Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Judging by the comments hapa, Watanzania ni watu bitter sana
Maana yake asante.niliishi Korea kidogo. Adios amigoKumaasimita!!, unamaanisha nini?. Unapoongea na mtu ambaye hujawahi kuzungumza naye tangu uzaliwe jaribu kujenga mazingira ya heshima, I hope hatutukanani wala hatudharauliani!.
NA kama nyie mlivyochinjana na kuitana majina mabaya kama vile 'cockroach', ni kama vile mlivyotumia vibaya makanisa na kuaamua kuuliana humo (mkano kanisa la Kirehe), ni kama vile mlivyouana na luchomekana kwenye miti kama mishikaki na kutupana mto kagera. Ni kama vile mlivyoamua kuwabaka mabinti wadogo huku mkijua wazi kuwa tayari mna maradhi ya UKIMWI. Unataka niongeze zaid? Nyie Dogs na Cockroaches tu.Nilibahatika kuwaona wakimbizi wa afrika ya kusini enzi zile za Mwalimu Nyerere wakiishi kwa amani hapa Dar. Kila Ijumaa walikuwa wana matamasha yao pale IFM, ninafahamu sana ukarimu wetu. Ninachokipinga ni ile dhana potofu wa kumshambulia Kagame kana kwamba sisi ni wasafi sana. Tanzania ya sasa licha ya kuwakarimu wageni, imejaa mambo mengi ya kishenzi tu, likiwemo suala la ukatili kwa walemavu wa ngozi.
bora hata wangekuwa wanagawa bure wanachukua migao yao wanaishi maisha ya kufuru kwenye nchi amabayo maji nitabu lakini wao wanayo mpaka ya kuchezeani bora yule anayeenda kuiba kwa ajiri ya watu wake kuliko hawa ambao wanacho lakin wanagawa bwelele kwa wazungu
Bwana Chiwaso nyinyi ni kina nani?. Mimi hunijui unawezaje kunijumlisha katika nyinyi?.Matusi na kejeli zote za kazi gani ndugu yangu. Ila tukiambiana ukweli watu nafsi huwa zinauma sana. Hayo yote uliyoyasema yanawahusu wanyarwanda, mimi ni mtanzania kama wewe ila najaribu kujenga hoja, maybe zinaweza zisiwafurahishe watu lakini ni maoni yangu kutokana na uzoefu wangu wa maisha. Hayo yote uliyoyataja ni matatizo ya bara zima la Afrika, huo unyama uliouzungumza hauko tu Rwanda, hivi sasa kule DR Congo kuna kina Mama wanabakwa na wanajeshi. Kule Sudan kuna watoto wanabebeshwa bunduki waende kufanya uharamia. Afrika kwa ujumla wake ni bara lenye aina fulani ya laana. Wewe ukubali au ukatae, huo ndio ukweli.NA kama nyie mlivyochinjana na kuitana majina mabaya kama vile 'cockroach', ni kama vile mlivyotumia vibaya makanisa na kuaamua kuuliana humo (mkano kanisa la Kirehe), ni kama vile mlivyouana na luchomekana kwenye miti kama mishikaki na kutupana mto kagera. Ni kama vile mlivyoamua kuwabaka mabinti wadogo huku mkijua wazi kuwa tayari mna maradhi ya UKIMWI. Unataka niongeze zaid? Nyie Dogs na Cockroaches tu.
Acha mbwembwe, wewe si mtanzania, ni nyarwanda uliyejivisha gozi la utanzania. Huwa mnapenda sana sifa, mnapenda sana kusifiwa, mnapenda sana kuona kila kilicho chenu ni bora kuliko cha wenzenu. Na sasa mnafanya juhudi za kujisafisha baada ya kuamua kuuana kama kuku. Unamzungumzia JKN, na yeye siwa kule kule(Hata marehemu Mtikila alikuwa najua).Bwana Chiwaso nyinyi ni kina nani?. Mimi hunijui unawezaje kunijumlisha katika nyinyi?.Matusi na kejeli zote za kazi gani ndugu yangu. Ila tukiambiana ukweli watu nafsi huwa zinauma sana. Hayo yote uliyoyasema yanawahusu wanyarwanda, mimi ni mtanzania kama wewe ila najaribu kujenga hoja, maybe zinaweza zisiwafurahishe watu lakini ni maoni yangu kutokana na uzoefu wangu wa maisha. Hayo yote uliyoyataja ni matatizo ya bara zima la Afrika, huo unyama uliouzungumza hauko tu Rwanda, hivi sasa kule DR Congo kuna kina Mama wanabakwa na wanajeshi. Kule Sudan kuna watoto wanabebeshwa bunduki waende kufanya uharamia. Afrika kwa ujumla wake ni bara lenye aina fulani ya laana. Wewe ukubali au ukatae, huo ndio ukweli.
