Ondoa pattern, password ulizozisahau pasipo kuflash simu

Ondoa pattern, password ulizozisahau pasipo kuflash simu

Nina simu ya promotion Halotel H8401
Nikaweka app ya Gesture lock nikawa natumia sasa baada ya mda igoma ile pasword kutoka nimefanya kila njia nimeshindwa maana kuiflash imeshindikana kwa sababu system chaja njia zake zimekufa.
Upo wapi?
 
Huenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Kwa shida na teknolojia zaidi kama root,spy(kupata sms, calls za mpenzi wako),pia hack fb kwa sekunde, ili kukuaminisha nakuhack kwanza wewe ndo nikupe huduma nk nipigie 0753093869

Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.

Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Pia tembelea Forum mpya hapa ya tuzungumze yenye uhuru na upana zaidi
www.tuzungumze.com
Kwahiyo usiniambie kuwa kuweka mapassword ya aina zote tu ni useless... Nadhani kama ni ya wizi hakikisha unabadili na imei kabisa la sivyo ukiwasha tu askari Hawa hapa na mitutu. Ukiokota ni vizuri ukairudisha kwa mwenyewe maana utapata thawabu...
 
Kwahiyo usiniambie kuwa kuweka mapassword ya aina zote tu ni useless... Nadhani kama ni ya wizi hakikisha unabadili na imei kabisa la sivyo ukiwasha tu askari Hawa hapa na mitutu. Ukiokota ni vizuri ukairudisha kwa mwenyewe maana utapata thawabu...
Jamaa yangu alidondosha simu mpaka leo hajaipata licha ya kuripoti mpaka polisi.
 
Wanauz mnisaidie hapa. Kuna simu nataka kuireset ila kila nikibonyeza power button na volume up inaniandikia NO COMMAND. plz nifanyeje
 
Mleta mada ni mzee wa zamani hivyo hajui mambo mapya...siku hizi ukifika hiyo hatua inahitaji uwe na email iliyokuwa inatumika kwenye hiyo simu 😃
 
Huenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Kwa shida na teknolojia zaidi kama root,spy(kupata sms, calls za mpenzi wako),pia hack fb kwa sekunde, ili kukuaminisha nakuhack kwanza wewe ndo nikupe huduma nk nipigie 0753093869

Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.

Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Pia tembelea Forum mpya hapa ya tuzungumze yenye uhuru na upana zaidi
www.tuzungumze.com

mfuaji
 
Mleta mada ni mzee wa zamani hivyo hajui mambo mapya...siku hizi ukifika hiyo hatua inahitaji uwe na email iliyokuwa inatumika kwenye hiyo simu 😃
Wabongo bhana wanapenda sana kukosoa. Hiyo ni njia mojawapo ambayo unaweza kuitumia kutoa password. Kwa simu za android version 5, inatoa kuanzia 6+ unatumia hiyo, ikimaliza unatumia njia za kutoa factory reset protection (Google Account Verification)
 
Back
Top Bottom