mapenzi bwana kitu cha ajabu sana, unamsotea mtoto wa wenzio ageuke wako...khaa! kuna ile nilickia cjui ni ya bukoba cjui wapi unaweka kipande cha nyama huko kwenye nanihii yako(mdada) Kaizer akija na njaa zake huko unamchanganyia kwenye msoc,umemmaliza! unammiliki kama umemzaa vile...khaa uchafu mtupu!...hakunaga mapenzi ya limbwata hata cku na moja, wako wako tu, kama sio ujue haikuwa bahati yako, songa mbele wako anakusubiri kwenye corner pale.
Kwanza Heri ya Mwaka mpya..................mapenzi bwana kitu cha ajabu sana, unamsotea mtoto wa wenzio ageuke wako...khaa! kuna ile nilickia cjui ni ya bukoba cjui wapi unaweka kipande cha nyama huko kwenye nanihii yako(mdada) Kaizer akija na njaa zake huko unamchanganyia kwenye msoc,umemmaliza! unammiliki kama umemzaa vile...khaa uchafu mtupu!...hakunaga mapenzi ya limbwata hata cku na moja, wako wako tu, kama sio ujue haikuwa bahati yako, songa mbele wako anakusubiri kwenye corner pale.
Hivi kaizer bado yuko huko nje kwenye mgomo??Where hav u been ma luv....heri ya mwaka mpya! Missed u bad!
The Following User Says Thank You to Dena Amsi For This Useful Post:Limbwata bwana ni ujuzi wako asikwambie mtu hakuna dawa.
Ngoja nikwambie mfano mmoja unakwenda kwa mganga anakwambia
eti hii dawa weka kwenye maji ya moto ya kuoga mzee,
hii weka kwenye upindo wa suruali ya mumeo kila asubuhi uinyooshee na basi ikae humo,
hii weka kwenye chai, na hii paka kwenye mkono wako mumeo akiwa anaondoka
kwenda kazini hakikisha hii dawa anaigusa kabla hajaondoka kama ana kibegi kishike wewe kabla yake.
Naomba kuuliza hapo Mganga nani??
Mwanaume kaoga maji ya moto, nguo kanyooshewa na mkewe, chai kapikiwa na mkewe, kasindikizwa kwenda kazini kuna cha uganga hapo kweli??? Mind you hayo anayafanya kwa mikono yake mwenyewe housegirl asijue???
Kama sio we mwenyewe??
Kweli kuna mwanaume atafanyiwa yote hayo ataacha kumpenda mkewe mmmhh sidhani!!!
Na anajua kabisa hayo majani ya mpela ukiweka kwenye chai hayaui ndo anayasaga na kukupatia uyaweke ha ha
Hakuna mganga wa mapenzi mganga mwenyewe hakuna mwingine.
Limbwata bwana ni ujuzi wako asikwambie mtu hakuna dawa.
Ngoja nikwambie mfano mmoja unakwenda kwa mganga anakwambia
eti hii dawa weka kwenye maji ya moto ya kuoga mzee,
hii weka kwenye upindo wa suruali ya mumeo kila asubuhi uinyooshee na basi ikae humo,
hii weka kwenye chai, na hii paka kwenye mkono wako mumeo akiwa anaondoka
kwenda kazini hakikisha hii dawa anaigusa kabla hajaondoka kama ana kibegi kishike wewe kabla yake.
Naomba kuuliza hapo Mganga nani??
Mwanaume kaoga maji ya moto, nguo kanyooshewa na mkewe, chai kapikiwa na mkewe, kasindikizwa kwenda kazini kuna cha uganga hapo kweli??? Mind you hayo anayafanya kwa mikono yake mwenyewe housegirl asijue???
Kama sio we mwenyewe??
Kweli kuna mwanaume atafanyiwa yote hayo ataacha kumpenda mkewe mmmhh sidhani!!!
Na anajua kabisa hayo majani ya mpela ukiweka kwenye chai hayaui ndo anayasaga na kukupatia uyaweke ha ha
Hakuna mganga wa mapenzi mganga mwenyewe hakuna mwingine.
......hi mambo ya Limbwata ambayo inachukiwa ni ile inabadilisha uwezo wa kufikiri na hupunguza utashi wa mume/mke na lengo lake kwa yule anayeliweka ni kufaidi materially......hasa hasa! lakini huishia kukosa na yeye cos jamaa anakuwa si active any more.....!
BWT:
MJ1.....hako kasignature nimekapenda thana (..............Savoy , Moro.) ....(ngoja niku-PM for lugha gongana)!
