Ondoa pattern, password ulizozisahau pasipo kuflash simu

Ondoa pattern, password ulizozisahau pasipo kuflash simu

Mtalam yaan ninakisim changu ni TECNO W5 lakin baada ya kufuatisha hizo process npo nashangaa ananiambia Searching Fo WIFE-NETWORK na nilipojalibu kuunganisha na hyo WIFE NETWORK inaniambia tena niingize Email & Pass

hapo ndoo kuna Mziki mkuu
 
sasa nyingine mbona ukifanya ivyo huwa zinadai google account?
 
Yaani kuanzia version ya 5.1 lollipop mpaka now ya 7.0 nougat huwezi kufanya ujinga huo sababu lazima Idai previous email
 
Labda unazungumzia android ya kitkat ila kwa lollipop,marshalow sidhani yaani mpaka uweke first account
 
Huenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Kwa shida na teknolojia zaidi kama root,spy(kupata sms, calls za mpenzi wako),pia hack fb kwa sekunde, ili kukuaminisha nakuhack kwanza wewe ndo nikupe huduma nk nipigie 0753093869

Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.

Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Pia tembelea Forum mpya hapa ya tuzungumze yenye uhuru na upana zaidi
www.tuzungumze.com
Kuna baadhi ya simu or versions 7 + aiwezekani
 
Kuna baadhi ya simu hazina Frp lock ila utakutana na privacy pasword ambazo zinasumbua kama FRP
 
Jamani nina huwawei yangu

Window phone for africa msaada.

Sijasahau pass word tatizo ni kwamba niliikandamiza mpaka leoa namba mbili haifanyi kazi

Na kwenye pass word zangu kuna namba mbili, naombeni msaada wenu asee
 
Jamani nina huwawei yangu

Window phone for africa msaada.

Sijasahau pass word tatizo ni kwamba niliikandamiza mpaka leoa namba mbili haifanyi kazi

Na kwenye pass word zangu kuna namba mbili, naombeni msaada wenu asee
Hiyo peleka kwa fundi
Atabadilisha kioo
 
Ahsante nimefanikiwa,tatizo ikishawaka itajilock tena na passwd nshaisahau,hapo inakuaje ili niweke passwd mpya????
 
Wewe siyo fundi acha kuwadanganya uzi wenyewe haujakamilika hata kidogo mi nauona nusu uzi .. anazunguzia OS lakini nashangaa kashindwa kwenda kwenye maada maalumu ..
 
Hii njia inaitwa hard reset, nimeifanya sana kuondoa loki za simu ambazo watu wamezisahau.

Tabu inakuwa kwa baadhi ya simu haswa samsung galaxy s7 edge, hii kama ina password haizimiki hata kwa bakora. Itadai password ndiyo izime kama umebonyeza turn off, hapo nilichemka. Na huwezi kufanya hard reset bila kuzima simu, ukute mwenyewe ndiyo kasahau password
hapo unamfinya mwenye simu kwenye sikio na shavu atakumbuka tu password! ujinga unjinga huwa sipendi.
 
Nina simu ya promotion Halotel H8401
Nikaweka app ya Gesture lock nikawa natumia sasa baada ya mda igoma ile pasword kutoka nimefanya kila njia nimeshindwa maana kuiflash imeshindikana kwa sababu system chaja njia zake zimekufa.
 
Back
Top Bottom