Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 442
- Thread starter
- #201
Wait nicheki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ivi huwezi kuzima bira kurowa pin v7Simu za sikuhizi ukifanya hivo zinakudai previous account bila hiyo acount ..simu haifunguki
Hehe hapo fire lazima ihusikeMkuu yani niliwahi Fanya hivi Simu ikalipuka
Kuna baadhi ya simu or versions 7 + aiwezekaniHuenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Kwa shida na teknolojia zaidi kama root,spy(kupata sms, calls za mpenzi wako),pia hack fb kwa sekunde, ili kukuaminisha nakuhack kwanza wewe ndo nikupe huduma nk nipigie 0753093869
Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.
Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Pia tembelea Forum mpya hapa ya tuzungumze yenye uhuru na upana zaidi
www.tuzungumze.com
Hiyo peleka kwa fundiJamani nina huwawei yangu
Window phone for africa msaada.
Sijasahau pass word tatizo ni kwamba niliikandamiza mpaka leoa namba mbili haifanyi kazi
Na kwenye pass word zangu kuna namba mbili, naombeni msaada wenu asee
hapo unamfinya mwenye simu kwenye sikio na shavu atakumbuka tu password! ujinga unjinga huwa sipendi.Hii njia inaitwa hard reset, nimeifanya sana kuondoa loki za simu ambazo watu wamezisahau.
Tabu inakuwa kwa baadhi ya simu haswa samsung galaxy s7 edge, hii kama ina password haizimiki hata kwa bakora. Itadai password ndiyo izime kama umebonyeza turn off, hapo nilichemka. Na huwezi kufanya hard reset bila kuzima simu, ukute mwenyewe ndiyo kasahau password