Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Zile radio za rwanda ambazo zilichochea mauaji mbona huziongelei?. Watutsi mamilioni waliouliwa kinyama na miili yao ikawa inaeleka katika mto Kagera nao umewasahau?. Nimemuongelea Kagame katika angle ya economic reforms alizozisimamia kwa umahiri mkubwa. Na sio kweli kwamba Kagame ameyakuta maendeleo, amefanya kazi kubwa ya kuweka masuala ya kisiasa pembeni na kufanya kazi za kiuchumi kwa faida ya wote. Kaka ukubali wala usikubali there is something wrong with our mentality, inategemea na uwezo wako wa kuyaona mambo. Ninayeongea na wewe sio mtutsi ni Mtanzania ambaye mzazi wake alifanya kazi serikalini tangu 1962 kafanya mengi sana, marehemu Mama yangu ni mmoja wa walimu wa kwanza wa shule ya msingi mzimuni pale magomeni, alikuwa pale mwaka 1965. Nimekulia Dar tangu utoto wangu miaka ya 70 mwishoni. Jaribu kuelewa concept ya mtu kabla hujaanza kutoka mapovu kwa hasira. Mimi ni mtanzania kama wewe najaribu kujenga hoja, zielewe hoja kwa undani, usitangulize vitisho, najenga hoja, zitafakari na zijibu. Mimi ni mtanzania mwenye kujivunia utanzania kama wewe.

1. Radio iliyoanza uchochezi ni ile ya RPF iliyokuwa inatangaza kutoka Uganda iliitwa radio Muhabura, hii ndio iliyoanza uchochezi toka ianzishwe mwaka 1991!
2. Miili iliyoelea mto kagera aliitupa nani? Nafasi za mtoni hapo ni Kagame na majeshi yake ndio waliokuwa wamekaa! Muulize bosi wako Kagame hiyo miili aliitupa nani. Haiwezekani mtu amiliki Dar es salaam nzima halafu aulize nani anatupa miili coco beach! Huo ni upopoma!
3. Economic reforms. Nani aliyevurunda economy ya Rwanda? Kagame kavuruga uchumi wa Rwanda kwa miaka minne, halafu wewe unapima maendeleo kuanzia 1994? Kwa nini usipime maendeleo based on takwimu za Habyarimana alipoishia kabla ya yeye kupiga mabomu na kuvunja barabara ambazo leo wewe unadhani hazikuwapo?
4. Unaongea kana kwamba siasa ni adui na inatakiwa kukaa pembeni. You can't be serious. Bila siasa unaendeshaje nchi? Nchi bila siasa inaweza kuendeshwa kwa haki na Mungu tu. As long as binadamu ndio wanaishi kwenye hiyo nchi siasa ni lazima. Ukiona mtu 'anaweka siasa pembeni' basi jua huyo hafai.
5. Kama wewe umekulia miaka ya 70 basi mama yako being a teacher should be ashamed of you. How can a grown man like you be so ignorant of history especially ya Kagame? Kutokana na mkataba wa Arusha wa mwaka 1993 majeshi ya kagame yalipewa ruksa ya kukalia eneo lote linalozunguka mto Kagera kwa upande wa Rwanda kuingia lake victoria. Sasa hiyo miili iliyoelea mwaka 1994 iliuliwa na nani? We ulikuwa mtu mzima miaka ya 90 kwa nini hujui mkwara ambao jeshi letu lilimpiga kagame kuhusu hiyo miili ya mto kagera iliyokuwa inakuja kwetu? You can choose to be anybody on social media kwa vile hatukuoni lakini siamini hata kidogo kunaweza kukawa na mtu mzima mtanzania anayeongea kama wewe.
 
facts gani ambazo muda wote ni negative tu kwa side fulani?! hakuna kitu kama hicho asee, na hii tabia mnaambukizana sana na ndo maana hapa nchini utawala wa awamu ya nne chini kikwete unajadiliwa negatively tu hata ukileta mada ya iyo serikali iliboresha miundombinu kuna watu kama wewe badala ya kutoa big up mtaponda tu
Facts zikiwa negative zinageuka uongo au bado zinabaki kuwa za ukweli?
 
