On Mbowe: Man, Family Life and Politics

Status
Not open for further replies.
Kaulizwa hali? labda anaumwa je, who knows.
 
Freeman Mbowe ni bonge la leader kwasababu ni MGARATIA!! huo ndio usawa tuliopo sasa hivi....ukiwa mkristo safi, ukiwa muislamu chafu!! hovyo sana.

FREE CHINKALA NOW.
 
mbowe mzugaji tuuu,hana lolote!!!Kwanza akalipe deni lake la NSSF.Huyu sasa ndo Fisadi,tena huyu fisadi kiwembe.
 
Sasa naziona athari za mada zilizotangulia!...

Jamani bangudu tujaribu kuondoa jazba kwa sababu najua kabisa walioleta zile mada humu walitaka kuibomoa Chadema na nina hakika YournameisMine umeanza kuamini kwamba kuna wachangiaji wachache waliomo humu wana repre
 

Segerea wapiiii mtu mzima bado anaishi kwenye apartment ya Baba yake

says alot where Mbowe's priorities lie
 
Hivi hapa kikubwa ni tamko la CHADEMA kama chama cha siasa au Mbowe??Sioni ubaya kwa Kabwe kulitolea tamko hili suala,naamini amekiwakilisha chama chake otherwise naamini within a reasonable time Chadema wangekanusha na kusema kuwa huo ni mtazamo wa Kabwe mwenyewe kama raia mwingine wa Tz.
Mbona Mzee wa kaya ame_mute na hamsemi?Au yeye hayaoni haya?
 
nadhani GT anaongelea kwa nini Mbowe as mwenyekiti wa CHADEMA, kwa nini haongeii?
 
GT,i differ with you .Mbona huyo nayeitwa rais JK hajazungumza kitu kuhusu migomo ya vyuo vikuu..?? Think
 
GT,i differ with you .Mbona huyo nayeitwa rais JK hajazungumza kitu kuhusu migomo ya vyuo vikuu..?? Think

kweli kabisa hata mauzauza yaliyotokea Tarime kama rais angetakiwa azungumze, kilekile kilichomfanya kikwete akae kimya ndo hicho hicho
 

inaonyesha jinsi hawa watu walivyokomaa kisiasa wanajipanga kisawasawa na kila mtu anasehemu yake ya kuongea chuo hakiwezi kuwa chuo kama kitakuwa na fani moja tu, hata chama hakiwezi kuwa chama kama watu watasubiri mwenyekiti aongee kiongozi mzuri ni yule anayeweza ku delegate madaraka bwana au unataka awe kama mrema sijui mtu mwingine katika chama chake ila yeye akifa na chama kimekufa kwani mpaka wengine waanze kutengeza PR sio leo.......
 
Freeman Mbowe ni bonge la leader kwasababu ni MGARATIA!! huo ndio usawa tuliopo sasa hivi....ukiwa mkristo safi, ukiwa muislamu chafu!! hovyo sana.

FREE CHINKALA NOW.

Mods huyu jamaa amekuwa banned kwa sababu ya hii post???
 
Segerea wapiiii mtu mzima bado anaishi kwenye apartment ya Baba yake

says alot where Mbowe's priorities lie

Mbowe anaishi mikocheni karibu na regency hotel kwenye bonge la nyumba aliyejenga mwenyewe tangu 2004. Hivi watu mbona wanakuwa na akili fupi. Mimi sikumbuki mahali mbowe amesema anagombania urais. Kuwa mwenyekiti wa chama sio kuwa president in waiting. Does this means makaidi na mapalala na mziray nao ni presidents in waiting. Please acheni ushamba....Grow up man.
 
mwenyewe yupo humu nashangaa maka sasa kagoma kujibu kitu
 
mwenyewe yupo humu nashangaa maka sasa kagoma kujibu kitu

Akizungumza Chiligati na ccm wanaye na kumwita majina...Akinyamaza..GT yuko naye..Hii kali.
Hata hivyo nadhani dK Slaa ama Zitto bado wanaweza kumwakilisha hapa jamvini..Ama?
Ni kweli Mh Mbowe yumo hapa na ana profile lakini nadhani alifuata ushauri wa baadhi ya watu na hajawahi kutokea tena hapa zaidi ya watu kuzusha kuwa Kieleweke ndiyo yeye.
Mnyika naye yumo hapa so nadhani mkuu GT kama una maswali yatajibiwa tu usiwe na shaka kabisa.
 

