Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hizi nyuzi mbona mapema sana[emoji16][emoji16]Yaani kama wachezaji wenyewe ndio hawa waliokimbizwa mwanzo mwisho na mlandege, kocha wetu mpya kazi anayo, tena kubwa sana, tusitarajie kupata matokeo kwa kuwategemea akina kapombe, zimbwe, Sadio, Saido, Chama, Sakho, Mzamiru, Phiri, Bocco, Manula basi, hao wengine waliobakia ndio hao wametupa matokeo kule zanzibar, endeleeni na ukaidi viongozi wetu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
HaaaaahaaMnadeal na mambo ya Fei mpaka mnasahau yanayo wahusu.
Tayari Wazanzibari wamemchinja mnayama kwa kutumia kisu butu. Yaani ni full maumivu.Hizi nyuzi mbona mapema sana[emoji16][emoji16]
Kitaumana muda si mrefuYaani kama wachezaji wenyewe ndio hawa waliokimbizwa mwanzo mwisho na mlandege, kocha wetu mpya kazi anayo, tena kubwa sana, tusitarajie kupata matokeo kwa kuwategemea akina kapombe, zimbwe, Sadio, Saido, Chama, Sakho, Mzamiru, Phiri, Bocco, Manula basi, hao wengine waliobakia ndio hao wametupa matokeo kule zanzibar, endeleeni na ukaidi viongozi wetu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hatutaki kujifariji. Mlandege ni kitimu kidoogo sana kwa simba. Fukuza wote wale walioanza leo wa kibaki ni beno na okra tuWe unaona mlandege ni timu ndogo, jamaa wanacheza Kama ulaya
Simba mdebwedo, pumbavu zake.Yaani kama wachezaji wenyewe ndio hawa waliokimbizwa mwanzo mwisho na mlandege, kocha wetu mpya kazi anayo, tena kubwa sana, tusitarajie kupata matokeo kwa kuwategemea akina kapombe, zimbwe, Sadio, Saido, Chama, Sakho, Mzamiru, Phiri, Bocco, Manula basi, hao wengine waliobakia ndio hao wametupa matokeo kule zanzibar, endeleeni na ukaidi viongozi wetu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Anaye deal na Fei ni nani pale Simba?Mnadeal na mambo ya Fei mpaka mnasahau yanayo wahusu.
Kwani humu JF wanasheria wakujipachika waliofungua thread za Fei ni nani? Naona mpaka msemaji wenu Ahmed nae katupa dongo sakata la Fei.Anaye deal na Fei ni nani pale Simba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]mpira ungekuwa hivi basi them zingebaki nyeupe, Jana Liverpool kafa 3 Kwa Brentford, kina Salah, Allison, Trent, Alcantara wangekuwa wauza karanga muda huu
Umemalizaaa haswaaaaaah.Wasahangiliaji wa Tz hasa nyie wa Simba mna umbumbumbu uliopitiliza, hivi kwa mtu anayejua mpira unaweza kusema Okrah aondolewe kikosini?. Mchezaji kaanza msimu vizuri bahati mbaya kapata majeraha ndio amerudi unataka aachwe?, Huyu ambaye mlimuimba kuwa mchezaji pekee wa kombe la Dunia [emoji28].
Saizi naona mmempumzisha mzee Bocco baada ya kwenda kurenew mafaili kwa mganga.....!!, Hapo Simba wachezaji wageni hawawezi kuwa na muundelezo mzuri sababu kubwa wachezaji wa kizawa ni washirikina haswa..., Hata huyo chama amekuwa Bora baada ya kuusoma mchezo nakuamua kujiweka fit haswa vinginevyo angekuwa mzee wa pancha kila Mara...!!. .
Simba ilihitaji kupata wachezaji Kama 6 wenye kwa quality kubwa Ila bahati mbaya wameangukia kwa kocha ambaye sio tatizo kwa Simba Sasa. Timu yenye wachezaji 11 wasio na mbadala ni hatariiii huko makundi huyu kocha mtamkata..[emoji125][emoji125]
Wewe apoAnaye deal na Fei ni nani pale Simba?