Ona picha, hapa Tanzania Suali ni Timu gani hii?

Ona picha, hapa Tanzania Suali ni Timu gani hii?

Zamiluni Zamiluni

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
13,997
Reaction score
15,112
Kikosi%2Bcha%2BYanga.JPG
 
Hapo na wakati ule ndugu watatu kizazi kimoja hucheza timu moja !! TZ ilibarikiwa.... Sasa nini kilichotusibu?
nosly jeepee007 oneni kimo na urefu wachezaji !!

Hata vimo vya wachezaji Ulaya vimepungua, nadhani ni evolution.

Imagine hata American Basketball wale greats siyo wengi kama enzi za nyuma, mchezo umehamia kwa shooters kuliko centres.
 
Hapo na wakati ule ndugu watatu kizazi kimoja hucheza timu moja !! TZ ilibarikiwa.... Sasa nini kilichotusibu?
nosly jeepee007 oneni kimo na urefu wachezaji !!

Kulikuwa na familia hizi

MANARA
ZIMBWE
MLAPAKOLO

Nchi kama RWANDA BURUNDI LESOTHO SWAZILAND BOTSWANA walikuwa wakija wanakula goli 20. Leo wanatufunga?
 
Kulikuwa na familia hizi

MANARA
ZIMBWE
MLAPAKOLO

Nchi kama RWANDA BURUNDI LESOTHO SWAZILAND BOTSWANA walikuwa wakija wanakula goli 20. Leo wanatufunga?
Ha ha ha ha .. aisee umenichekeeeesha !!
Usisahau Dilunga's /Sabu's/Abeid's/Aziz nk nk nk....
 
Back
Top Bottom