Msameheni GT kaathirika na siasa za UK. Anafikiri kila kiongozi wa chama cha siasa automatically anakuwa mgombea wa uongozi wa nchi (Rais au WM) kama ilivyo kwa akina Cameron na Clegg. Ni kupeana kaelimu kuwa mfumo wetu wa siasa hauendi hivyo. Kiongozi wa chama kwetu ni caretaker kwa kipindi cha uongozi wake na haina maana yeye ndiye lazima awe mgombea.
 
2010 sio mbali, mtasikia Mbowe akilanda na chopper zake
 
GT , ni kipi kilichokusibu?, mbona umetoka kuwa mtu wa hoja nzito na kuishia kuwa mtu wa vioja vya kitoto?. umekuwa too arrogant dhidi ya Mnyika, umekuwa too abusive dhidi ya Mwanakijiji na umekuwa too bitter dhidi ya Mbowe.
iko wapi "humility", ndugu yangu!.
hebu angalia hii, kama wewe unajua kuna wanaojua zaidi yako mara maelfu lakini huwasikii kuwatukana wanadamu wenzao!,
kama wewe umeenda shule, mbona kuna watu wameenda shule kukuzidi lakini wametulia tu!. makeke ya nini ndugu! Humility, Humility my friend, Arrogance can lead you to nowhere except to a self glorification which infact is an illusion!. an illusion that you are The best but infact you are petty!!, i am sick and tired of your nonsense!!
 
Mkuu,umenena sana.


Tatizo watu wanapenda kudumisha fikra za wenyeviti.Hivi mbona JK kapiga kimya tu halafu watu wengine mnaona shwari tu?
 

Kitila:

GT anayo point muhimu. Kitu cha kwanza ni kiongozi kuwa na visibility. Kama mwenyekiti wa CHADEMA anakosa kuwa na visibility ni kweli hatakuwa na uwezo wa kuuza sera za chama. Nitatoa mifano miwili:

Salimu Ahmed Salimu alipendwa sana na watu. Lakini katika kipindi cha Mkapa, ndugu Salimu hakuwa na posti yoyote ya kumfanya kuwa na visibility. Inawezekana alichezewa faulo katika uchaguzi wa 2005, lakini kwa kiasi kikubwa hakuwa na visibility yoyote kwa wapigaji kura wenye umri mdogo.

Mfano wa pili, tusijidanganye kuwa sera za vyama ndizo zenye kuwafanya washinde uchaguzi. Sehemu kubwa ya siasa ya Tanzania ni personality ya mtu. Pamoja na kuwa CHADEMA ina wabunge machachari kama Dr. Slaa na Zitto Kabwe, ushindi wa umetokana na personality zao katika majimbo yao ya uchaguzi na sio siasa za CHADEMA. Na hayo yanaweza kusemwa kuhusu wabunge wa CUF au wengi wa CCM. Hivyo basi, visibility ya mwenyekiti wa CHADEMA kuwa au kujenga personality ya kitaifa ni muhimu.

Kitu kingine ni kweli kuwa kama maendeleo ya kisiasa yatandelea kama yalivyo, uwezekano ni Mbowe kugombea tena urais na hii inatokana na probabilities zilizokuwepo sasa. Probabilitiy ya Dr. Slaa kushinda ubunge katika jimbo lake ni 95%. Na probability ya Dr. Slaa kushinda urais wa Tanzania 5%. Probability ya Zitto Kabwe kushinda uchaguzi wa ubunge ni 98% na probability ya kushinda urais ni 10%. Hivyo basi kwa maendeleo yalivyo sasa, Kabwe na Slaa wanategemewa kugombea tena nafasi zao za ubunge. Na kama Zitto na Slaa watagombea ubunge, basi wanasiasa wenye ngazi kubwa ndani ya CHADEMA akiwemo ndugu Mbowe watategemewa kugombea nafasi hiyo. Hivyo kum-project ndugu Mbowe kama rais mtarajiwa sio makosa, na kama ni makosa je matarajio gani watu wategemee kutoka kwake?
 
Mrema na Seif Sharif wamekuwa na visibility kubwa imewafikisha wapi? Kuna kitu kinaitwa oversaturation.Overexposure.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…