mapenzi bwana kitu cha ajabu sana, unamsotea mtoto wa wenzio ageuke wako...khaa! kuna ile nilickia cjui ni ya bukoba cjui wapi unaweka kipande cha nyama huko kwenye nanihii yako(mdada) Kaizer akija na njaa zake huko unamchanganyia kwenye msoc,umemmaliza! unammiliki kama umemzaa vile...khaa uchafu mtupu!...hakunaga mapenzi ya limbwata hata cku na moja, wako wako tu, kama sio ujue haikuwa bahati yako, songa mbele wako anakusubiri kwenye corner pale.
Where hav u been ma luv....heri ya mwaka mpya! Missed u bad!