On Second Thought

Swali gumu...kwamba mpango wa nje unamlisha nanihii wako limbwata.......hii sababu ya babu asprin ya kutafuta mtoto wa kike sore, kukata ulabu

na mie nimemshtukia kama anataka kuhalalisha huko nje azuge ni limbwata...
 
I will be there for you. Wory not..the protector is around to protect you.. Karibu

Then i'll also have to be your protector......
coz kama ukilishwa hilo li kitu mimi si i will loose my protector......
 
I will be there for you. Wory not..the protector is around to protect you.. Karibu

cjui baada ya 3+ yrs hayo maneno yanapoteleaga wapi, kweli cjui kabisa....mwanzo mtam mwehh.
 
Then i'll also have to be your protector......
coz kama ukilishwa hilo li kitu mimi si i will loose my protector......
Tupaze sauti tuseme no Limbwata...
Your protector will never fall into this kind ya likitu.!
 
Limbwata bwana ni ujuzi wako asikwambie mtu hakuna dawa.

Hakuna mganga wa mapenzi mganga mwenyewe hakuna mwingine.
Hili ni hitimisho bora kabisa, inawezekana kuna dawa zenye kupumbaza mtu na kumfanya aondokane na utashi wake wa kawaida na awe anamtumikia kimapenzi mwanamke mmoja aliyempa dawa hizo, lakini ulichokisema kinalenga katika kumteka mwanaume kwa utashi wake mwenyewe kwa ukarimu/ mapenzi unayomuonesha.

Hii ina maana kuwa kuna option 3:
1:kunifanyamimi mwanaume kuwa zezeta ili "nikupende" wewe peke yako (a.k.a love zombie) kwa kutumia ushirikina (kama kweli inawezekana) lakini hali ukijua kuwa sikupendi kwa dhati/kwa hiari yangu.
2: Tabia, maumbile na mahusiano yetu kimapenzi na kimaisha kunivutia/kuniridhisha na kunifanya mwenyewe nipagawe na kukupenda kwa utashi wangu.
3: Mahusianon hayaendi vyema, mvuto wa mapenzi umepotea na imebidi nikumwage (kama sijakuoa maana diniyangu hairuhusu talaka).

Chagua ni la mwanamke mwenyewe....
 
Limbwata kwako my protector.....??
Not applicable kabisa......
Comes with a natural cause!!! (Pope na Babu wamelala bado....etii eeh!!)

Smiles looking for babu? Haijapata tokea asee.

hebu ukuje na limbwata huku nikuwekee tego.
 
Kwa mara ya pili naomba nijibiwe haya maswali yangu hapa:




Kabla babu hajakasirika
 

Aisee umenisaidia kabisa
 
Kwa mara ya pili naomba nijibiwe haya maswali yangu hapa:





Kabla babu hajakasirika

Babu sijui miwani imepotea au......
hii hapa hujaona bado?
Babu,
hapo kwenye red kwa kweli hata mi ningependa kujua.....
ikitokea kwangu nahisi nitachuma fimbo nichape.....

Kwenye blue.....i wish ningeweza kujoin lakini bahati mbaya sipo kwenye hilo kundi.....
 
Hivi Babu hujioni ulivyobadilika siku hizi unachelewa kurudi kwa mkeo??? Hujui sababu basi mie nilikutilia kwenye Castle Lite!!!

Hahahaha...hapo ndipo ulipokosea. Limbwata halitiwi kwa bia mama. Ndo maana mnatuwekea Limbwata, si tunaongeza infii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…