Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 842
- 982
Mpka unacomment hapa ina maana umeshausoma huu uzi sasa yote yapo humoHabari,
Wakuu naomba anauejua umujimu wa chumvi ya mawe kwenye kujikinga na mambo ya ushirikina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpka unacomment hapa ina maana umeshausoma huu uzi sasa yote yapo humoHabari,
Wakuu naomba anauejua umujimu wa chumvi ya mawe kwenye kujikinga na mambo ya ushirikina.
Wanywa pombe wengi wana roho nzuri sana
Ktk biblia nadhani ni Isaya sijui ni ipi lkn huo mstari au ipoTupe andiko wapi chumvi ilitumika kuondoa mikosi kwenye vitabu vyote then tutakuja kuchangia mada yalo
Nadhani nadhani nilidhani hata duniani haya maneno mahakamani hayapo jeshini pia hayapoKtk biblia nadhani ni Isaya sijui ni ipi lkn huo mstari au ipo
HahahahahahaNadhani nadhani nilidhani hata duniani haya maneno mahakamani hayapo jeshini pia hayapo
Sema Kwa mtaani yapo
Hebu soma 2wafalme 2 :19 :22 ,uone inasemajeNadhani nadhani nilidhani hata duniani haya maneno mahakamani hayapo jeshini pia hayapo
Sema Kwa mtaani yapo
Nilijua una akili kumbe hovyo tu, zoezi dogo umefeli ,mitoto ya siku hz banaNadhani nadhani nilidhani hata duniani haya maneno mahakamani hayapo jeshini pia hayapo
Sema Kwa mtaani yapo
Ulinunua chumvi ipi mkuu? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Usijaribu...this shit nearly killed me.
😂wadada mmeongezewa kitu cha kuwweka kwenye pochi zenu "mkaa"
mimi huwa naweka chumvi nyingi nachota viganja viwili yani nikioga mpaka naifeel kabisa😅😅😅Naomba kujua maji yanakuwa kiasi gani na chumvi unaweka kiasi gani
Umepata matokeo ganiChumvi ya mawe nimemtumia kuogea siyo mchezo.
Organic au original? Kuwa specificNamaanisha chumvi org mkuu
VizuriChumvi ya mawe nimemtumia kuogea siyo mchezo.
Maji ya baraka yapoje?Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.
Jilani yangu kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo
Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dilishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha.
Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii mkuu?
Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga sana maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumv na sukari.
Maji yaliyo fanyiwa maombezi mkuuMaji ya baraka yapoje?