Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Uliza inamjua Robert Heriel alafu Lete taarifa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si itasema Mpwayungu ni Shoga ambaye amekuwa akiwatukana na kuwadhalilisha walimu.Uliza kama inamjua mpwayungu village kuhusu sakata lake la kuwachukia walimu.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Swali: Unamjua Pasco MayalaUliza inamjua Robert Heriel alafu Lete taarifa hapa
Swali: Unamjua mwandishi Robert HerielUliza inamjua Robert Heriel alafu Lete taarifa hapa
Najua pombe yako kuu ni Double Kich, imekulevya sasa unaongea maweruweru na maruweruweMmeanza ku-tag mashost zenu, baada muda mfupi mnabadili muelekeo wa uzi kutoka kuwa mambo ya artificial intelligence na Kuwa kijiwe cha story zenu za mambo binafsi.
Utaona mtu anaanza kujiongelesha..
Nakuona shost ,habari za siku?.
Nipo, na mimi Nakuona!! Full bra brah.
Why msiende PM mjuliane hali ZENU?
Naomba linkHello members (wale ambao mlikuwa hamjui kama mimi)!
Niliposoma kuwa Elon Musk na wenzake wametafadhalisha kuwa Artificial Intelligence (kwa kifupi AI) isiendelezwe tena kwani ni hatari kwa binadamu sikutilia maanani sana mpaka nilipoanza kuitumia. Je, wewe umewahi kuchati nayo? Kama bado basi kuna hii inayoitwa ChartGPT! Ni free.
Unatakiwa tu uwe na email na ukishajisajili uko tayari kuuliza chochote. Inajua mpaka kiswahili. Inaijua mpaka Jamii Forums na zaidi inamjua mpaka Maxence Melo na mashtaka kukamatwa kwake.
Ona nimeuliza swali hili: ''Unamjua Maxence Melo wa jamii Forum?
Hili hapa ndiyo jibu iliyonipa ''Ndiyo, ninajua kuhusu Maxence Melo, ambaye ni mwanzilishi na mmiliki wa JamiiForums, jukwaa la mtandaoni la kijamii na habari lililopo nchini Tanzania. Maxence Melo amekuwa mstari wa mbele katika kukuza uhuru wa kujieleza na utetezi wa haki za kibinadamu nchini Tanzania, lakini pia amekuwa akikabiliana na changamoto za kisheria kutokana na shughuli za jukwaa lake. Mnamo mwaka 2016, Maxence Melo alikamatwa na kushtakiwa kwa mashtaka ya kuzuia upelelezi na kuchapisha taarifa za uwongo, lakini alifanikiwa kupata dhamana baada ya kuzuiliwa kwa muda mrefu.''
🤣🤣Najua pombe yako kuu ni Double Kich, imekulevya sasa unaongea maweruweru na maruweruwe
Swali: Robert Heriel ni mtanzania. Anapenda kuandika habari kwenye mitandao hasa Jamii forumSwali: Unamjua mwandishi Robert Heriel
Jibu: Samahani, sina habari za kutosha kumhusu mwandishi huyo Robert Heriel. Je, unaweza kutoa maelezo zaidi kuhusu yeye au kuuliza swali lingine kuhusiana na mambo ya kijamii, elimu, sayansi, teknolojia au uandishi wa habari? Nitajitahidi kukusaidia kwa kadri ya uwezo wangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si wewe ndio uliingizia mambo ya tumbo lakiniSwali: Unamjua Pasco Mayala
Jibu: Samahani, sijui maana ya "Pasco Mayala". Je, unaweza kutoa maelezo zaidi au kuuliza swali lingine? Nitajitahidi kukusaidia kwa kadri ya uwezo wangu.
Swali: Unamjua mwandishi wa habari wa Tanzania anayeitwa Pasco Mayalla? Ni mchumia tumbo fulani hivi
Jibu: Ndiyo, ninamfahamu Pasco Mayalla. Yeye ni mwandishi wa habari na mchambuzi wa siasa nchini Tanzania. Hata hivyo, sikufahamu habari za hivi karibuni kuhusu yeye kuugua au kusumbuliwa na tatizo la tumbo. Kama kuna jambo lingine ungelipenda kujua kumhusu, tafadhali niambie nitasaidia kwa kadri ya uwezo wangu.
Pascal Mayalla AI inasema ulikuwa unaumwa tumbo! Ni kweli?
Hapana! Trust me. Nime copy na ku paste kama ilivyojibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si wewe ndio uliingizia mambo ya tumbo lakini
Hapana! Trust me. Nime copy na ku paste kama ilivyojibu. Nadhani ni hapo nilipoandika ''mchumia tumbo'' AI ikadhani nimesema ameugua tumbo. Unajua ni program ya computer hii
@macho_mdiliko mbona hujibu..?? HiiNi ipi Kati ya hizi??View attachment 2571097
Me nilishauliza kama wanajua mazishi ya baba yangu, wakanipa mpaka picha aisee...
Nilichogundua taarifa nyingi wananunua kutoka google au wikipedia
Umeiambia mwenyewe kuhusu uchumia tumbo.Swali: Unamjua Pasco Mayala
Jibu: Samahani, sijui maana ya "Pasco Mayala". Je, unaweza kutoa maelezo zaidi au kuuliza swali lingine? Nitajitahidi kukusaidia kwa kadri ya uwezo wangu.
Swali: Unamjua mwandishi wa habari wa Tanzania anayeitwa Pasco Mayalla? Ni mchumia tumbo fulani hivi
Jibu: Ndiyo, ninamfahamu Pasco Mayalla. Yeye ni mwandishi wa habari na mchambuzi wa siasa nchini Tanzania. Hata hivyo, sikufahamu habari za hivi karibuni kuhusu yeye kuugua au kusumbuliwa na tatizo la tumbo. Kama kuna jambo lingine ungelipenda kujua kumhusu, tafadhali niambie nitasaidia kwa kadri ya uwezo wangu.
Pascal Mayalla AI inasema ulikuwa unaumwa tumbo! Ni kweli?
Hapana! Trust me. Nime copy na ku paste kama ilivyojibu
Hiyo Ai mkuu,inacheza na ulichokisema,hapo ulisema mchumia tumbo ndo maana ikasema anaumwa tumbo😃😃😃😃Hapana! Trust me. Nime copy na ku paste kama ilivyojibu
atajuaje mtu ambae taarifa zake hata wiki pedia hazipo mkuu.. Kama unataarifa yako wiki pedia ni easy kukuaccess.. 😂Basi bado siyo hatari.
Kama ingekuwa hatari ilibidi hata ukiandika kama inamjua baba au mama yako iseme inawajua hapo ndo tungeogopa kwamba yeyote akitakiwa hakosekani.
Hao wakina Elon Musk ndo ma founder wenyewe wa io chatbot.. Alaf mara itumiwe mara isitumiwe😀😀Niliposoma kuwa Elon Musk na wenzake wametafadhalisha kuwa Artificial Intelligence (kwa kifupi AI) isiendelezwe tena kwani ni hatari kwa binadamu