On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

Umeeleweka vizuri sana mkuu!
kwa sisi tulipo kwenye field ya construction tunayajua mengi zaidi...!kuyaongea hapa kwakweli ''tunaogopa''!

lakini SHORT AND CLEAR;bilioni moja IS NOTHING BWANA!.....ukilinganisha na nyumba ya jk ile au mahekalu ya mabosi wangu ''wa-asia''...?billion moja sio pesa
Mkuu bilioni moja kama haitokani na kodi ya walimu ni nothing lakini kama ni kodi ya walimu na manesi na wavujajosho wengine it is something.
 
A day before, (Tuesday) the same newspaper had a similar article as its lead (`Experts: Why furore over BoT's residency?) which suggests that the owner of the newspaper must be behind this crap for God knows reasons. Perhaps this kind of campaign will lead to exposing the real Reginald Mengi in the on-going anti-corruption crusade and his real motive in trying to show (read fool) Tanzanians he is a real philanthropists who wines and dines with our top government, religious and army leaders.
Nami naingiwa na wasiwasi huyu mengi huenda si muungwana.Magazeti yake yamengangania kusafisha uondo kulikoni?
 
I'm stunned and absolutely flabbergasted by the following form of apologia by one of the most respected English daily


Well, "The Guardian" newspaper is loosing the respect exponentially! I'm conviced that there is something Prof Ndulu has given this newspaper in return. This is the third editorial in a week or soo "PRAISING" the BOT chief!

Open the second page of the very same paper issue no NO 4727, there is a heading:

Escaping thug jumps onto.....

the third para reads
....at around 2pm at midnight
!


The editor must have spent so much of his/her time preparing the Editorial!
 
Baba_Enock,

Now you will see that when I call them "hangers-on, out of work mercenaries, half bird brained imbeciled sea urchins, underpaid-overworked semi-literate old farts passing off as false young Turks, omnivorous ombudsmen" and the like I am neither exaggerating nor employing dramatic license.

This agitating most hideous nightmare on journalism is effectuating profuse expressions of pimping and prostituting upon that profession with pure puppeteering.
 
.
Gavana yuko level ya CEO wa makampuni makubwa, si ndio mwenye ile sahihi utakaiona kwenye noti mpya ya Sh. 20,000/=, 50,000/= na 100,000/= zitakazo toka hivi karibuni.

Nini spika, hivi unajua kuna ma CEO wanalipwa kuliko rais wako. Hivi unajua kuna mashirika yana mahekalu, Ikulu ni cha mtoto?.

Nlichosema, kama Spika aliishi nyumba fulani kwa kipindi kirefu, leo kawa Spika, kadai nyumba ya hadhi yake, serikali haina, imempangishia kodi milioni 10 kwa mwezi. Sasa kuna ubaya gani kama BOT wameona nyumba ya hadhi ya gavana wao ni 1.4 Bil.

Angalizo, jamani nyumba sio ya Ndulu, ni nyumba ya gavana.

Stop arguing alike a 12 year old who just read forbes.We are all aware of the multimillionaire CEO's.Mr.Ndulu is not a CEO.he is a gadem governor of a gadem BOT a public institution within the republic of Tanzania which happens to be ballooning around the bottom of GDP list.

the case here is the justification to spend 1 million dollar of public bills to house an A$$ that would do just fine in a $50k house.
 
I'm mad as hell.. is this the best that Mengi's newspaper can come up with in defence of corruption!..? Sometimes I think we have some problems.. but other times the extent of the problems seems to be beyond the range of mathematical probability!

Nimesoma, ikabidi nichukue na miwani nisome vizuri. Hii ni kweli?? Astonishing!!! Kama ni kuomba SME gurantees basi tusijikombe hivi? Hivi the editor was in his senses au aliambiwa aandike hivyo kwa lengo fulani la kuitaka kuifikia benki kuu?? Kwa hili naomba nifunge computer yangu niende kulala fofo fofo. Aibu kubwa hii kwa gazeti la IPP media.
 
Ndiyo maana wakiachishwa kazi wanakufa mapema.

Inakuwa kama katoka PEPONI na karudishwa duniani.

