Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Tanzania ni nchi ninayoipenda, ujumbe wangu ni mpana zaidi kwani tulipaswa kuwa na maendeleo kuliko hali ilivyo sasa. Baadhi ya yale yanayotukwamisha ni tabia zetu wenyewe. Roho mbaya zetu wenyewe. Tabia za kusubiri fulani akwame ili mtu afurahiye. Tusijenge dhana potofu kwamba hapa ni mbinguni we have a lot of our own problems.

Umekomaa kuwatetea watu usiowajua, tuambie umeishi Rwanda miaka mingapi? Maana huwezi kukomaa namba hiyo, au na wewe umetumwa. Personality ya huwezi kuijua kwa siku mbili. Mkiweza si mnaenda kuomba uraia, si hawana tabu. Tuacheni tunayoipenda Tanzania yetu, mama yako hata akufanyie kosa gani bado ni mama yako. Kwangu ni Tanzania na naipenda ncji yangu, sijwahi kutamani kuwa raia wa taifa tofauti. H
 
Zile radio za rwanda ambazo zilichochea mauaji mbona huziongelei?. Watutsi mamilioni waliouliwa kinyama na miili yao ikawa inaeleka katika mto Kagera nao umewasahau?. Nimemuongelea Kagame katika angle ya economic reforms alizozisimamia kwa umahiri mkubwa. Na sio kweli kwamba Kagame ameyakuta maendeleo, amefanya kazi kubwa ya kuweka masuala ya kisiasa pembeni na kufanya kazi za kiuchumi kwa faida ya wote. Kaka ukubali wala usikubali there is something wrong with our mentality, inategemea na uwezo wako wa kuyaona mambo. Ninayeongea na wewe sio mtutsi ni Mtanzania ambaye mzazi wake alifanya kazi serikalini tangu 1962 kafanya mengi sana, marehemu Mama yangu ni mmoja wa walimu wa kwanza wa shule ya msingi mzimuni pale magomeni, alikuwa pale mwaka 1965. Nimekulia Dar tangu utoto wangu miaka ya 70 mwishoni. Jaribu kuelewa concept ya mtu kabla hujaanza kutoka mapovu kwa hasira. Mimi ni mtanzania kama wewe najaribu kujenga hoja, zielewe hoja kwa undani, usitangulize vitisho, najenga hoja, zitafakari na zijibu. Mimi ni mtanzania mwenye kujivunia utanzania kama wewe.
Achana na mtu mjinga ambaye anataka mawazo yake ndo uandike jamiiforum. Ni ujinga kusapoti upuuzi wa viongozi waliopita kuongoza hii nchi ukiachilia mbali baba wa Taifa ambaye alilipenda Taifa lake kuliko hata familia yake. Tembelea mgodi Mkubwa wa Bulyanhulu katika vijiji vinavyozunguka mgodi uone maisha wanayoishi. (Maji hakuna wala miundo mbinu hakuna tangu waingie 1996. Tembelea Uganda uone Mseveni anavyotumia mall zake kupanua uchumi wa nchi yake ambayo haina madini Sudani,Kenya,Congo na Tanzania sasa wamegeuza Kampala kama Dubai sababu ya mazigira rafiki kwa wafanyabiashara. Kagame anapendwa na raia wake kama Watanzania walivyowapenda Nyerere na Kharume. Hivi kama tungekuwa na raisi mfano wa Karume ambaye alianza hadi kiwajengea raia wake makazi bora kwa nyumba za ghorofa pale Michezani na mashambani hii nchi ingekuwa wapi. Hao jamaa wawadaganye wale ambao hawatembei,tushukru tu awamu ya nne imeondoka maana baada ya miaka mitatu mbele tungebaki watupu. Tunachojivunia Watanzania kwa sasa ni Magufuri tu na tumuombee mungu .
5c796331e7f7d4fa3abb845d5dee346f.jpg
d2987f75924e959148b01ab44306f3cd.jpg
611c15c0c4b226a4647a333482717de3.jpg
 
