Ona kiburi cha pesa Floyd Myweather

Ona kiburi cha pesa Floyd Myweather

Ana hela nyingi sana huyu jamaa,akifikiria zilie ngumi ambazo huwa zinampata akiwa anakusanya pesa ulingoni anaona wacha ale raha tu...
 
Wenae ni wale wale.
mara nyingi watu maskini kama wewe ndio mnakuaga na mikakati miiingiii pindi huna hela ukizikamata hushkiki unakod magar kwa ajili ya kubeba koti na viatu tu,mwache kijana wa watu atumie by the way hujui hata invenstiments zake...unadhan hana akili huyo?
 
Ana hela nyingi sana huyu jamaa,akifikiria zilie ngumi ambazo huwa zinampata akiwa anakusanya pesa ulingoni anaona wacha ale raha tu...
halaf kuna malofa wanajifanya wanauchungu na pesa zake wakati mwenyew kazipata kwa mbinde mama eeh
 
50 cent

Tyson

Kuna yule wa nba nimemsahau

Walikua na pesa na wala bata sana lakin wakafilisika,huyu jamaa ajiangalie sana
Tyson hakuinjoy pesa yake, nyingi aliishia kulipa fidia za rape scandals
 
mara nyingi watu maskini kama wewe ndio mnakuaga na mikakati miiingiii pindi huna hela ukizikamata hushkiki unakod magar kwa ajili ya kubeba koti na viatu tu,mwache kijana wa watu atumie by the way hujui hata invenstiments zake...unadhan hana akili huyo?
Kwahiyo wewe ni tajiri?
 
You Only Live Once... Just enjoy the moment [emoji383][emoji483][emoji482][emoji485][emoji484][emoji131]
 
50 cent

Tyson

Kuna yule wa nba nimemsahau

Walikua na pesa na wala bata sana lakin wakafilisika,huyu jamaa ajiangalie sana

50 Cent nakataaa kaka!Hajafilisika,Ila Mike nakubali!50 Cent amewekeza kwenye Movies tu,na ndio mkataba alioingia na Columbia Pictures pamoja na Warner Bros tuu ndio maana haumsikiii
 
Ana hela nyingi sana huyu jamaa,akifikiria zilie ngumi ambazo huwa zinampata akiwa anakusanya pesa ulingoni anaona wacha ale raha tu...
Hela nyingi ngapi USD 1.2 BILLION watu kibao wanazo, sema MAYWEATHER ni mtu wa bata
 
daah hata mimi nikipata mpunga leo mtanisikia thailand, singapore,..mara uholanzi..ni bata tu hela atafute yeye umpangie matumizi.!! Akiuza gari yake moja akakukabidhi mpunga nahisi watakukoma...
 
Back
Top Bottom