Kaka usitangulize jazba kwenye maongezi utaumiza moyo na akili yako. GDP na hela wapi na wapi?. Jaribu kutuliza kabisa akili unapojaribu kuchangia mada. Usiingie kwenye maongezi wakati una hasira zako binafsi, utaharibu maana nzima ya great thinkers.
Okaaay basi sawa tufanye GDP haina uhusiano na hela.😀
 
1. Radio iliyoanza uchochezi ni ile ya RPF iliyokuwa inatangaza kutoka Uganda iliitwa radio Muhabura, hii ndio iliyoanza uchochezi toka ianzishwe mwaka 1991!
2. Miili iliyoelea mto kagera aliitupa nani? Nafasi za mtoni hapo ni Kagame na majeshi yake ndio waliokuwa wamekaa! Muulize bosi wako Kagame hiyo miili aliitupa nani. Haiwezekani mtu amiliki Dar es salaam nzima halafu aulize nani anatupa miili coco beach! Huo ni upopoma!
3. Economic reforms. Nani aliyevurunda economy ya Rwanda? Kagame kavuruga uchumi wa Rwanda kwa miaka minne, halafu wewe unapima maendeleo kuanzia 1994? Kwa nini usipime maendeleo based on takwimu za Habyarimana alipoishia kabla ya yeye kupiga mabomu na kuvunja barabara ambazo leo wewe unadhani hazikuwapo?
4. Unaongea kana kwamba siasa ni adui na inatakiwa kukaa pembeni. You can't be serious. Bila siasa unaendeshaje nchi? Nchi bila siasa inaweza kuendeshwa kwa haki na Mungu tu. As long as binadamu ndio wanaishi kwenye hiyo nchi siasa ni lazima. Ukiona mtu 'anaweka siasa pembeni' basi jua huyo hafai.
5. Kama wewe umekulia miaka ya 70 basi mama yako being a teacher should be ashamed of you. How can a grown man like you be so ignorant of history especially ya Kagame? Kutokana na mkataba wa Arusha wa mwaka 1993 majeshi ya kagame yalipewa ruksa ya kukalia eneo lote linalozunguka mto Kagera kwa upande wa Rwanda kuingia lake victoria. Sasa hiyo miili iliyoelea mwaka 1994 iliuliwa na nani? We ulikuwa mtu mzima miaka ya 90 kwa nini hujui mkwara ambao jeshi letu lilimpiga kagame kuhusu hiyo miili ya mto kagera iliyokuwa inakuja kwetu? You can choose to be anybody on social media kwa vile hatukuoni lakini siamini hata kidogo kunaweza kukawa na mtu mzima mtanzania anayeongea kama wewe.
Kaka ujumbe wangu ni ule ule punguza jazba wakati unaongea na watu ambao huwajui vizuri. Nilijenga hoja ya kukwambia mimi sio mtutsi nikakupa historia ya wazazi wangu kwa ufupi tu. Wewe unakuja humu JF unajifanya unajua mambo ambayo kwa maandishi yako jinsi yalivyo, inaonyesha umesikiliza story za wakubwa zako, na story zenyewe unazileta humu zikiwa na makosa mengi ya details. Unadanganywa na watu kuhusu Kagame na wewe unaingia kichwa kichwa. Points zangu zinabakia pale pale kwamba mentality za kitanzania lazima zibadilike ikiwa tunataka kufika mbali. Kama moyo wako umeumia kwa sababu Kagame kapewa sifa anazostahili, sina cha kufanya kwa ajili ya kukuponya. Kagame licha ya madhambi yake mengi, bado ameweza kufanya vitu vingi wakati sisi tukiwa tumekwamba kwenye majibizano mengi ya wanasiasa. Tanzania yetu kila mtu anajua kila kitu, very wrong concept.
 
