Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Sisi wengine ni watu wazima tumechoka kutukanwa na watoto wadogo...maana kila tukiwapa nasaha za namna ya kuishi na kuwa wastaarabu mnaishia kututukana matusi ya nguoni......basi bora hata tuwashari namna ya kuplay safe....maana hiki ni kizazi cha nyoka na kimelaaniwa...........ulikuwa unataka kusema labda mdogo wangu....

Unaweza kuproof kwamba mimi ni dmogo kwako??? Labda pitia na maandiko yetu sote mimi na wewe, hope ndio directive kwako... Mkuu age aint revealed here, just contents and comments....

BE YOURSELF, PLAY SAFE..
 
Acha ushamba wewe, malinda yapo hadi kesho. Nenda kwa Kakobe pale Mwenge, utaziona za kumwaga au unaishi porini nini!

nipo huku Namtumbo!! hayo marinda sio sana huku !!

vipi ulivyonyanyaswa kinjinsia,hukuchukua hatua yeyote?
 
Unaweza kuproof kwamba mimi ni dmogo kwako??? Labda pitia na maandiko yetu sote mimi na wewe, hope ndio directive kwako... Mkuu age aint revealed here, just contents and comments....

BE YOURSELF, PLAY SAFE..
Ok tufanye yamekwisha ndugu...malumbano yasiyo na maana si sehemu ya maisha yangu....do your thing and let me do my things....uwe na siku njema ndugu yangu......
 
unaendaga muda gani? kama saa 3 lazima akwambie hivyo, tena anakwambia we bwana mwaga basi, usipomwaga mimi natoa, maana kumekucha kwake, ila saa 9, wee pale tena ndio atakwambia toa tu tukalale. ila jitahidi uwe na ya kudumu, mimi kabla sijaacha nilikuwa na namba kabisa, napiga tu, ila sasa nimeacha kabisa.
 
did u buy her some food & drinks ? Bse yote yasingekuwapo na biashara ingefanyika vizuriiii
 
Najiuliza ni
mimi tu au ni kwa wote, maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta
wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja
sura na kuanza kukupeleka mbio, "si uvue, sina muda wa kupoteza! toa
hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda.

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda
aende zake tusije kugombana bure.

Sasa sijui ni mimi tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni
kawaida na inatokea kwa wengine pia.

ahaaaaa aiiiiiiii mbavu zangu mie mara ka mwili kadogo mara nn nimecheka sana. chezea biashara ya watu??? ni sheeee
 
Hata umlipe siku nzima, malaya atakupelekesha tu. Hawanaga kuremba. Wao wanachotaka ni pesa, na laiti wengeweza kuipata hiyo pesa bila kutoa dudu basi wangefurahi sana. So wanatoa dudu basi tu.

Tena wengi wao wanachukia wanaume, maana wamedikishwa hapo walipo kwa sababu ya wanaume. Isitoshe waengi wanakuwa wameshafanyiwa vitendo vya ukatili na wanaume wengine jamabo ambalo huzidisha chuki kwa wanaume.

Be careful unapochukua malaya.

Ni kweli kabisa kuwa wanawake wengi malaya wana chuki kubwa sana na wanaume ila wanataka tuu pesa zao. Kukurembulia macho ni style ya kukukoleza tuu utoe pesa.
Mchukue malaya muulize anapata shilingi ngapi kwa usiku mmoja na labda akakujibu laki, basi mwambie wewe hutaki mchezo huo lakini utampa 70,000/ akakufulie nguo tuu uone kama hatakubali na kukuona wewe ni kiumbe wa ajabu miongoni mwa wanaume.
Asilimia kubwa wanajiuza kwa shida walizonazo eitha za asili au walizosababishiwa na wengine. Na wanakumbana na unyama mwingi sana toka kwa baadhi ya wanaume ila hawawezi kuacha maana watafanya nini tena?
 
did u buy her some food & drinks ? Bse yote yasingekuwapo na biashara ingefanyika vizuriiii

huwezi amini mkuu..nilimpeleka bar akaagiza kuku choma na bia kibao...akaita na rafiki yake. nimeshangaa kuingia room akaanza kusema "kuninunulia hivyo umeamua ww, usidhani nashindwa kujinunulia!!!!"
 
pole sana ila ungechinja kibishi nyama haikataliwi mezani
 
Kidole kimoja umemnyooshea bwana John Ezekiel, vinne vyote vimeelekea kwako.

Jitafakari pia!

Mimi nishapima, na mazee kajinyooshea kidole mwenyewe kwa kututangazia habari zake na malaya, sijamnyooshea mimi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna thread moja ya #Lara 1 inafundisha jinsi ya kupata mwanamke/mwanaume hapa JF for love/leisure/money etc.. Mkuu nakumbuka ulihamaki sana na kufikia kusema kama vile JF imekosa maadili kwa kuruhusu thread za namna hiyo au kama sikumbuki vizuri pia wewe na #Shyland mlimshambulia sana mleta mada.. Sasa mi nilidhani wenzangu mna kautukufu flani au kautakatifu kwa mbaaaali... Kumbe sioni tofauti ya comment zenu na Legendary Lara 1... So mkuu kabla hujaniambia nikapime Ukimwi hakikisha na we ushapima.. Na aliyemsafi amtupie jiwe yule mwanamama...

