Onana vs Skudu, ni mchezaji gani atakuwa wa kwanza kupewa mkono wa kwaheri katika timu yake?

Acha hasira kama nimemgusa mchezaji wako

Usije ukasahau kama safari njema huonekana mwanzo wa safari kwahiyo katika soka inatosha kutoa tathimini kwa kilichofanyika tayari
 
Tanzania tunawajinga wengi mkuu mtu ana anza kutaka Evaluation kupitia Dakika 7 za mchezaji duuuh!!
Ndio maana hua wanapigwa sana Makolo kwenye swala la Usajili.
Kwanini Ngushi alipewa sifa nyingi sana kwa kucheza dk 45 na akasemwa kwa sasa amexaliwa upya ilikuwaje aimbwe kwa nderemo na mapambio kwa dk 45 tu na ulikuwa mmoja wa wale walioamini kwamba kijana amekuwa na kiwango bora kwa sasa.

Nikukumbushe kitu katika soka takwimu inaandikwa katika kila sekunde na ikabaki kama kumbukumbu.
 
Muda utaongea tusiwe watabiri juu ya skudu
 
kwani skudu kacheza mechi ngap akiwa na yanga za kimashindano? tumia akili kwenye kutoa hoja hata uyo onana pia bado mapema kumuhukumu,yanga kulikuwa na calinho mbona alifanya poa wabongo mnakuwa vichwa maji sana tatzo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
umeongea kimpira Kongole

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Nahofia kuwa hiki ndicho kitakachomchomoa huyu jamaa soon tusijifanye hatujui tabia za mashabiki wetu
kwani mashabiki ndo wanalipa mishahara mashabiki kupiga kelele ni jadi yao...hasa mashabiki wa kibongo bendera vichwa maji fata upepo wana judge kwa hisia mpira una njia zake,mentality zake,pamoja na vikolombwezo vyake usilazimishe maoni yako ndo yageneralize mambo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Lete tathimini yako ya soka sio porojo lengo ni kujua nani ataleta mafanikio katika timu..in short hizi ni sajiri mbili zilizoimbwa sana na mashabiki wa hizi timu
sajili ni kamari kuimbwa kutokuimbwa ni mashabiki wanaamua,chuki zako wivu wako peleka kwenye familia yako mkuu ujikwamue na umaskini ulionao

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
kwa kumbukumbu tu fainali pale ukraine liverpool na real madrid salah aliumia mapema je na yeye ni gari la mkaa?

mleta mada ana shida mahari

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Bado haitufungi kwenye tanuli na kutufanya kuwachambua hawa wachezaji wawili..

Elewa maana ya maoni na mtazamo wa mtu..hata wewe ulichokitoa [emoji115]ni mtazamo wako ambao inabidi kuuheshimu
 
Ila ile rafu haliyo chezewa skudu ni mbaya sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…