Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote! maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio..."si uvue, sina muda wa kupoteza!, toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda!!
Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure. Sasa sijui ni mm tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia?
Najiuliza ni mimi tu au ni kwa wote! maana nikienda eneo wanalojiuza utawakuta wamechangamka na kukukaribisha, ukimfikisha chumbani ghafla anakunja sura na kuanza kukupeleka mbio..."si uvue, sina muda wa kupoteza!, toa hela kabisa, fanya basi kama hutaki unanilipa ya kunipotezea muda!!
Yaani mpaka mood inakata, naamua tu nimlipe hiyo ya kumpotezea muda aende zake tusije kugombana bure. Sasa sijui ni mm tu sababu labda kamwili kangu ni kadogodogo au ni kawaida na inatokea kwa wengine pia?
Uwe unalipia usiku mzima.:cool2:
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:
Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka, kijana akakubali. Asubuhi anampa dada wa watu pesa ya kitoto, dada hakukubali akamwambia kitachimbika leo. Ilibidi kesi iende kwa mama mwenyenyumba, balozi wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wa mtaa. Ilibid wazee wachangane pesa dada apewe haki yake
Nikiwa mwanafunzi enzi za Nyerere tulikuwa tunaishi Masaki, sisi ni wale wazazi walistaahafu na kurudisha funguo za watu. Kufupisha hadith, tulikuwa na garden man anaitwa Juma, aliish Gongo la Mboto. Kule yeye alikua mwenyekiti wa mtaa, kuna siku alichelewa sana kuja kazini tukawa na wasiwasi, na mobile phone hazikuwepo wakati huo, alikuja na kisa hiki:
Kijana mgeni mtaani aliopoa Malaya akaenda nae nyumbani, kijana alishakunywa konyagi za kutosha akaanza kaproject na akaomba afumue marinda dada akamwambia pesa itaongezeka, kijana akakubali. Asubuhi anampa dada wa watu pesa ya kitoto, dada hakukubali akamwambia kitachimbika leo. Ilibidi kesi iende kwa mama mwenyenyumba, balozi wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wa mtaa. Ilibid wazee wachangane pesa dada apewe haki yake