Hizi ni pumba tupu umeandika. Hakuna democrasia Tz labda demkrasia ya ccm na kuihadaa uma. Mauaji ya wanasiasa yapo kote kote. Uhuru wa kujieza ndo km vile, kufungiwa magazeti, cyber law, kuzuia mikutano ya kisiasa, kuzuia maandamano ya wapinzani, kukatisha kuonesha bunge kwa hiyo hakuna utofauti. Kubadilisha viongozi ni yale yale maana ni wale wale marais waastafu ndo wanaamua ni nani anafuata kwa hiyo ni sawa tu na kutawaliwa na yule wa zamani. Hakuna demokrasia Tanzania acha kujifariji
Of all the countries hatuwezi kuwaiga wala kuwaonea wivu Wanyarwanda na ni ujinga kufananisha Rwanda na Tanzania. Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC. Sisi tuna Serikali ya kedemokrasia na tunaruhusu uhuru wa mawazo wakati huko Rwanda kuna udikteta na utawala wa kiimla tu. Tuna ma-Rais watatu wamebadilishana madaraka katika kipindi ambacho Rwanda ina Rais mmoja anayeendelea kuua wapinzani wake wa kisiasa. Kimsingi hatuna cha kujifunza toka Rwanda
 
Mkuu hongera kwa kutuhabarisha. Ukarimu huo kuupata Tanzania labda kwa wasukuma vijijini huko. Watanzania tumebakiwa na sifa ya Magufuri tu na kila Mtanzania kwa sasa kajivika uanaharakati yaani ni upuuzi mtupu. Vipi mkuu hujaopoa mtoto huko? Samahani lakini

du mzee hilo swali lako utanichonganisha na shemeji yako Preta
 
Umekomaa kuwatetea watu usiowajua, tuambie umeishi Rwanda miaka mingapi? Maana huwezi kukomaa namba hiyo, au na wewe umetumwa. Personality ya huwezi kuijua kwa siku mbili. Mkiweza si mnaenda kuomba uraia, si hawana tabu. Tuacheni tunayoipenda Tanzania yetu, mama yako hata akufanyie kosa gani bado ni mama yako. Kwangu ni Tanzania na naipenda ncji yangu, sijwahi kutamani kuwa raia wa taifa tofauti. H
Aliyekwambia mimi siipendi Tanzania ni nani?. Aliyekwambia mimi sio mtanzania ni nani?. Naipenda nchi sana ndio maana naandika mawazo yangu ndani ya JF nikitegemea yatawagusa watu ili tubadilike kimitazamo, tuachane na dhana za kujiona we are the best, kiasi cha kushindwa kupiga hatua chanya za kimaendeleo.
 
Waungwana kaka yenu nakaribia kurudi nyumbani baada ya kuishi hapa DRC kwa Takriban miaka 2.

Katika kipindi chote nilichokaa hapa nimejifunza mengi sana ila leo nitazungumzia kuhusu hawa jirani zetu Wanyarwanda.Maana nimekua nikipita hapa mara kwa mara. Kwa kifupi ondoeni dhana potofu kuhusu hawa jamaa maana mimi dhana hiyo tayari nimesha ifuta. Wengi wenu kama sio wote mnadhani kuwa wanyarwanda ni watu ''wasio poa'' au ni wenye majivuno labda wengine mnadhani eti hawatupendi Watanzania.

Dhani hizi ni potofu kweli kweli, mwanzoni nikipita hapa sikua nikiongea kiswahili ili nisitambulike maana niliogopa kweli hawa jamaa. Baadae nikagundua dhana yangu sio sahihi kabisa na Mungu anisamehe.

Hawa jamaa hawana shida kabisa na wageni hasa Watanzania. Nimekaa Hoteli mbali mbali hapa nikiwa transit kwenda DRC au kurudi Home Tanzania, na kote huko nimechukuliwa vizuri sana tu.

Sio hotel tu , nimepanda boda boda, nimefika masokoni, msikitini , madukani kote huko hawa jamaa ni wakarimu sana na nimetendewa vizuri kwa kweli.

Wacha niweke mifano michache hapa mnielewe, nasisitiza michache mana nimengi nimeyaona positive.

