Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Mkuu, hapo katika namba 3 umenistaajabisha saaaana!! tena umenifurahisha kusema ukweli :-- msumeno Ukweli wako ni shuhuda na funzo Kwa wapendao Amani,Haki na matendo mema..!! Yaani siajaabu hiyo huduma haipatikani hapa kwetu japo kuwa WaIslamu tupo wengi kila mtaa...!!! LAZIMA TUJIFUNZE hatujachelewa...
 

Ukiwachukia WANYARWANDA hasa Watutsi utakuwa na MATATIZO MAKUBWA YA AKILI. Asante sana mkuu kwa kuweka UKWELI kuhusu WANYARWANDA na kama nchi zote za AFRIKA zikiomba msaada wa FIKRA na MIKAKATI basi wasione aibu kuiomba RWANDA kutokana kwamba ndiyo nchi pekee ya AFRIKA iliyobarikiwa kila kitu na Mwenyezi Mungu. Long live RWANDA.
 
Mkuu yaani umeeleza nimekuelewa vizuri kweli......
 
Ninacho gundua tz ni wivu umewajaa hasa wadada wa bongo hawapendi kabisa wanayarwanda maana waliwafunika mbali sana kisura kiumbo wale watoto wazuri kuanzia nywele hadi unyayo tabia ni misconception tu mwakani naoa mtusi
 
Miaka itaebda itarudi mtusi na muhutu havitahiva. Ukitaka kujua nenda kwenye jera za Rwanda angalia zimejaa wahutu.
Ngoja nisiende mbali.
 
nawafananisha warwanda kwa waafrika mashariki kama wayahudi kwa waarab. vilevile warwanda kwa watanzania kama wana wa israel kwa wasaudia na iran
 
Nyie extremists kila non-tutsi ni mhutu, kwa hiyo sioni ajabu. Kikwete na Salma ni wahutu, jacob zuma ni mhutu...
 
kumbe uko mashindanoni?!
elewa kiswahili nimesema sio facts bali ni mihemko, yaani hizo unazoziona ni facts either ni positive ama negative kiuhalisia sio facts bali ni mihemuko yako dhidi ya unaowapinga
Kwa hiyo facts huwa ni positive tu, zikiwa negative sio facts bali mihemuko? Doh umenishinda tena.
 
jazba hapo iko wapi? nimekupa facts kujibu facts zako feki. Umeongea redio, umeongea maiti mto kagera, umeogea economic reforms...yote hayo nimeyapangua with facts, lakini wewe unasema ni jazba. wewe unapoongea uongo ili kumsifia kagame kwa kila hali tukuite una nini? Mahaba?
Hebu taja mambo ambayo sisi tumekwama kutokana na hicho unachokiita siasa ambayo Kagame amefanya kutokana na kuweka siasa pembeni.
 
Kama Rwanda nzuri wakimbizi haramu wanafuata nini bongo 'kubaya'?
 
Mambo ambayo ni siasa ni mengi sana, mfano mpaka leo tuhangaika na umeme, Rwanda wana sera ya nishati inayoeleweka. Mpaka leo tuhangaika na elimu, Rwanda wako vizuri sana kielimu kuliko sisi. Mpaka leo tunahangaika na economic reforms, Rwanda wanaajiri waafrika wengi tu kwa sababu sera zao kiuchumi zimekuwa wazi na zenye kueleweka wakati sisi tunahangaika na mambo yetu mengi tu. Mpaka leo tuna bandari lakini ni mpaka aje Magufuli na kuyaweka mambo sawa tena baada ya watu wengi kupelekwa mahakamani ndipo tunakaa sawa, Rwanda hawana bandari na wanatushangaa kwanini tunalia na umasikini wakati tuna bandari. Mpaka leo Tanzania tunashindwa kuwatumia wataalam wetu wengi walio huko nje kwa faida ya uchumi wetu. Rwanda pamoja udogo wake wanayo network inayoeleweka linapokuja suala la wasomi wa kinyarwanda waliotapakaa duniani kote. Kaka sipendi kuongelea suala moja halafu wewe siku inayofuata inakuja kuniambia niongelee kitu kilichoongelewa jana. Samahani sana lakini kama unataka kuzungumza na mimi jitahidi tumalize mada moja ndani ya siku moja. Ni alama ya heshima

Unapokaa zaidi ya siku nzima halafu unakuja kuongelea kitu kilichoongelewa jana, inakuwa sio dalili ya heshima kwako na kwangu pia, naomba usirudie tena kurudia mada ambazo zimeshapitwa na muda wa kuzungumziwa.
 
1. Rwanda wana access ya umeme asilimia ngapi na sisi tuna ngapi? Jadili kisomi tafadhali.
2. Kuhusu elimu Rwanda wametuzidi nini labda. Maana ukicheki viongozi wao wengi walioendesha serikali katika ngazi za uwaziri kama prof Lwakabamba, donald kaberuka, oda gasinzigwa...wamesomea TANZANIA! Na hao wengine wote wamesomea nje na sio Rwanda! Hebu onyesha tumezidiwa vipi kielimu na Rwanda ikiwa wataalamu wanatoka UDSM kwenda Rwanda na sio vice versa. Hata vyuo vikuu kama KIST si vimekuzwa na Lwakabamba mwenye elimu ya UDSM? Unaongea nini wewe?
3. Sitaki kukusumbua kichwa chako kwa mada nyingine kama ulivyoomba, jibu hizo basi kwanza kisha tuendelee.
 
My friend tusisumbuane akili kama unaweza uka google then why should you tell me to tell you things that you can find by yourself. Mheshimiwa kama huna jambo la kufanya vuta shuka ulale. Hii ni mada ya juzi unaendele kuivuta kwa misingi ipi?. Tafuta la kufanya ufanye, hii mada sio mpya.
 
Umekuja na zawadi gani? Hayo mengine porojoo mpaka urojoo
 
Vipi mkuu wakeiii unawaonaje ukilinganisha na watizeed .
 


Mkuu usihangaike sana kwa mambo yaliyo dhahiri.
Dr. KIKWETE aliwahi kusema " Kama Tz ingekuwa Rwanda basi tungesambaza umeme mpaka kwenye matendegu ya vitanda"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…