Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!

Acha ushamba wewe, malinda yapo hadi kesho. Nenda kwa Kakobe pale Mwenge, utaziona za kumwaga au unaishi porini nini!
 
Ukienda kununua changudoa hakikisha dushe imesimama kabisa na kama ikiwezekana hiyo ndomu uvae kabisa tangu home yaani namaanisha uwe full equiped....maana wale hawana muda wa romance wala baby I love you.....ni mwendo wa chomeka chomoa tapika ondoka......mapenzi na changudoa yanataka uwe na ujasiri wa ghafra na uzoefu wa gemu za kushtukiza...........
 
Hahahaaaaaa! ANAPENDA HUYU, NA KU ENJOY! We huoni kaniita mwenyewe? Namsaidia kutoka kabatini. Alikuwa anateseka sanaaa huko kabatini.

Me naona mnawafanya watu wawahic ninyi wote ninyi ni watu wa namna gani. Humu wote cc ni watu wazma na yote mnayosema tunajua co kweli ila mnatukanana tu, so atakeamua kukaa kimya tutamuona muungwana na atakae endelea tutajua sio mstaarabu. Jifunzeni kupuuza mambo afterall hamfahamian lkn km mmechkulia hii ni burudani km mieleka, nawashauri endeleeni.
 
Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!
Kakwa hiyo mkuu unataka kusema kuwa Enzi za NYERERE watu walikuwa hawana makalio wala vijambio........????
 
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote, maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio, "si uvue, sina muda wa kupoteza! toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda.

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure.

Sasa sijui ni mimi tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia.

Empty madini au duuuh tima kabisaaaa kijana unanunua mwanamke duuuh wote hawa mjini hapa huwaini babuu........sijawahi nunua nwanamke na sito nunua
 
Msaidie kumwelekeza kijana akat;ombe

Huku mtaani wamejaa......we unaenda kuwanunua hao wa usiku...au hko domo zege chalii?

Wewe John Ezekiel ndo wale wanaotongoza makahaba

Sasa wewe umenunua k...unataka tena ubembelezwe...?

Kachukue vitoto vya chips kuku...3500 ...vipo vingi tu

Unavidanganya na Ice cream...haahahah
 
Last edited by a moderator:
Ukienda kununua changudoa hakikisha dushe imesimama kabisa na kama ikiwezekana hiyo ndomu uvae kabisa tangu home yaani namaanisha uwe full equiped....maana wale hawana muda wa romance wala baby I love you.....ni mwendo wa chomeka chomoa tapika ondoka......mapenzi na changudoa yanataka uwe na ujasiri wa ghafra na uzoefu wa gemu za kushtukiza...........

Mkuu kuna thread moja ya #Lara 1 inafundisha jinsi ya kupata mwanamke/mwanaume hapa JF for love/leisure/money etc.. Mkuu nakumbuka ulihamaki sana na kufikia kusema kama vile JF imekosa maadili kwa kuruhusu thread za namna hiyo au kama sikumbuki vizuri pia wewe na #Shyland mlimshambulia sana mleta mada.. Sasa mi nilidhani wenzangu mna kautukufu flani au kautakatifu kwa mbaaaali... Kumbe sioni tofauti ya comment zenu na Legendary Lara 1... So mkuu kabla hujaniambia nikapime Ukimwi hakikisha na we ushapima.. Na aliyemsafi amtupie jiwe yule mwanamama...

Nisishambuliwe nijibiwe kistaarabu tu..

CC: #Shyland ; #Lara 1; #Matola ; #masai dada; #miss chagga na #Hypocrites
 
Hahahaaaaaa! ANAPENDA HUYU, NA KU ENJOY! We huoni kaniita mwenyewe? Namsaidia kutoka kabatini. Alikuwa anateseka sanaaa huko kabatini.

dah nyie wawili ni kama pua na kamasi. big up
 
Mkuu kuna thread moja ya #Lara 1 inafundisha jinsi ya kupata mwanamke/mwanaume hapa JF for love/leisure/money etc.. Mkuu nakumbuka ulihamaki sana na kufikia kusema kama vile JF imekosa maadili kwa kuruhusu thread za namna hiyo au kama sikumbuki vizuri pia wewe na #Shyland mlimshambulia sana mleta mada.. Sasa mi nilidhani wenzangu mna kautukufu flani au kautakatifu kwa mbaaaali... Kumbe sioni tofauti ya comment zenu na Legendary Lara 1... So mkuu kabla hujaniambia nikapime Ukimwi hakikisha na we ushapima.. Na aliyemsafi amtupie jiwe yule mwanamama...

Nisishambuliwe nijibiwe kistaarabu tu..

CC: #Shyland ; #Lara 1; #Matola ; #masai dada; #miss chagga na #Hypocrites
Sisi wengine ni watu wazima tumechoka kutukanwa na watoto wadogo...maana kila tukiwapa nasaha za namna ya kuishi na kuwa wastaarabu mnaishia kututukana matusi ya nguoni......basi bora hata tuwashari namna ya kuplay safe....maana hiki ni kizazi cha nyoka na kimelaaniwa...........ulikuwa unataka kusema labda mdogo wangu....
 
Empty madini au duuuh tima kabisaaaa kijana unanunua mwanamke duuuh wote hawa mjini hapa huwaini babuu........sijawahi nunua nwanamke na sito nunua

wewe tokea ulipoanza kugonga bado uko hapo hapo au? unapataje mwanamke? kutumia vocha? outing? story?
 
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote, maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio, "si uvue, sina muda wa kupoteza! toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda.

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure.

Sasa sijui ni mimi tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia.

pole sana mkuu,hayo ni matatizo ya kusikilizia stimu za chalinze zije ndo ugonge.binafsi yalishanikuta.ndo cku ya kwanza najaribu kuchukua dada poa,nilikuwa na uoga sana.kwanza naogopa waifu atanigundua then mawazo yalikuwa mbali sana nikiwa na hofu ya ngoma etc.yaani hata dushe haikucmama.mkuu cku hiyo nilidhulumiwa mkuu.alinichimba biti na akawa anapaza saut kwa nguvu wenzake wakawa wanajazana mlangoni wakijua labda mwenzao anadhulumiwa.ili kuogopa vagi na kutokea kwenye kurasa za mbele za magazeti ya shigongo,nikalipa lakini nikamwambia anirudishie chenji kwani cjaduu.dah nilipigwa biti hilo na chenji ckupewa.nikawa nimedhulumiwa ki style hiyo.ilikuwa sudani mkuu.hiyo ndo ilikuwa cku ya kwanza na mwisho kujaribu kununua huduma ya dada poa.
 
Back
Top Bottom