1. Nikitoke DRC kurudi home ( niko njiani) tukiwa pale Kingarama Restaurant nikapata shida kidogo ya chenji ya Dollar kwa FRC ya Rwanda ili nipate Supu, wakati nikitaka kutoka nikatafute nje chenji mzee mmoja akasema kumwambia mhudumu mwache apate hiyo supu nitalipa mimi kama 'felistation' maana walitufunga kombe la CHAN huyu mzee alijua mimi ni Mkongo, nikala na wala hakukaa kuni bore kwa vile ameninunulia supu alitimua.... nikashangaa maana DRC husema hawa jamaa hawawapendi

2. Mh PK alitoa ma Bus kadhaa kuja pale Gisenyi kuchukua mashabiki wa DRC bure ili waje washangilie timu yao .... BUS zilijaa wakongo na walilindwa na wakarudi kwa amani.

3. Nilipofika Kigali na baada ya kuchukua Hotel, nikataka kwenda Masjid kusali , nikauliza Reception , kwa mshangao akadakia jamaa mmoja na kuniambia ''msikiti uko mbali ila subiri nitakupeleka maana naelekea njia hiyo hiyo huyu hakua musilam na hakua akinijua , ni tax man tu alie leta mteja pale. Njiani tulipiga soga sana.

4. Nikiwa hapa kwa siku ya pili na ticketi yangu ikiwa ya jioni nikaona ni negotiate nikae mpaka jioni kwa kulipa kidogo chumba maana check out ni saa tano asubuhi... Manager akasema ''kaa tu usilipe chochote , karibu tena wakati mwingine''.

5. Huko mitaani niliko kwenda kutembea jana usiku, nilikutana na ukarimu sana hasa unapouliza direction na mengine. hawa jamaa wana smile sana na sio ya smile ya kinafiki au ya kutegemea kitu

(a) Kitu nimegundua labda unaweza sema cha kushangaza au sio kizuri ni kwamba watu hapa hawaongelei siasa sana , ni aghalabu kukuta watu wakiongelea siasa hapa tofauti na home TZ kila mtu politician

(b) Printing media sio nyingi ila TV station wanazo nyingi tu

(c) Polisi ni vijana na hawacheki cheki wako serious kweli ila ukiuliza kitu wanakujibu vizuri tu

(e) Rushwa hapa sio sana labda niseme hakuna, polisi akikumata unaandikiwa charge hakuna zile za kuvutana nyuma ya gari na watu wanatii sheria kweli kweli

(f) Ule mfumo wa ukusanyaji kodi kila duka hapa, na kuna ka machine kama ka fingure print sijauliza ni ka nini ila ni ka mamlaka ya Kodi ya Rwanda. ( hapa nikakumbuka zile machine zetu sijui zilishia wapi maana zilileta sintofamu)

(g) Taxi zina Automatic Counter kama za Europe


NIMEONA MENGI WACHA NIACHIE HAPA NA WENGINE WACHANGIE MAANA NATUMAINI KUNA WENGI WAMEPITA HAPA PIA, WITO WANGU KAMA UNA JIRANI YAKO MNYARWANDA USIMTENDEE VIBAYA HAWA WATU WENGI WAO NI WAZURI SANA KWETU
Afadhali wewe yaani mimi nilikarimiwa kama mtoto mchanga, naamshwa napewa chupa ya maziwa, maji moto, tabasamu bashasha, hugs , mi siku zote huimisi rwanda. One thing hata ukipata mwanamke huko love her , but be very strong in heart
 
Afadhali wewe yaani mimi nilikarimiwa kama mtoto mchanga, naamshwa napewa chupa ya maziwa, maji moto, tabasamu bashasha, hugs , mi siku zote huimisi rwanda. One thing hata ukipata mwanamke huko love her , but be very strong in heart
Na mke wang mnyaruanda duu hawa watu wanapiga kazi acha kabixa na mm nitaamia rwanda nawapenda sana awa watu mungu awasaidie vita isitokee tena
 
Hao ni mbwa mwitu ila wanajivalisha ngozi ya kondooo
 
Afadhali wewe yaani mimi nilikarimiwa kama mtoto mchanga, naamshwa napewa chupa ya maziwa, maji moto, tabasamu bashasha, hugs , mi siku zote huimisi rwanda. One thing hata ukipata mwanamke huko love her , but be very strong in heart
Wale wadada wa kule dah acha tu watakuhandle kama mtoto mchanga vile
 
Wale wadada wa kule dah acha tu watakuhandle kama mtoto mchanga vile
Amazing...yaani unadhani wnakuhandle burebure tu...they always have their long term hidden agendas....kalia hivohivo eti wanakuhandle...
 