Roho ya ubaguzi iliyo katika maandishi yako ndio ile ile ambayo Marehemu Nyerere alikuwa akiilaani kila siku. Kusema nyinyi na sisi bila kuelewa impact ya maneno na hisia za kibaguzi. Wala usiweke akilini mwako wazo kuwa kuna kitu kimoja katika uzima wake kinaitwa Tanzania, ukiivunja Tanzania unapata Tanganyika, ukiivunja Tanganyika unakutana na muunganiko wa makabila 120 ambayo kila mmoja lina asili ya mbali kabisa na lilipo kwa sasa. Wagogo wapo Ivory Coast, wangoni wanatoka Afrika ya kusini, wasukuma na wanyamwezia asili yao afrika magharibi, wajaluo wa tarime asili yao sudan, wachagga asili ya Ethiopia. Kila kabila unalolifahamu wewe hapa Tanzania mzizi wake sio wa hapa, tunakutanishwa pamoja na wazo la Utanganyika ambalo limezaa Utanzania. Sasa usije ndani ya fikra zako ukajivunia kitu ambacho ule moyo wa mshikamano ndio umekifanya kikawepo. Punguza hisia za kibaguzi. Mimi nimezaliwa Mwanza, nimekulia Dar, nimeishi Dar tangu mwaka 1978 mitaa ya gymkhana club. Nimeishi mtaa wa shaaban robert ambao unaanzia katka ile njia inayokwenda Ikulu na unaishia katika ile njia inayoingia gymkhana club. Mzee wangu alifanya kazi serikalini kuanzi mwaka 1962 mpaka mwaka 1992. Mitaa ya posta mpya, mitaa ya sea view, mitaa ya kilimanjaro hotel, mitaa yote ya upanga, ndio maeneo niliyokulia.
Usichokijua ni kama usiku wa giza, ndio maana nimekueleza kwa kirefu kuhusiana na mimi. Kama utaamua kubakia na mawazo yako siwezi kuyabadilisha. Lakini kuhusu mentality za kibongo lazima niwe muwazi ili ziweze kubadilika. Ni lazima tubadilike, ule upuuzi wa kutazama huyu CCM na huyu CHADEMA lazima ufe kwa faida ya Taifa. Akili zako za kibaguzi haziwezi kukufikisha popote. Ndio maana nimekupa historia ndefu ya makabila ya kitanzania, nikakwambia kwamba hakuna mtanzania mwenye kustahili kujivunia utanzania wake. Wote kwa namna moja au nyingine ni wahamiaji. Karume aliyeiongoza Zanzibar ni mnyasa. Achana na akili za kipumbavu, kuwa kifikra na kimtazamo.Acha mbwembwe, wewe si mtanzania, ni nyarwanda uliyejivisha gozi la utanzania. Huwa mnapenda sana sifa, mnapenda sana kusifiwa, mnapenda sana kuona kila kilicho chenu ni bora kuliko cha wenzenu. Na sasa mnafanya juhudi za kujisafisha baada ya kuamua kuuana kama kuku. Unamzungumzia JKN, na yeye siwa kule kule(Hata marehemu Mtikila alikuwa najua).
Kumbe ni Myaru uliyezaliwa Mwanza, hongera. Tena mmejaa sana pale, sna tuuuuu. Silahumu kwa sababu hata historia inatambua hili. Mlianzia Israel>>Ethiopia>>>>Kenya/Sudan>>>>>Mwanza>>>>>Uganda>>>>>Rwanda/Burundi>>>>>>Rusumo>>>>>>Kagera>>>>>Mwanza>>> Tabora>>>>>Mpanda./Rukwa.
