Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahahah!Kula jicho.
'those serendipitous moments that make life interesting..'
lara 1 pita huku ujibu tuhuma, wateja wanalalamika kwamba inakuwaje tena huwanga munafanya hivyo.
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:
Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka,
Usinunue tena
Hii kwa kiswahili ni ''mshindo nyuma" au kama waogopa kutamka sema "mrejesho"Una bargain mpaka morning
Afu uje utupe feedback ukifika naye asubuhi
1)katoe swadaka ili ujenge maisha yako ya kesho akhera
2)saidi watoto yatima akina mama na wazee wasiojiweza
3)changia mradi wa kujenga vyoo barabarani
4)changia mradi wa kujenga mabweni kwa watoto wa kike
afu nyie mnaowanunua hao madada ndio mnaosababisha waendelee kuwepo
pia unazid kujichimbia shimo la umaskin ukiwa bado kijana unataka kuwa historia kabla muda wako hujafikia eeeeeh
good luck..........!!
Hahahaaaaaaaaaaa! nimekuja SHOGA yangu hukunijibu kama SHANGA ZA KIUNONI ZILIKUTOSHA AMA VIPI? Anti SHY na wewe mda mwingine hata husomeki kwenye radar
Kwa malaya ni sehemeu ya kuosha rungu unatafuta stimu za love making....
Aiseee hebu msamehe huyu kijana yaishe....
Marinda yalikwepo enzi za nyerere?
Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!
Hivi kwani isifike mahali Moderator ukazuia posts km hizi...zinatupeleka wapi? na nini hasa maana yake kwa maadili ya kitanzania?si lazma kila kitu kiachiliwe JF...mimi naamini hili ni jukwaa la watu makini ...wenye nia njema na jamii na maendeleo ya Tanzania.
Hii lugha hii!