Tatizo sio wanyarwanda bali ni wanasiasa wa rwanda; wananchi wenyewe ni wakarimu sana kwa asilimia kubwa waulize wabongo waliojifanya wanyarwanda huko majuu watakwambia akija translator kufanya uhakiki kawaida awawakatai kama wametokea kwao mbele ya wazungu na watanzania wengi sana wamepata makaratasi ya kuishi huko kwa sababu ya msaada wao enough kuonyesha ni jamii ya aina gani.

Anapotokea raisi megalomaniac na kuanza kuwatumia raia wake walio settle sehemu zingine kwa agenda zake ndiye anayewachafulia kwa hivyo tatizo sio wanyarwanda bali kagame, mahasimu wake na siasa zao za majitaka.
 
Umekomaa kuwatetea watu usiowajua, tuambie umeishi Rwanda miaka mingapi? Maana huwezi kukomaa namba hiyo, au na wewe umetumwa. Personality ya huwezi kuijua kwa siku mbili. Mkiweza si mnaenda kuomba uraia, si hawana tabu. Tuacheni tunayoipenda Tanzania yetu, mama yako hata akufanyie kosa gani bado ni mama yako. Kwangu ni Tanzania na naipenda ncji yangu, sijwahi kutamani kuwa raia wa taifa tofauti. Hawa wanyarwanda hawana cha kutufundisha wala kutuzidi. We are proud with our mama land Tanzania
 
Ndg yng mtoa post huwezi kufananisha Rwanda na Tz interms of everything,politically,socially and economically
Kiufupi kbs,kisiasa Tz ni nchi ya kidemokrasia,inajali uhuru wa wt na mustakbali wa wt,inathamini wt wake,haindeshi nchi kibabe au kidikteta
Socially,wtz ni wakarimu,wacheshi,wanapendana na ni wasaidizi na wana huruma sana,ni watz wachache sana hasa wanaotoka mara ndo wengi wao wana tabia mby na wakatili
Economically,Tz ni nchi kubwa sana na ina wt wengi,kuwahudumia hawa wt wote ni kz kubwa lkn nchi yetu inajitahidi ninaamini with time mambo yatakuwa sawa,infrastructure zimekuwa improved,uchumi wetu tunatumia vyetu hatupori kwa wt km wafanyavyo Rwanda,Tz c majizi
 
Of all the countries hatuwezi kuwaiga wala kuwaonea wivu Wanyarwanda na ni ujinga kufananisha Rwanda na Tanzania. Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC. Sisi tuna Serikali ya kedemokrasia na tunaruhusu uhuru wa mawazo wakati huko Rwanda kuna udikteta na utawala wa kiimla tu. Tuna ma-Rais watatu wamebadilishana madaraka katika kipindi ambacho Rwanda ina Rais mmoja anayeendelea kuua wapinzani wake wa kisiasa. Kimsingi hatuna cha kujifunza toka Rwanda
Mkuu unaelewa vzr maana ya Democrasia? vipi kuhusu znz
 
Amazing...yaani unadhani wnakuhandle burebure tu...they always have their long term hidden agendas....kalia hivohivo eti wanakuhandle...
Hiyo long term yake weka juu longterm agenda yako, unakula raha. Furahia kitu laini ukiwa hai
 
Tanzania ni nchi ninayoipenda, ujumbe wangu ni mpana zaidi kwani tulipaswa kuwa na maendeleo kuliko hali ilivyo sasa. Baadhi ya yale yanayotukwamisha ni tabia zetu wenyewe. Roho mbaya zetu wenyewe. Tabia za kusubiri fulani akwame ili mtu afurahiye. Tusijenge dhana potofu kwamba hapa ni mbinguni we have a lot of our own problems.
Maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa Ccm bado inaendelea kutangazwa imeshinda kwenye chaguzi
 
