Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Hahahaha kazi kweli kweli wewe mpe hela ya kutosha uone hakuzinguwi tena
 
lara 1 pita huku ujibu tuhuma, wateja wanalalamika kwamba inakuwaje tena huwanga munafanya hivyo.

Hahahaaaaaaaaaaa! nimekuja SHOGA yangu hukunijibu kama SHANGA ZA KIUNONI ZILIKUTOSHA AMA VIPI? Anti SHY na wewe mda mwingine hata husomeki kwenye radar
 
HAhaha imenikumbusha kuna jamaa alikuwa akichukua malaya anazuga kondomu imepasuka anavaa ingine kumbe msela anaunganisha bao la pili hahahaa gizani
 
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:

Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka,

Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!
 
Usinunue tena

Asinunue, atapata wapi za bure? Sema asinunue zile za kuanika barabarani ucku kwaajiri ya afya yake. Japo hata hzo znazoshindaga home/kazini, nazo awe makini wengine wagonjwa, dada zetu wengi vicheche co kazini co home, so kutumia zana ni muhimu au tumia vile vidude vya kupimia vinauzwa pharmacy.
 
1)katoe swadaka ili ujenge maisha yako ya kesho akhera
2)saidi watoto yatima akina mama na wazee wasiojiweza
3)changia mradi wa kujenga vyoo barabarani
4)changia mradi wa kujenga mabweni kwa watoto wa kike

afu nyie mnaowanunua hao madada ndio mnaosababisha waendelee kuwepo

pia unazid kujichimbia shimo la umaskin ukiwa bado kijana unataka kuwa historia kabla muda wako hujafikia eeeeeh

good luck..........!!

Akifanya hvyo vyote kwa hzo pesa, K utampa wewe? Toa ushauri afanyeje, km tatizo ni kusema amenunua hata hao wa huko mtaani kwenu huwez wapata bila kuwatoa labda uwe unawadanganya, bt mwisho wa siku demu lazima umtoe na pesa hata angekuwa mzungu.
 
Thread zingine ni za kusoma tu na kupita kimya kimya..... Hayo mambo mi sijayaanza bado..
 
Hahahaaaaaaaaaaa! nimekuja SHOGA yangu hukunijibu kama SHANGA ZA KIUNONI ZILIKUTOSHA AMA VIPI? Anti SHY na wewe mda mwingine hata husomeki kwenye radar

Aiseee hebu msamehe huyu kijana yaishe....
 
Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!

New technology wangu, kuna what'sup, sms, email. Hushangai nimejuaje kutumia Jamii Forum.
Marinda hata Enzi ya Sayyed Sayyed yalikuwepo.
 
Hivi kwani isifike mahali Moderator ukazuia posts km hizi...zinatupeleka wapi? na nini hasa maana yake kwa maadili ya kitanzania?si lazma kila kitu kiachiliwe JF...mimi naamini hili ni jukwaa la watu makini ...wenye nia njema na jamii na maendeleo ya Tanzania.

Tengeneza JF yako. Hapa wanaruhusiwa watu wa itikadi zote, unaweza kusema hayo lkn hakuna mtu anaejua tabia yako huko unakoishi. Ndo maana Yesu alisema Mafarisayo ni wanafiki na alikaa na yule malaya ila akamwambia usitende dhambi tena. So acha watoe dukuduku zao ilimradi wasivunje sheria, na km una neno la kiungu la kuwabadilisha wkt ndo huu. Ss km mtu atajifanya ana hekima humu af mtaani anatembea na watoto wa primary, utamjuaje, utamsaidiaje na utakuwa umelisaidia vp taifa? Waache na mawazo yao na kupitia comments zako atajifunza kitu.
 
Back
Top Bottom