"Facts zikiwa negative zinageuka mihemuko" okay fine umeshinda!
kumbe uko mashindanoni?!
elewa kiswahili nimesema sio facts bali ni mihemko, yaani hizo unazoziona ni facts either ni positive ama negative kiuhalisia sio facts bali ni mihemuko yako dhidi ya unaowapinga
 
1. Sio kweli kuwa upstairs wapo uzuri, wangekuwa wapo vizuri wasingepigana kwa sababu ya urefu wa pua zao na kuishia kuishi nchi za wengine kama wakimbizi.
2. Nyamwasa na Karegeya hawakuitwa na kagame Rwanda, wewe hata historia hujui. Nyamwasa na Karegeya wote wamezaliwa Uganda na wamekulia na kusoma huko. Wakati RPA wanavamia Rwanda mwaka 1990 ni Karegeya ndio aliyekuwa mpanga mipango. Jadili vitu unavyovijua tafadhali.
Meja rwegema unamjua?
 
Waungwana kaka yenu nakaribia kurudi nyumbani baada ya kuishi hapa DRC kwa Takriban miaka 2.

Katika kipindi chote nilichokaa hapa nimejifunza mengi sana ila leo nitazungumzia kuhusu hawa jirani zetu Wanyarwanda.Maana nimekua nikipita hapa mara kwa mara. Kwa kifupi ondoeni dhana potofu kuhusu hawa jamaa maana mimi dhana hiyo tayari nimesha ifuta. Wengi wenu kama sio wote mnadhani kuwa wanyarwanda ni watu ''wasio poa'' au ni wenye majivuno labda wengine mnadhani eti hawatupendi Watanzania.

Dhani hizi ni potofu kweli kweli, mwanzoni nikipita hapa sikua nikiongea kiswahili ili nisitambulike maana niliogopa kweli hawa jamaa. Baadae nikagundua dhana yangu sio sahihi kabisa na Mungu anisamehe.

Hawa jamaa hawana shida kabisa na wageni hasa Watanzania. Nimekaa Hoteli mbali mbali hapa nikiwa transit kwenda DRC au kurudi Home Tanzania, na kote huko nimechukuliwa vizuri sana tu.

Sio hotel tu , nimepanda boda boda, nimefika masokoni, msikitini , madukani kote huko hawa jamaa ni wakarimu sana na nimetendewa vizuri kwa kweli.

Wacha niweke mifano michache hapa mnielewe, nasisitiza michache mana nimengi nimeyaona positive.

1. Nikitoke DRC kurudi home ( niko njiani) tukiwa pale Kingarama Restaurant nikapata shida kidogo ya chenji ya Dollar kwa FRC ya Rwanda ili nipate Supu, wakati nikitaka kutoka nikatafute nje chenji mzee mmoja akasema kumwambia mhudumu mwache apate hiyo supu nitalipa mimi kama 'felistation' maana walitufunga kombe la CHAN huyu mzee alijua mimi ni Mkongo, nikala na wala hakukaa kuni bore kwa vile ameninunulia supu alitimua.... nikashangaa maana DRC husema hawa jamaa hawawapendi

2. Mh PK alitoa ma Bus kadhaa kuja pale Gisenyi kuchukua mashabiki wa DRC bure ili waje washangilie timu yao .... BUS zilijaa wakongo na walilindwa na wakarudi kwa amani.

3. Nilipofika Kigali na baada ya kuchukua Hotel, nikataka kwenda Masjid kusali , nikauliza Reception , kwa mshangao akadakia jamaa mmoja na kuniambia ''msikiti uko mbali ila subiri nitakupeleka maana naelekea njia hiyo hiyo huyu hakua musilam na hakua akinijua , ni tax man tu alie leta mteja pale. Njiani tulipiga soga sana.

4. Nikiwa hapa kwa siku ya pili na ticketi yangu ikiwa ya jioni nikaona ni negotiate nikae mpaka jioni kwa kulipa kidogo chumba maana check out ni saa tano asubuhi... Manager akasema ''kaa tu usilipe chochote , karibu tena wakati mwingine''.

