio ujambazi wenyewe mpaka ushikwe.Ujambazi siyo aisee