Achana na mtu mjinga ambaye anataka mawazo yake ndo uandike jamiiforum. Ni ujinga kusapoti upuuzi wa viongozi waliopita kuongoza hii nchi ukiachilia mbali baba wa Taifa ambaye alilipenda Taifa lake kuliko hata familia yake. Tembelea mgodi Mkubwa wa Bulyanhulu katika vijiji vinavyozunguka mgodi uone maisha wanayoishi. (Maji hakuna wala miundo mbinu hakuna tangu waingie 1996. Tembelea Uganda uone Mseveni anavyotumia mall zake kupanua uchumi wa nchi yake ambayo haina madini Sudani,Kenya,Congo na Tanzania sasa wamegeuza Kampala kama Dubai sababu ya mazigira rafiki kwa wafanyabiashara. Kagame anapendwa na raia wake kama Watanzania walivyowapenda Nyerere na Kharume. Hivi kama tungekuwa na raisi mfano wa Karume ambaye alianza hadi kiwajengea raia wake makazi bora kwa nyumba za ghorofa pale Michezani na mashambani hii nchi ingekuwa wapi. Hao jamaa wawadaganye wale ambao hawatembei,tushukru tu awamu ya nne imeondoka maana baada ya miaka mitatu mbele tungebaki watupu. Tunachojivunia Watanzania kwa sasa ni Magufuri tu na tumuombee mungu .
5c796331e7f7d4fa3abb845d5dee346f.jpg
d2987f75924e959148b01ab44306f3cd.jpg
611c15c0c4b226a4647a333482717de3.jpg
Achana na mtu mjinga ambaye anataka mawazo yake ndo uandike jamiiforum. Ni ujinga kusapoti upuuzi wa viongozi waliopita kuongoza hii nchi ukiachilia mbali baba wa Taifa ambaye alilipenda Taifa lake kuliko hata familia yake. Tembelea mgodi Mkubwa wa Bulyanhulu katika vijiji vinavyozunguka mgodi uone maisha wanayoishi. (Maji hakuna wala miundo mbinu hakuna tangu waingie 1996. Tembelea Uganda uone Mseveni anavyotumia mall zake kupanua uchumi wa nchi yake ambayo haina madini Sudani,Kenya,Congo na Tanzania sasa wamegeuza Kampala kama Dubai sababu ya mazigira rafiki kwa wafanyabiashara. Kagame anapendwa na raia wake kama Watanzania walivyowapenda Nyerere na Kharume. Hivi kama tungekuwa na raisi mfano wa Karume ambaye alianza hadi kiwajengea raia wake makazi bora kwa nyumba za ghorofa pale Michezani na mashambani hii nchi ingekuwa wapi. Hao jamaa wawadaganye wale ambao hawatembei,tushukru tu awamu ya nne imeondoka maana baada ya miaka mitatu mbele tungebaki watupu. Tunachojivunia Watanzania kwa sasa ni Magufuri tu na tumuombee mungu .
5c796331e7f7d4fa3abb845d5dee346f.jpg
d2987f75924e959148b01ab44306f3cd.jpg
611c15c0c4b226a4647a333482717de3.jpg
Maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa Ccm bado inaendelea kutangazwa imeshinda kwenye chaguzi
Maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa Ccm bado inaendelea kutangazwa imeshinda kwenye chaguzi
CCM haitangazwi kushinda uchaguzi, inafika ambapo wapinzani hawafiki. Uchaguzi uliopita kuna maeneo Lowassa alikuwa anashindwa kwenda na ni majimbo mengi tu. Wapinzani walijikita kwenye siasa za instagram, Twitter na Facebook wakasahau kuwa huko vijijini hawajui habari za selfie na internet
 
D
Of all the countries hatuwezi kuwaiga wala kuwaonea wivu Wanyarwanda na ni ujinga kufananisha Rwanda na Tanzania. Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC. Sisi tuna Serikali ya kedemokrasia na tunaruhusu uhuru wa mawazo wakati huko Rwanda kuna udikteta na utawala wa kiimla tu. Tuna ma-Rais watatu wamebadilishana madaraka katika kipindi ambacho Rwanda ina Rais mmoja anayeendelea kuua wapinzani wake wa kisiasa. Kimsingi hatuna cha kujifunza toka Rwanda


Democrasia ipo tz au unaota na wewe?Haise democrasia sio kubadilisha marais tu hata China inabadilisha marais ila haina democrasia lakini it's pprosperous and developing na Rwanda inaendelea Tz ikiwa stagnant u stupid moron
 
Back
Top Bottom