5. Huko mitaani niliko kwenda kutembea jana usiku, nilikutana na ukarimu sana hasa unapouliza direction na mengine. hawa jamaa wana smile sana na sio ya smile ya kinafiki au ya kutegemea kitu

(a) Kitu nimegundua labda unaweza sema cha kushangaza au sio kizuri ni kwamba watu hapa hawaongelei siasa sana , ni aghalabu kukuta watu wakiongelea siasa hapa tofauti na home TZ kila mtu politician

(b) Printing media sio nyingi ila TV station wanazo nyingi tu

(c) Polisi ni vijana na hawacheki cheki wako serious kweli ila ukiuliza kitu wanakujibu vizuri tu

(e) Rushwa hapa sio sana labda niseme hakuna, polisi akikumata unaandikiwa charge hakuna zile za kuvutana nyuma ya gari na watu wanatii sheria kweli kweli

(f) Ule mfumo wa ukusanyaji kodi kila duka hapa, na kuna ka machine kama ka fingure print sijauliza ni ka nini ila ni ka mamlaka ya Kodi ya Rwanda. ( hapa nikakumbuka zile machine zetu sijui zilishia wapi maana zilileta sintofamu)

(g) Taxi zina Automatic Counter kama za Europe


NIMEONA MENGI WACHA NIACHIE HAPA NA WENGINE WACHANGIE MAANA NATUMAINI KUNA WENGI WAMEPITA HAPA PIA, WITO WANGU KAMA UNA JIRANI YAKO MNYARWANDA USIMTENDEE VIBAYA HAWA WATU WENGI WAO NI WAZURI SANA KWETU
Mkuu uko sahihi..binafsi Kigali ni mitaa yangu..unachosema sawa sawa nimekua kule 2010,nikarudi tena 2014,na mwaka huu nitakua huko..Mitaa yangu..Remera,Gahinga,kicycuro..viwanja vya bata,K club,KBC ,pwani Kivu mixer Gisenyi..Urakoze cyane
 
Kaka ujumbe wangu ni ule ule punguza jazba wakati unaongea na watu ambao huwajui vizuri. Nilijenga hoja ya kukwambia mimi sio mtutsi nikakupa historia ya wazazi wangu kwa ufupi tu. Wewe unakuja humu JF unajifanya unajua mambo ambayo kwa maandishi yako jinsi yalivyo, inaonyesha umesikiliza story za wakubwa zako, na story zenyewe unazileta humu zikiwa na makosa mengi ya details. Unadanganywa na watu kuhusu Kagame na wewe unaingia kichwa kichwa. Points zangu zinabakia pale pale kwamba mentality za kitanzania lazima zibadilike ikiwa tunataka kufika mbali. Kama moyo wako umeumia kwa sababu Kagame kapewa sifa anazostahili, sina cha kufanya kwa ajili ya kukuponya. Kagame licha ya madhambi yake mengi, bado ameweza kufanya vitu vingi wakati sisi tukiwa tumekwamba kwenye majibizano mengi ya wanasiasa. Tanzania yetu kila mtu anajua kila kitu, very wrong concept.
Nimekuelewa uzuri tatizo watu wana mihemko waqt ni mambo ya kujadiliana na sio kukashifianaso tuvumiliane ndugu humu wengi wetu hatujuani lakini mtu atataka akuelezee kama mnakaa mtaa mmoja sidhani kama kuna haja ya malumbano na kutoka penye mada all and all umeeleza unachoka jua big up sana ndugu yangu.
 
Of all the countries hatuwezi kuwaiga wala kuwaonea wivu Wanyarwanda na ni ujinga kufananisha Rwanda na Tanzania. Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC. Sisi tuna Serikali ya kedemokrasia na tunaruhusu uhuru wa mawazo wakati huko Rwanda kuna udikteta na utawala wa kiimla tu. Tuna ma-Rais watatu wamebadilishana madaraka katika kipindi ambacho Rwanda ina Rais mmoja anayeendelea kuua wapinzani wake wa kisiasa. Kimsingi hatuna cha kujifunza toka Rwanda
ungejua ninaombea muheshimiwa rais abadilishe katiba na atawale mpaka 2045 kubadilisha viongozi ni usumbufu tu.watanzania tunahitaji rais kama magufuli kwanza hii kasi aliyoanza nayo bado naona ni ndogo .aongeze tena mara tatu ili tubadilike maana tunaishi kwa mazoea.rwanda ni nzuri sana
 