Ni kawaida yenu kukataa asili mpka mfumaniwe. Kuna mmoja alinibishia sana(Inawezakana ni wwe), lakini cha ajabu siku moja nikakukuta Rwanda na ndugu zake.
teh teh teh, sawa kijana wa Kibungo najua una NDA ya kinywarwanda, kubali hilo kwanza. Usijali hizi akili za kipumbavu ndizo zinazowanyima ninyi usingizi kila siku huko kwenu Rwanda, kwa sababu milikuwa hamjui kuwa tunawajua zaidi ya mnavyojifahamu. Hongera pia kwa sababu sasa unaweza kuzungumza kiswahili fasaha ambacho kinaweza kukusaidia kuukana Unywarwanda wako ni kujibatiza utanzania.Usichokijua ni kama usiku wa giza, ndio maana nimekueleza kwa kirefu kuhusiana na mimi. Kama utaamua kubakia na mawazo yako siwezi kuyabadilisha. Lakini kuhusu mentality za kibongo lazima niwe muwazi ili ziweze kubadilika. Ni lazima tubadilike, ule upuuzi wa kutazama huyu CCM na huyu CHADEMA lazima ufe kwa faida ya Taifa. Akili zako za kibaguzi haziwezi kukufikisha popote. Ndio maana nimekupa historia ndefu ya makabila ya kitanzania, nikakwambia kwamba hakuna mtanzania mwenye kustahili kujivunia utanzania wake. Wote kwa namna moja au nyingine ni wahamiaji. Karume aliyeiongoza Zanzibar ni mnyasa. Achana na akili za kipumbavu, kuwa kifikra na kimtazamo.
Kaka hiyo huyo Malcolm X kwenye hiyo avatar yako ni mtu ninayemheshimu sana, lakini kauli zako hazifanani hata kidogo na sura yake. Mimi sina DNA ya kinyarwanda, ninayo ya kitanzania kama wewe mgogo wa Dodoma. Nimekupa historia yangu kwa ufupi lakini kama hutaki kuniamini wala kuikubali sina la ziada ambalo naweza kukwambia. Kiswahili naweza kukiongea vizuri kuliko wewe kwa sababu pengine nimeanza kukizungumza kabla wewe hujazaliwa. Mimi nimekulia mitaa ya Ikulu, nimekua katika enzi za sokoine, nimekua katika Dar ya wakati ule, enzi za mwalimu Nyerere, siwezi kushindwa kukijua kiswahili fasaha. Usimdharau mtu usiyemjua.teh teh teh, sawa kijana wa Kibungo najua una NDA ya kinywarwanda, kubali hilo kwanza. Usijali hizi akili za kipumbavu ndizo zinazowanyima ninyi usingizi kila siku huko kwenu Rwanda, kwa sababu milikuwa hamjui kuwa tunawajua zaidi ya mnavyojifahamu. Hongera pia kwa sababu sasa unaweza kuzungumza kiswahili fasaha ambacho kinaweza kukusaidia kuukana Unywarwanda wako ni kujibatiza utanzania.
Unakutana na mtutsi anakuambia yeye ni msukuma au mmasai kwa wazazi wake wote wawili ila ukimuona ni mtutsi kabisa tena wengine hata kiswahili hawakijui vizuri. Wanashangaza sana wanadhani watanzania hatutambuani kwa makabila yetu.Acha mbwembwe, wewe si mtanzania, ni nyarwanda uliyejivisha gozi la utanzania. Huwa mnapenda sana sifa, mnapenda sana kusifiwa, mnapenda sana kuona kila kilicho chenu ni bora kuliko cha wenzenu. Na sasa mnafanya juhudi za kujisafisha baada ya kuamua kuuana kama kuku. Unamzungumzia JKN, na yeye siwa kule kule(Hata marehemu Mtikila alikuwa najua).
Kumbe ni Myaru uliyezaliwa Mwanza, hongera. Tena mmejaa sana pale, sna tuuuuu. Silahumu kwa sababu hata historia inatambua hili. Mlianzia Israel>>Ethiopia>>>>Kenya/Sudan>>>>>Mwanza>>>>>Uganda>>>>>Rwanda/Burundi>>>>>>Rusumo>>>>>>Kagera>>>>>Mwanza>>> Tabora>>>>>Mpanda./Rukwa.
Ni kawaida yenu kukataa asili mpka mfumaniwe. Kuna mmoja alinibishia sana(Inawezakana ni wwe), lakini cha ajabu siku moja nikakukuta Rwanda na ndugu zake.
Bora umemsaidia huyu jamaa,Unakutana na mtutsi anakuambia yeye ni msukuma au mmasai kwa wazazi wake wote wawili ila ukimuona ni mtutsi kabisa tena wengine hata kiswahili hawakijui vizuri. Wanashangaza sana wanadhani watanzania hatutambuani kwa makabila yetu.