Sawa Ndulu, siku ukimaliza kazi BoT sijui utawaambia nini familia yako wakitaka bwawa la kuogolea na ............................... walivyovizoea. Walau Kikwete anajenga Mahekalu yake ili hata akihama, bado aendelee kuwa PEPONI. Labda Newtons law of Motions ije na iharibu hii system nzima.
 
HILI LI SHE*&ZI NDULU linatufanya watanzania wote mabwege sio..,sasa kufanya kazi kwake WB,IMF alishindwa kujenga miaka yote hiyo?!huyu ni mtanzania kweli?hata waalimu wa sekondari wanajibana wanajenga nyumba zao,itakuwa huyu aliyekuwa WB?

sababu ya kupanga ni nini??at his age 50+ he should have a house.kama hana nyumba hafai kuwa governor.

kukaa nyumba inayocost nusu ya mshahara wake ni matusi kwa watanzania wanaoliwa laki tatu na hata posho ya elf kumi kwa mwezi hawapati!

Ndulu hajashindwa kujenga nyumba. Ana Nyumba Mbezi Beach na nyingene sehemu nyingine ambayo sitaitaja hapa. Nyumba inayosemwa hapa ni ya Gavana wa Benki kuu.
 
Ndulu hajashindwa kujenga nyumba. Ana Nyumba Mbezi Beach na nyingene sehemu nyingine ambayo sitaitaja hapa. Nyumba inayosemwa hapa ni ya Gavana wa Benki kuu.

Nyumba aliyokua anakaa Balali ni ipi? inamaanisha BOT sasa ndo wanaanza ujenzi wa nyumba ya Gavana?, wote walikua wanakodishiwa?
 
OK:

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania anstahili
1. Kuishi kwenye nyumba yenye thamani ya 1.5bn Tshs (of course)
2. Kupata pata la sh 18mil kwa mwezi
3. Kupata "allowance" za jumla ya 1mil kwa siku kwa wastani
4. Kupewa ulinzi masaa 24 (mafisadi wazije kum-kolimba)
5. Kupata likizo ya siku 28 kwa mwaka na hii likizo lazima aichukue na asafiri nje ya mipaka ya nchi yetu
6. Kutibu hospitali yoyote yenye adhi ya Rais wa Marekani
7. Kusafirisha familia yake mahali popote dunia inapobidi
8. Ku...

I've got to go foleni ya Kimara si mchezo!
 
QUOTE=Kimweri;753454]Stop arguing alike a 12 year old who just read forbes.We are all aware of the multimillionaire CEO's.Mr.Ndulu is not a CEO.he is a gadem governor of a gadem BOT a public institution within the republic of Tanzania which happens to be ballooning around the bottom of GDP list.

the case here is the justification to spend 1 million dollar of public bills to house an A$$ that would do just fine in a $50k house.[/QUOTE]
I'm just 12 yrs old, and read forbers, japo humo sijamuona Ndulu.

Kimweri, call him gadem governol of gadem BOT, or call what you may, Hoja yangu hiyo 1.4 bilion is spent on something visible, the building is there, mbona hampigi kelele kwenye billions spent on nothing visible. Kama governol wa federal reserve can stay in a million dollar house, why not gavana wetu?. Do you know Mkulu stays at $ 1200 suite per day kila akisafiri?. Do you know such amount is spent only on a single trip?. What is a big deal kuhusu hii nyumba?.

Mbona tumenunua rada na gulf stream?. Hii ndio Tanzania, tufuate wito wa Mzee Mwanakijiji, tupunguze kulalamika twende kwenye kutenda.
 
why don't they advice the BoT to buy him (the governor) a Gulfstream 500 too and lease him a luxury boat in the name of whatever reason they have to justify the 2 houses!?
And go to Japanese to ask them assist us to build toilets for our schools
 