Zile radio za rwanda ambazo zilichochea mauaji mbona huziongelei?. Watutsi mamilioni waliouliwa kinyama na miili yao ikawa inaeleka katika mto Kagera nao umewasahau?. Nimemuongelea Kagame katika angle ya economic reforms alizozisimamia kwa umahiri mkubwa. Na sio kweli kwamba Kagame ameyakuta maendeleo, amefanya kazi kubwa ya kuweka masuala ya kisiasa pembeni na kufanya kazi za kiuchumi kwa faida ya wote. Kaka ukubali wala usikubali there is something wrong with our mentality, inategemea na uwezo wako wa kuyaona mambo. Ninayeongea na wewe sio mtutsi ni Mtanzania ambaye mzazi wake alifanya kazi serikalini tangu 1962 kafanya mengi sana, marehemu Mama yangu ni mmoja wa walimu wa kwanza wa shule ya msingi mzimuni pale magomeni, alikuwa pale mwaka 1965. Nimekulia Dar tangu utoto wangu miaka ya 70 mwishoni. Jaribu kuelewa concept ya mtu kabla hujaanza kutoka mapovu kwa hasira. Mimi ni mtanzania kama wewe najaribu kujenga hoja, zielewe hoja kwa undani, usitangulize vitisho, najenga hoja, zitafakari na zijibu. Mimi ni mtanzania mwenye kujivunia utanzania kama wewe.
Bukililo hili jina nalifananisha na kijiji/kitongoji kule kwetu Ngara
 
Rwanda jamani wale watoto tu hatari nimekaa remera pale watoto wa kike wapo very calm very sweet yani wazuri kuanzia rohoni kichwani hadi nje maji walikua wananichotea wao mda nikiwa busy sana nguo zangu wanafua wana roho nzuri sana asee i miss kigali sana tu
 
jMali ni Mnyarwanda wa kabila la Wahutu,anaonekana kuwa na hasira sana na Paul Kagame na Watutsi wote,sijui Kagame alimfanya nini huyu jamaa.Ananikumbusha jamaa yangu mmoja niliyepiga naye kitabu nchi flani alikuwa ni Mhutu,alikuwa na chuki kali na Watutsi.Ila kuna dada mmoja wa Kitutsi alikuwa bestie wangu sana,mtoto mrefu na mkali kinoma,alikuwa poa sana yule dada ila yule jamaa yangu wa Kihutu,ana misimamo mikali linapokuja swala la Watutsi yaani balaa.
 
Rwanda jamani wale watoto tu hatari nimekaa remera pale watoto wa kike wapo very calm very sweet yani wazuri kuanzia rohoni kichwani hadi nje maji walikua wananichotea wao mda nikiwa busy sana nguo zangu wanafua wana roho nzuri sana asee i miss kigali sana tu
Duh!unanikumbusha union trade pale wacha mchezo kila sampuli utaiona pale yaani inaweza kuja moja kisha kwa utashi wako unajisemea angepungua chini kidooogo angekuwa poa baada ya dakika kumi unamuona huyo uliekuwa ukimfikiria.
 
Yani huyu jamaa kauona ukarimu wa wanyarwanda kwa kua alinunulia supu na kusamehewa hela ya guest kwa muda aliongeza,sasa tujiuilize hizo ndo sababu tosha za kufanya mtu uone nchi flan ni nzuri pamoja na watu wake?
Ngoja nikwambie kitu ndugu yng,wanyarwanda wenyewe wanakubali wao ni sumu kwa yyte asie mnyarwanda yn ni km utamaduni wao,na huyo kagame unaemsema wenzio wanatamani hata kesho aondoke ila jamaa mfumo alioweka ndo mana husikii hata watu wakizungumza siasa hapo Kigali,
Halafu unaposema baada ya miaka10 Rwanda itaishinda Tanzania sijui unatumia vigezo gani au hujui mambo ya kiuchumi yalivo kaka.Rwanda haitakaa iizidi Tanzania hata siku moja na wao wanajua hivo ila kinachobaki ni kujitutumua tu.
 
Back
Top Bottom