Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote, maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio, "si uvue, sina muda wa kupoteza! toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda.

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure.

Sasa sijui ni mimi tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia.
 
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote! maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio..."si uvue, sina muda wa kupoteza!, toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda!!

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure. Sasa sijui ni mm tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia?

wote ndo walivyo wako kikazi zaidi
 
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote! maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio..."si uvue, sina muda wa kupoteza!, toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda!!

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure. Sasa sijui ni mm tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia?

1)katoe swadaka ili ujenge maisha yako ya kesho akhera
2)saidi watoto yatima akina mama na wazee wasiojiweza
3)changia mradi wa kujenga vyoo barabarani
4)changia mradi wa kujenga mabweni kwa watoto wa kike

afu nyie mnaowanunua hao madada ndio mnaosababisha waendelee kuwepo

pia unazid kujichimbia shimo la umaskin ukiwa bado kijana unataka kuwa historia kabla muda wako hujafikia eeeeeh

good luck..........!!
 
Alichokufanyia ni sahihi kabisa. Cku nyingine usiachane nae bila kumuuliza swali lako.
 
Uwe unalipia usiku mzima.:cool2:

Hata umlipe siku nzima, malaya atakupelekesha tu. Hawanaga kuremba. Wao wanachotaka ni pesa, na laiti wengeweza kuipata hiyo pesa bila kutoa dudu basi wangefurahi sana. So wanatoa dudu basi tu.

Tena wengi wao wanachukia wanaume, maana wamefikishwa hapo walipo kwa sababu ya wanaume. Isitoshe wengi wanakuwa wameshafanyiwa vitendo vya ukatili na wanaume wengine jambo ambalo huzidisha chuki kwa wanaume.

Be careful unapochukua malaya.
 
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:

Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka, kijana akakubali. Asubuhi anampa dada wa watu pesa ya kitoto, dada hakukubali akamwambia kitachimbika leo. Ilibidi kesi iende kwa mama mwenyenyumba, balozi wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wa mtaa. Ilibid wazee wachangane pesa dada apewe haki yake

nimeamini kweli ulistaafu ukarudisha funguo za watu!!
 
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:

Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka, kijana akakubali. Asubuhi anampa dada wa watu pesa ya kitoto, dada hakukubali akamwambia kitachimbika leo. Ilibidi kesi iende kwa mama mwenyenyumba, balozi wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wa mtaa. Ilibid wazee wachangane pesa dada apewe haki yake

Hii hadithi nzuri inafunza
 
Hivi kwani isifike mahali Moderator ukazuia posts km hizi...zinatupeleka wapi? na nini hasa maana yake kwa maadili ya kitanzania?si lazma kila kitu kiachiliwe JF...mimi naamini hili ni jukwaa la watu makini ...wenye nia njema na jamii na maendeleo ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom