Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akitokea mzarendo anafanyiwa figisu figisu ili tu asiwe kiongozi.TFF ni moja Ya Taasisi ambaYo haita kuja pata kiongoz Mzalendo kamwe
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Vile vile aise..Hahahahahha, umepatia kishenzi...🙂😉Ofisi ya TFF inataka kufanana na ya CHADEMA.....
Kwa omary ali bashir.Hii Sudan ipi?? Kusini-Juba au sudan-Khartoum???
Inarithishwa kizazi mpaka kizazi.Hii rushwa ipo ktk damu.sijui itafutikaje
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]TFF hawana tofauti na ofisi zile za Ufipa!
Hii ni aibu
Sent from my HUAWEI Y520-U22 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ofisi ya TFF inataka kufanana na ya CHADEMA.....
Dispensary ndio inatakiwa kuwa hivyo?hahaha hicho kiofisi cha tff kinaniua mbavu.....ka dispensary vile
Lini hiyo umemfunga msudan - KhartoumAlafu wakija bongo tunawafunga,hapo ndio mimi huona mpira ni kama kamali...!
Tulishampiga Khartoum mkuu na tukafuzu michuano ya Chan 2006-7 kama sikosei.Nakumbuka tulimpiga 2:1 kwao!Lini hiyo umemfunga msudan - Khartoum
Unaongelea miaka 10 iliyopita.... Hauwezi kuwa serious.. Hata Cape Verde tulimpiga 4-0 miaka hiyo ...... Sasa hivi unaweza Hata kutoa nae sare!!!???Tulishampiga Khartoum mkuu na tukafuzu michuano ya Chan 2006-7 kama sikosei.Nakumbuka tulimpiga 2:1 kwao!