Nani huyo uliyeweka nukuu yake?Bora umemsaidia huyu jamaa,
''Kaka hiyo huyo Malcolm X kwenye hiyo avatar yako ni mtu ninayemheshimu sana, lakini kauli zako hazifanani hata kidogo na sura yake. Mimi sina DNA ya kinyarwanda, ninayo ya kitanzania kama wewe mgogo wa Dodoma. Nimekupa historia yangu kwa ufupi lakini kama hutaki kuniamini wala kuikubali sina la ziada ambalo naweza kukwambia. Kiswahili naweza kukiongea vizuri kuliko wewe kwa sababu pengine nimeanza kukizungumza kabla wewe hujazaliwa. Mimi nimekulia mitaa ya Ikulu, nimekua katika enzi za sokoine, nimekua katika Dar ya wakati ule, enzi za mwalimu Nyerere, siwezi kushindwa kukijua kiswahili fasaha. Usimdharau mtu usiyemjua.''
Alikuwa mkweli, mpenda haki, anayeamini kwenye misimamo yake, na anayejitambua. Aliuawa wakati akiwa atetetea maslahi ya Black american. Malick al Shabaz in another name. Needs more about Malcolm X aka Malcolm Little?Kaka hiyo huyo Malcolm X kwenye hiyo avatar yako ni mtu ninayemheshimu sana, lakini kauli zako hazifanani hata kidogo na sura yake. Mimi sina DNA ya kinyarwanda, ninayo ya kitanzania kama wewe mgogo wa Dodoma. Nimekupa historia yangu kwa ufupi lakini kama hutaki kuniamini wala kuikubali sina la ziada ambalo naweza kukwambia. Kiswahili naweza kukiongea vizuri kuliko wewe kwa sababu pengine nimeanza kukizungumza kabla wewe hujazaliwa. Mimi nimekulia mitaa ya Ikulu, nimekua katika enzi za sokoine, nimekua katika Dar ya wakati ule, enzi za mwalimu Nyerere, siwezi kushindwa kukijua kiswahili fasaha. Usimdharau mtu usiyemjua.
ni ya Phillipo Bukilillo, mtanzania mwenye asili ya Kinywarwanda anayakataa unyarwanda.Nani huyo uliyeweka nukuu yake?
History yake na documentary yake nimeiona pale american library kwenye jengo la peugeot karibu na bushtrekker mwaka 1993, siku hizi wale wamarekani wameondoka pale, baada ya lile tukio la 1998 la ugaidi. Namjua vizuri huyo mtu.Alikuwa mkweli, mpenda haki, anayeamini kwenye misimamo yake, na anayejitambua. Aliuawa wakati akiwa atetetea maslahi ya Black american. Malick al Shabaz in another name. Needs more about Malcolm X aka Malcolm Little?
Nimelipenda hilo swali.Kama Rwanda nzuri wakimbizi haramu wanafuata nini bongo 'kubaya'?
Kaka Chiwaso tuheshimiane, humu JF tunachangia mada sio kutukanana wala kukejeliana. Mawazo yangu sio lazima yafanane na ya kwako. Lakini haimaanishi mimi ninayo haki ya kukutukana.ni ya Phillipo Bukilillo, mtanzania mwenye asili ya Kinywarwanda anayakataa unyarwanda.
Gday bro.History yake na documentary yake nimeiona pale american library kwenye jengo la peugeot karibu na bushtrekker mwaka 1993, siku hizi wale wamarekani wameondoka pale, baada ya lile tukio la 1998 la ugaidi. Namjua vizuri huyo mtu.
Msukuma gani wewe umayeweza kuponda vya nyumbani kwenu? Wewe ni mtutsi tu hata kama ukizaliwa Tanzania.hata wewe ondoa hiyo misconception, mfano sie wasukuma tunasifika wa ukarimu sana hasa kwa watu walioishi usukumani, lakin majuzi nilikuwa mbinga ruvuma wamatengo wananiambia eti sie wasukuma ni wanafiki sio wapole wala wakarimu, kuuliza sababu naambiwa eti kisa tu huku kwetu ndo mauaji ya albino na vikongwe ndo yameshamili, ajabu waliosema hivyo hawajawahi kufika usukumani. ile ni misconception coz sie ni wakalim mno wanaofanya hayo mambo ni waharifu wachache tu.