Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufumua marinda ndo nini?
Kula jicho.
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:
Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka, kijana akakubali. Asubuhi anampa dada wa watu pesa ya kitoto, dada hakukubali akamwambia kitachimbika leo. Ilibidi kesi iende kwa mama mwenyenyumba, balozi wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wa mtaa. Ilibid wazee wachangane pesa dada apewe haki yake
Kula jicho.
Kula jicho ndio nini?
Kwani sasa hivi unaishi wapi?
Sasa alichokosea mdau ni kipi? Machangudoa wapo na wana wateja wa kutosha tu. Usilazimishe kila mtu aishi kama wewe unavyotaka. Hili jukwaa halina ubaguziHivi kwani isifike mahali Moderator ukazuia posts km hizi...zinatupeleka wapi? na nini hasa maana yake kwa maadili ya kitanzania?si lazma kila kitu kiachiliwe JF...mimi naamini hili ni jukwaa la watu makini ...wenye nia njema na jamii na maendeleo ya Tanzania.
Huku mtaani wamejaa......we unaenda kuwanunua hao wa usiku...au hko domo zege chalii?
Wewe John Ezekiel ndo wale wanaotongoza makahaba
Sasa wewe umenunua k...unataka tena ubembelezwe...?
Kachukue vitoto vya chips kuku...3500 ...vipo vingi tu
Unavidanganya na Ice cream...haahahah
Sijawahi kununua na sitarajii
You totally missed the boat.
Sijasema kwamba smimi siwezi kupata UKIMWI.
Hilo halina maana tusikumbushane kwamba UKIMWI upo katika threads ambazo watu wanaonekana kuongelea habari za kununua malaya kama kununua shati katika nchi yenye maambukizi ya UKIMWI makubwa.
Ni vizuri km ni hvyo, ila tambua ukimwi upo mita chache toka mahali ulipo, ucwe na mawazo kuwa wanao nunua ndo watapata ila wewe unaekopa kwa watoto wajirani upo salama. Fanya utafiti wengi waliambukizwa ukimwi na watu walio waamini mfano maboss wao, au masecretary wao, maafisa elimu au dereva wa oficini, majiran, marafiki n.k. Kununua hata ulaya ipo na unakuwa makini kwakuwa humwamini na co rafiki yako. Na zaidi ya 90% ukimwi unatokana na mapenzi bila kinga na % ndogo kinywani.
Ss unaweza chukuwa malaya bila kinga? Hapo utakua umeamua mwenyewe, au unaweza kuomba denda kwa kahaba? Ukimwi tunapata kwa watu tulio shawishika kwasababu zetu binafsi na kuwaamini, kuwa nifanye utakavyo, au ukitaka nitafune nimeze (kuzama ktk penzi na michepuko).
Mkuu pole sana, hiyo ni culture ya malaya almost dunia nzima hasa pale anapogundua anadeal na mteja for just that moment, na kuna possibility akaachwa(au hata kuibiwa yeye). Mostly ni wateja ambao ni students. Bahati nzuri nimesoma vyuo katka nchi tatu tofauti na nikakonkludi hivyo. Lakini malaya akijihakikishia kuwa fweza si tatizo, na kuna uwezekano ukamrudia siku nyingine treatment ni zaidi ya demu wa nyumbani blv it or not. Those guys have been there done that, kwa hiiyo wanaziamini instincts zao.
Ila wabongo walivyo wanafiki, au wengine kutokana na kutoexplore ujana kama ilivyo anywhere in the world watajifanya kuja hapa ooh umepima, uoe, sijui tongoza hata mwaka!!!!!!!. Hayo mambo yana umri na wakati wake (tahadhari muhimu lakini), inakuwa tatizo tu ukiendekeza above those limits. Lakini nashukuru mkuu umeenda straight to the point. Pata mkwanja tengeneza pozi, unaweza mpa malaya hela in advance na ukamwambia saa flani nifuate mahali flani na atakuja... hiyo ndivyo ilivyo biashara upande wa pili.
Asante sana mkuu...jib lako imebidi nireply. Umenifungua.
Me naona mnawafanya watu wawahic ninyi wote ninyi ni watu wa namna gani. Humu wote cc ni watu wazma na yote mnayosema tunajua co kweli ila mnatukanana tu, so atakeamua kukaa kimya tutamuona muungwana na atakae endelea tutajua sio mstaarabu. Jifunzeni kupuuza mambo afterall hamfahamian lkn km mmechkulia hii ni burudani km mieleka, nawashauri endeleeni.
sexologist
kwa nini unapenda kutumia hash ( # ) ukitaka kuniita huwanga sikupati haraka jaribu kuwa unafanya hivi unaandika Shy land ukianza na "s" kubwa hafu mwazoni weka hii @