Nchi hii jamani ina matatizo sana, huu ni ufedhuli uliovuka mipaka,wanadhani statement kama hiyo ndiyo inaweza kujustify ufisadi wao...,wamefulia wasidhani watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Kambarage[R.I.P] ambao walikuwa tayari kupelekwa vyovyote vile kwa imani kubwa waliyokuwa nayo kwa watawala wa enzi zile, let's wake up jamani hatuwezi kufanyiwa hivi wakati nchi ni yetu sote, hatuwezi kuendelea kuvumilia upumbavu wa hawa wenye mamlaka, tuendeleeni kusema kwa kupaza sauti zetu, kuna siku watasikia tu kwani daima naamini hakuna sikio gumu duniani linaloshindwa kusikia vinywa vingi vikizungumza kwa pamoja
 
QUOTE=Kimweri;753454]Stop arguing alike a 12 year old who just read forbes.We are all aware of the multimillionaire CEO's.Mr.Ndulu is not a CEO.he is a gadem governor of a gadem BOT a public institution within the republic of Tanzania which happens to be ballooning around the bottom of GDP list.

the case here is the justification to spend 1 million dollar of public bills to house an A$$ that would do just fine in a $50k house.
I'm just 12 yrs old, and read forbers, japo humo sijamuona Ndulu.

Kimweri, call him gadem governol of gadem BOT, or call what you may, Hoja yangu hiyo 1.4 bilion is spent on something visible, the building is there, mbona hampigi kelele kwenye billions spent on nothing visible. Kama governol wa federal reserve can stay in a million dollar house, why not gavana wetu?. Do you know Mkulu stays at $ 1200 suite per day kila akisafiri?. Do you know such amount is spent only on a single trip?. What is a big deal kuhusu hii nyumba?.

Mbona tumenunua rada na gulf stream?. Hii ndio Tanzania, tufuate wito wa Mzee Mwanakijiji, tupunguze kulalamika twende kwenye kutenda.

probablly am not getting ur sarcasm as much but sihitaji kurudia kuhusu kumafananisha kich$% ndulu na bernanke..,tulishadiiscuss haya huko nyuma.

Hatuko JF kulalamika,tuko hapa kuweka wazi maovu,kujadili mstakabali wa taifa letu.

Ndulu si mtu pekee anayejadiliwa hapa ndio maana inaitwa forum,kuna kumbi nyingi..,mada mbele yetu ni kukataa kufanywa wajinga na ndulu na timu yake ya kucheza na cheap PR kuwalaghai watanzania kuwa 1.4B was justifiable..,wewe pasco waweza ona sawa..,ila mwenzio ndulu hii issue inamnyima usingizi!!cheers to JF!!si mnaona nakala za kujikomba hizo!hii yote ni kwa sababu ya kelele zetu kina yakhe.
 
You can always tell what Reginal Mengi is upto. Currently this guy and his new outlets have gone out of his way to defend Mr Ndullu against any and all criticism. Wakati wa Marehemu Balali, Mengi wa apparently denied access to the country's coffers na badala yake ni akina Patel na Manji ndio walikuwa wanapewa guarantees by BOT to loan monies from foreign Banks. And that explains Mr Mengi's exceedingly negative press on Balali, Jeetu Patel and Manji to name a few, although these characters are themselves dirty enough.

Sasa, ukiona Mengi anamsafisha Ndullu ni wazi kwamba ameahidiwa access to the coffers ambayo awali walipewa akina Manji.

So all in all, Mengi is no different from Manji or Jeetu Patel. He's equally corrupt and dirty.
 
It's outrageous! abhorring! Where in this world do you live you are the Guardian editor! 1.4 billion Tsh and still you call him a commendable what again did u say? A commendable service! That in your stupid eyes is the commendable service, the economist who builds a house single house that is twice as expensive as building two standard houses in the state of California!

With such an imposing house he doesn't even qualify for a single compliment you just said! He is greedy! selfish! and he lacks integrity!

A TRUE leader is selfless, the one who puts their own needs second and ministers to others beyond the call of duty, tirelessly, lovingly, and effectively. 1.4 billion is equivalent to 28 houses of 50 million each! ambapo familia 28 za wachapa kazi wazalendo wangeweza kuishi! Have u ever thought that Beno Ndullu!
 