Nisishambuliwe nijibiwe kistaarabu tu..

CC: #Shyland ; #Lara 1; #Matola ; #masai dada; #miss chagga na #Hypocrites

Hivi ulikuwa hujui JF wamejaa Mafarisayo?

Nenda jukwaa la dini hawazidi member 10 lakini kwenye kujiachia ndio wanaleta ulokole wao.

BTW wote wanaodemand tudiscuss vya maana sijawahi hata mara moja kuwaona wakichangia kwenye jukwaa la Intelligence. Haya ndio maajabu yaliopo JF.
 
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote, maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio, "si uvue, sina muda wa kupoteza! toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda.

Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure.

Sasa sijui ni mimi tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia.

Mkuu pole sana, hiyo ni culture ya malaya almost dunia nzima hasa pale anapogundua anadeal na mteja for just that moment, na kuna possibility akaachwa(au hata kuibiwa yeye). Mostly ni wateja ambao ni students. Bahati nzuri nimesoma vyuo katka nchi tatu tofauti na nikakonkludi hivyo. Lakini malaya akijihakikishia kuwa fweza si tatizo, na kuna uwezekano ukamrudia siku nyingine treatment ni zaidi ya demu wa nyumbani blv it or not. Those guys have been there done that, kwa hiiyo wanaziamini instincts zao.

Ila wabongo walivyo wanafiki, au wengine kutokana na kutoexplore ujana kama ilivyo anywhere in the world watajifanya kuja hapa ooh umepima, uoe, sijui tongoza hata mwaka!!!!!!!. Hayo mambo yana umri na wakati wake (tahadhari muhimu lakini), inakuwa tatizo tu ukiendekeza above those limits. Lakini nashukuru mkuu umeenda straight to the point. Pata mkwanja tengeneza pozi, unaweza mpa malaya hela in advance na ukamwambia saa flani nifuate mahali flani na atakuja... hiyo ndivyo ilivyo biashara upande wa pili.
 
Mimi nishapima, na mazee kajinyooshea kidole mwenyewe kwa kututangazia habari zake na malaya, sijamnyooshea mimi.

Hata kama kaka, hupaswi kusema vile. Ukimwi unaweza kukukuta nyumbani kwako unaangalia TV, hata km umepima huwezi jua moyo wa mkeo. Muwe mnabakiza maneno jaman, unaweza ukawa mwaminifu lkn mkeo akaambukizwa kizembe. Mungu tuepushie mbali.
 
nipo huku Namtumbo!! hayo marinda sio sana huku !!

vipi ulivyonyanyaswa kinjinsia,hukuchukua hatua yeyote?

Hahaha imebidi nicheke kwanza. Nilitegemea utakuwa umemind kwa lugha niliyotumia, kumbe na wewe wa kitaa km mimi. Tatizo la cku ile ni ushahidi labda wangenibaka mkuu. Ila ss hv ikitokea ntaenda dawati la jinsia, kuna dada mmoja aliniomba nimuwekee bulb chumbani kwake, nipo juu ya viti nilivyo vipanga ili nifikie ile taa, yeye akawa anabadili nguo fasta fasta nisimuone kumbe macho hayana mipaka, isee kidogo nidondoke. Nikajishikiria kwe kamba moja nayo ilikuwa inaning'inia, otheryz ningevunjika. Lkn aliniomba samahan kwakuwa chumba kilikuwa ndo hcho hcho. Nikamwambia ss dada km unataka mambo c tunaongea tu kuliko kunining'iniza juu ya dali. Mwanamke akiamua kukunyanyasa, anakunyanyasa kupitia uzuri wake au maungo aliyo nayo.
 
Hata kama kaka, hupaswi kusema vile. Ukimwi unaweza kukukuta nyumbani kwako unaangalia TV, hata km umepima huwezi jua moyo wa mkeo. Muwe mnabakiza maneno jaman, unaweza ukawa mwaminifu lkn mkeo akaambukizwa kizembe. Mungu tuepushie mbali.

You totally missed the boat.

Sijasema kwamba mimi siwezi kupata UKIMWI.

Hilo halina maana tusikumbushane kwamba UKIMWI upo katika threads ambazo watu wanaonekana kuongelea habari za kununua malaya kama kununua shati katika nchi yenye maambukizi ya UKIMWI makubwa.
 
Ukitaka kuenjoy malaya kubalianeni mda... sio "short time" au "bao moja.. no". Kubalianeni kwa mfano nusu saa ya kwanza elfu 10, ya pili elfu 8... ya tatu na kuendelea elfu tano tano...
Hapo mfuko wako utakufanya uenjoy vile unataka...
 
Back
Top Bottom