:welcome:Una baraka zote Babu yangu besides si nimesema nawatakia mwaka 2011 mwema uwe wa mapenzi? Who knows utamalizana vipi na Smiles...........
Ndo maana nakumiss Happy New Year!!mapenzi bwana kitu cha ajabu sana, unamsotea mtoto wa wenzio ageuke wako...khaa! kuna ile nilickia cjui ni ya bukoba cjui wapi unaweka kipande cha nyama huko kwenye nanihii yako(mdada) Kaizer akija na njaa zake huko unamchanganyia kwenye msoc,umemmaliza! unammiliki kama umemzaa vile...khaa uchafu mtupu!...hakunaga mapenzi ya limbwata hata cku na moja, wako wako tu, kama sio ujue haikuwa bahati yako, songa mbele wako anakusubiri kwenye corner pale.
Habari yake limbwata bana! mi nadhani limbwata kama lipo lengo lake ni zuri kwamba mpenzi akupende wewe tu zaidi na zaidi. Lakini watumiaji wanalitumia vibaya likishakolea akishaona ndio limemkolea mpenzi anaanza kumpelekesha ndivyo sivyo akijua hatofanya lolote cause ashamdhibiti. Kama lipo litumiwe tu ila unatakiwa umpe mwenza wako uhuru wa kufanya atakavyo na yeye sio unampeleka peleka tu kama ndondocha
Limbwata bwana ni ujuzi wako asikwambie mtu hakuna dawa.
Ngoja nikwambie mfano mmoja unakwenda kwa mganga anakwambia
eti hii dawa weka kwenye maji ya moto ya kuoga mzee,
hii weka kwenye upindo wa suruali ya mumeo kila asubuhi uinyooshee na basi ikae humo,
hii weka kwenye chai, na hii paka kwenye mkono wako mumeo akiwa anaondoka
kwenda kazini hakikisha hii dawa anaigusa kabla hajaondoka kama ana kibegi kishike wewe kabla yake.
Naomba kuuliza hapo Mganga nani??
Mwanaume kaoga maji ya moto, nguo kanyooshewa na mkewe, chai kapikiwa na mkewe, kasindikizwa kwenda kazini kuna cha uganga hapo kweli??? Mind you hayo anayafanya kwa mikono yake mwenyewe housegirl asijue???
Kama sio we mwenyewe??
Kweli kuna mwanaume atafanyiwa yote hayo ataacha kumpenda mkewe mmmhh sidhani!!!
Na anajua kabisa hayo majani ya mpela ukiweka kwenye chai hayaui ndo anayasaga na kukupatia uyaweke ha ha
Hakuna mganga wa mapenzi mganga mwenyewe hakuna mwingine.
mapenzi bwana kitu cha ajabu sana, unamsotea mtoto wa wenzio ageuke wako...khaa! kuna ile nilickia cjui ni ya bukoba cjui wapi unaweka kipande cha nyama huko kwenye nanihii yako(mdada) Kaizer akija na njaa zake huko unamchanganyia kwenye msoc,umemmaliza! unammiliki kama umemzaa vile...khaa uchafu mtupu!...hakunaga mapenzi ya limbwata hata cku na moja, wako wako tu, kama sio ujue haikuwa bahati yako, songa mbele wako anakusubiri kwenye corner pale.
kama mnajua haya yote mbona waume zenu hamuwafanyii haya?
Kwanza Heri ya Mwaka mpya..................
Pili ndio nini kupotea hivyo?
Tatu aksante kwa mchango mzuri...................wahaya wanaita shuntama.... nadhani shuntama maana yake chutama au chuchumaa sasa sijui ndo inaelezea hiyo process? uwiiiiii
Asante sana Mganga DA.........habari yake mganga!!!!Wa kwako tu labda ndo hakufanyii mie wangu aahhh kwa sana tu.
Tena nimesahau na nyingine ya jioni
Anakwambia hii inatakiwa iwekwe kwenye kitu cha baridi lakini iwe jioni. Anakwambia akija tu mpe juice, soda, maji hata bia na wine haina madhara.
Bibie hapo unaamini dawa kuwe utunzaji wako tu jamaa akiingia tu jioni glass ya juice, sijui wine, bia maji nk.
Haha ha ha ha mganga mwenyewe bwana hakuna uganga
Limbwata kwako my protector.....??
Not applicable kabisa......
Comes with a natural cause!!! (Pope na Babu wamelala bado....etii eeh!!)