Huo ndio undumila kuwili wa Mengi ,ukiona kesha anza kujipendekeza kwa Beno jua kuna kitu anakitaka sia ajabu utasikia BOT imemudhamini mzee wa Shiri Matunda mabilioni,nikune ni kukune na wajinga ndio waliwao
 
Nina wasiwasi huenda Gavana Ndulu amehangaika kujieleza kupita kiasi katika hili. Nilivyosoma vyanzo mbalimbali nimepata picha kwamba hili haitakiwi kuwa tatizo lake binafsi. Kwanza amekuta mipango yote imefanywa na utekelezaji ukiwa njiani.

Pili, tunajadili kipi hasa: thamani halisi ya hizo nyumba (real value for money) kama alivyogusia mkuu Pasco kwa kiasi fulani? - (Hapa ili kuthibitisha ufisadi wa kiwizi). Au hadhi ya kiwango kilichopitiliza hali halisi ya uwezo wa nchi yetu tunayowapa watendaji wetu kama Gavana, Spika n.k? - (ufisadi wa kitabaka usiozingatia haki za wananchi wote).

Nionavyo, ni tatizo la sera mama ya nchi ambayo inajulikana vizuri na wengi ingawa haijaandikwa rasmi kwamba kwa muda mrefu sasa (na si kwa awamu hii tu), TUMEKUWA TARATIBU TUNAJENGA JAMII ISIYO NA UWIANO: YENYE TABAKA LA WATEULE (ELITES) NA WATWANA? HIVYO, TUNAPOSHANGAA NA KUKASIRIKA SANA KUAMBIWA KUNA WAZITO WANAHITAJI KUWEKEWA VIWANGO VYA US, ULAYA, JAPAN, N.K. ILI WAFANYE KAZI VIZURI

Tujiulize nini kifanyike kuweka mfumo utakaosawazisha haya mambo.Kupambana na Ndulu na wanaoonekana kuwa wapambe wake ni kupotea lengo: Hawawezi kurekebisha kitu hao. Ni kama vile kelele za ufisadi zilivyoishia kuangalia watu fulani ilihali nchi nzima inaendeshwa kifisadi hadi katika serikali za vijiji.
 
.

Mzee Mwanakijiji, nyumba ya 1.4 Biliion ni nyumba ya Gavana, siyo nyumba ya Ndulu. Kila kitu kilipangwa kabla ya ujio wake.

Yaani vilivyopangwa na Gavana Ballali vinaonekana vya uadilifu; Yaani, badala ya kufuta mipango yote ya matumizi makubwa ya fedha iliyopitishwa katika utawala wa kifisadi wa Ballali na kuanza upya, tunataka kutetea? Sasa mbona kuna mambo yaliyopitishwa na Ballali na leo yanaangaliwa upya? Kwanini hilo la nyumba lionekane kuwa ni sahihi?


Nyumba anayokaa ni nyumba ya Benno Ndulu siyo ya gavana, sasa maadam imetokea gavana ndie Benno Ndulu, mwache akae nyumba ya stahiki yake.

Nyumba ya Ndulu siyo ya stahili yake ila nyumba ya Gavana ndiyo ya Stahili yake?

Kwa walio dar, si mnapajua pale kwa JK, piteni muune, nini bilioni 1.4!, majirani wamehamishwa hekalu linateremka, si JK yule yule aliyeishi hapo miaka yote?, why now?.

Kwa sababu watu wanaofikiri ukiwa Rais basi unastahili mbingu! Si amefanya hivyo Mkapa kule Lushoto, na JK atafanya hivyo hivyo huku Watanzania mkitetea kuwa "kwa vile yeye ni Rais anastahili".

Kama kuna nyumba za mpaka bilioni 10 ila kwa vile ni za wahindi, hao hao wanaoendesha serikali kwa remote, hizo ni hizo hizo top up za rada, gulf stream etc, hatusemi, lakini akijengewa mwenzetu!.

Hao wahindi wamejengewa na serikali?

Mtu wa kwanza kuendesha Ferari bongo Bongo ni mhindi, wa pili mwarabu, mswahili bado sijaona na akitokea ataitwa fisadi.

sasa kwanini Gavana asinunuliwe na Ferrari vile vile ili awe mswahili wa kwanza; tupate sifa kidogo?

Nasisitiza siungi mkono matumizi yoyote mabaya ya fedha za umma, bali siungi mkono shutuma kwa matumizi yanayoonekana, japo mabaya, huku tuko kimya kwa mabilioni na mabilioni yanatumiwa kwa vitu visivyoonekana.

Walio kimya kwa vitu visivyoonekana wapo; sisi wengine tunapigia kelele kila matumizi mabaya hata kama aliyetumia anaitwa Malaika! Wengine wapo hapa wanaangalia nani anatumia kwanza..!! Wanaangalia sura, hivyo hawawezi kumgongomelea nyani kichwani!


Pale kwa gavana, si angalau jengo lipo, nimewaambia kila safari moja ya mkulu, zinatumika zaidi ya hizo, kipi kinaonekana?.

Ndiyo maana yeye na gavana wote wanatakiw wasirudi tena mwaka huu!

Tumemlipa Prof. De Sotto, consultancy ya Dola, 1,000,000 kwa siku moja iliyokuja nchini, tunawalipa wangapi kwa huduma kama hiza and what do we get there after? Si afadhali hapo jengo la hadhi ya gavana lipo?.

jengo la hadhi ya Gavana! you must be kidding me! Unafikiri kwa "hadhi" yake jengo hilo linatosha? Kuna vitu vingine twaweza kumpatia ili viandane na hadhi yake? Twaweza kumpa msafara wa magari, na mabodyguards, vipi kuhusu kumjengea nyumba nyingine kijijini kwao? Je watoto wake wana magari (maana hatuwezi kuwa na watoto wa gavana wanaopanda madaladala!), Je wajukuu zake wanasoma Tanzania shule za serikali au za binafsi?
 
Ikiwa aim ya serikali ni kuwapa viongozi mishahara na marupu rupu ambayo ni comparable na yale wanayopata viongozi kama hao hao wa Marekani au nchi nyingine zilizoendelea .. kwa nini inapokuja kwenye kutoa social services tusitumie viwango hivyo hivyo? Ikiwa tunadhani gavana wetu anastahili hadhi ya Chairman wa Federal Reserve ya US, kwa nini Mwalimu wetu, Mwanajeshi wetu, Daktari wetu, n.k. asiwe na hadhi sawa kama alivyo yule wa Marekani?

Tunaliwa na vitu..... UBINAFSI ULIOKITHIRI NA UWEZO MDOGO WA KUTUMIA VICHWA VYETU KUFIKIRI.

Unfortunately kila anayepata access to public resources anaangalia kuhakikisha yeye mwenyewe anajinufaisha vya kutosha. Ndo maana unaona rais wa nchi na vikaragosi wake wakifanya vitimbi vyote wanavyoweza eti wanajifananisha na wenzao walioendelea. Hata wabunge wetu wanaotuwakilisha wakishaingia Bungeni hutaka hadhi na malipo yanayolingana na yale ya wabunge wa Uingereza, Australia, Africa Kusini n.k. Ukiwauliza kwa nini wanakwambia sisi wote ni jumuiya ya Madola.

Hii ndo level yetu ya kufikiri inapoishia. Tukubali hii ndo hali halisi. Mtu akishaingia madarakani akaona mabilioni yanayokusanywa na TRA yote yako chini yake akili yake inamwambia kuwa yeye ni sawa na yule wa Marekani au uingereza. Hajui kuwa hayo mabilioni ilitakiwa yaende kujenga bara bara zetu vile vile ziwe kama za marekani, kujenga viwanja vyetu vya ndege viwe kama marekani, kuweka hospitali na shule kama za Marekani. Ukiwaambia hivyo wanasema hatuwezi!!!

Ikiwa hatuwezi kutoa social service kama za wamarekani, Kwa nini rais wetu na vikaragosi vyake walipwe kama wa marekani? Au kwa kuwa majina ya vyeo vyao yanafanana? ............ I mean, tuna tatizo kubwa la kifikra. We don't seem to be going anywhere!!!
 
Back
Top Bottom